Mara nyingi nilikuwa nafuatilia sana matokeo ya mitihani za shule za Feza sekondari kila matokeo yakitangazwa unakuta wameshika kumi bora kitaifa.
Sasa kwa hili hawa wanatumia mitaala gani hapa...
Habari wadau,
Poleni na majukumu ya siku.
Kama tunavyojua matokeo ya kidato cha nne yapo hewani tayari nina mdogo wangu wa kike amepata matokeo mabaya, yaani div iv ya 32.
Sasa kama kuna mdau...
Applications are invited for Persephone Miel Fellowships which are open to all journalists, writers, photographers, radio producers or filmmakers, staff journalists as well as freelancers and...
Ufaulu wa wangu huu hapa.
Physics= C
Chemistry=C
Biology=D
English language=C
Civics=B
Kiswahili=D
Geography=D
History=D
B/math=F
Mwaka niliomaliza 2010
Je ? Nitaweza kupata chuo cha serikali...
Katika mambo yanayotia shaka na kukatisha tamaa Waalim wa Mbogwe ni suala la upatikanaji wa taarifa kwa wakati.
Inashangaza sana kuwa ndani ya Mkoa huu wa Geita kuna shule ambazo walishaanza...
UKIACHILIA MASHULE YA WAROMANI TULITEGEMEA SHULE ZA KANISA LA KKKT NAZO ZIFANYE VIZURI LAKINI CHA AJABU MASHULE MENGI YA KKKT YAMEBORONGA YAKIONGOZWA NA MTERA YA IRINGA, POMERINI YA IRINGA, MBWAWA...
JINA LA SHULE JINA LA MKUU WA SHULE NAMBA YA SIMU
1: BOKO AMOS MPINGA 0713 - 521676
2 : BUNJU F.NNKO 0719- 884410
3 : FAHARI NOVATUS RWEMERA 0713 - 618002
4 : GOBA A.O. MAPUNDA 0713 -...
Wanabodi,
Naomba kuuliza, kati ya wanafunzi waliopata Div 1 kutoka shule za serikali, St. Kayumba na wale wanaopata Div 1 kutoka shule za Academy, ni nani ni vichwa vya ukweli? .
Hoja yangu hapa...
Habari jaman humu, mimi ni mwanafunzi wa Kampala University mwaka wa kwanza (IT) nilikua naomba kujua taratibu za kuhama chuo maana ni gharama sana na akieleweki na ukizingatia mkopo nimekosa na...
ile hali ya wanasiasa kupenda sifa inaendelea kuonekana ktk mambo mbalimbali ktk elimu yetu hasa kupitia necta. basdhi ni haya
1. kwasasa wameondoa penati kwa waliofeli MATHEMATICS. waliopata F za...
Usihangaike ukitaka kuona matokeo kirahisi yaliyopangwa kwa Alphabet za shule hii hapa na inayofunguka kirahisi hii hapa
http://41.188.172.30/matokeo/indexfiles/index_t.htm
Habari wana jf nimehitimu kidato cha nne mwaka jana na kupata daraja la tatu. Lakini nmefaulu zaid art subject na sina ndoto za advanc naombeni ushauli nisomee nn kwa haya masomo?.... Kisw C bios...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.