Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kutokana na uhaba wa walimu uliokithiri katika maeneo mengi nchini kwetu haswa walimu wa hisabati na sayansi, nilikuwa naliomba bunge tukufu lije na sheria itayowafanya wahitimu wote wa vyuo bila...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari Wakuu!! Hivi Jana tu serikali kupitia baraza la mitihani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha nne Huku hali ikionyesha ufaulu kuongezeka lakini kiuhalisia Huku mitaani wahitimu...
2 Reactions
5 Replies
962 Views
Chanzo Raia mwema
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Aidha, Mkoa wa Dar es Salaam umezorota kielimu baada ya kuwa na shule sita kati ya 10 zilizoshika nafasi za mwisho. Shule hizo ni Kitonga na Nyeburu (Dar es Salaam), Masaki (Pwani), Mbopo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina watoto wawili ambao mmoja ana Div 4 ya 26 na mwingine Div 4 ya 27. Jee inawezekana kisheria kurudia mtihani huku wanaendelea kusoma kidato cha tano?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Iv kunauwezekano wa kufanya application kwa kuambatanisha vyeti viwili ama vitatu vya form four?? Maana na mdogo wangu karudia mtihani mara tatu na hatimaye kapata alichokuwa anampango wa kupata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa napenda kupata msaada toka kwenu. Nahitaji chuo cha Afya kwa Dar es Salaam hata Tanga pia inapendeza. Tena hususani nikipata na fees structure nitashukuru zaidi
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu, ufaulu wangu ni Phy D, Chem B, Bio C, Math C, Eng C, Geo, D, Hist D, Civ C. Jumla two ya 21. Kama haiwezekani PCB, nikasomee Afya.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Naombeni alie dowload matokeo ya kidato cha NNE please anitumie wapendwa, ikishindikana hata link tu sawa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hatimaye matokeo yametoka naombeni ushauri wakuu Math-c Phyz-f Chemistry-d Geography-c Biology-c Kiswahili-c History-d Civcs-d English-b Naombeni ushaur wenu nime balance au
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Nasikitishwa na kushangazwa kuona tunaletewa kadi za michango ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Marian pale Bagamoyo, wakati hali ya mazingira ya shule zake ni mbaya mno, hata ofisi za waalim na mabweni...
1 Reactions
16 Replies
8K Views
Donald Trump’s 90-day travel ban on citizens from seven Muslim-majority countries — Iran, Iraq, Libya, Somalia, Sudan, Syria and Yemen — struck a chord with academic America. “The order is...
0 Reactions
0 Replies
416 Views
#USIKATE_TAMAA Akiwa na miaka 5 Alifiwa na Baba yake, Akiwa na miaka 16 aliamua kuacha shule, Akiwa na miaka 17 tayari alikua kapoteza ajira 4, Akiwa na miaka 18 aliamua kuoa, Akiwa na miaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mugini sec wameanza vizuri wanastahili pongezi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Math-D Civics-D Chemistry-D Bioligy-C Kis-C English-C Eng Sc-D W/Shop Tech-D Weld & Met-F Mechanical Draught-D
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Embu tuwekeeni na ile list pendwa ya wale wanaozidi kutupokea vijiti sisi ma TO wa zamani.. Nina hamu kuwajua vipanga wenzangu. Tusionane wa kawaida humu watu tunahistoria zetu chafu chafu sana...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Karibuni wanajukwaa kwa mjadala uliopo mezani. Unaweza kutupa arguments za kukubaliana na mada au arguments za kuikanusha mada. KARIBUNI.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mambo vipi??Hiki ni kipindi ambacho matokeo mengi ya mitihani muhimu yanatoka.Hapa upokeaji unatofautiana kutokana na haiba ya mtu.Mifano michache kati ya mingi ni ule wa baadhi ya wanafunzi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sina mengi zaidi ya kuupongeza uongozi wa mkoa, halmashauri, wazazi, wanafunzi na wadau wengine mlioshiriki katika kufikia matokeo haya ya kidato cha pili 2016 yaliyoupa mkoa namba 1 kitaifa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Nimeumia sana kuona barua za kuomba nafasi za ndugu yangu anayeumwa kifafa anaambiwa asubiri uhamisho uruhusiwe,sasa mtu kama huyu anakàaje mbali nafamilia? Hili jambo limenitoa machozi,lkn Mungu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom