Nina kijana wangu wa kike matokeo ya 4m 4 ana 2.21
Civ C
Hist C
Geog C
Kisw C
Engl C
Bios C
Phy F
Chem C
Math D
Anaweza pata sponsorship ya serikali/mashirika uyajuayo kusoma certificate ya...
Nimeumia sana kuona nacte wamepiga marufuku wale waliomaliza kuanzia 2010 kurudi nyuma wasiombe vyuo vya serikali mbali waombe vyuo vya private vyeye gharama kubwa sisi watoto wa masikini...
Habari za hapa ndugu zangu?
Naomba sana kwa yoyote yule ambae anazijua shule binafsi HIGH SCHOOLS zilizopo katika mkoa wa DAR ES SALAAM na ambazo zinatoza ADA nafuu kidogo naomba sana aniambie...
Kuna huyu dogo ana IV ya 26 anataka kureseat ili apate credit moja C nyingine itakayo mwezesha kwenda form five je kwa sasa hivi inawezekana
Kureseat ukapata C nyingine ukaunga vyeti viwili
Habar zenu wanajamvi?, ninandugu yangu ambaye kamaliza ualimu ngazi ya cheti hadi hao wazee wamajuu hawasomeki mara wanahitakika wale wa sayansi na hisabati ambaye wana shahada, sasa hawa wenye...
poleni na kazi wadau
napenda kujua utaratibu wa kulipia supplemental exam katika vyuo vyetu ukoje?
kila chuo kina utaratibu wake au kuna kiwango cha ulipaji?
maana chuo chetu unalipia 50,000...
HUWEZI KUPANDA MBEGU MBOVU UKAVUNA MAZAO BORA , TUMECHAGUA KUZIMALIZA SHULE ZA SERIKALI.
A: Shule za serikali zinaendeshwa kisiasa kuwafurahisha wapiga kura .
1. Elimu bure kila mwezi billion 18...
Wakuu wana Jamvi
Kwa mara nyingine nimeshtushwa ma tuhuma wanazorushiwa Walimu kutokana na matokeo mabaya ya wanafunzi, nimekaa nikatafakari kwamba hebu tuone kama kuna ukweli au lah!! Maana kuna...
Goodmorning.
Kuna mtu anafahamu shule inaitwa Jomak Primary iliyopo wilaya ya Kinondoni? If yes je ni nzuri? Location? contact? I cant get it on google.
Habari zenu wana JF,
Kuna jamaa yangu alikuwa anaomba ushauri wenu.
Baada ya kufanya mtihani wa Taifa mwaka 2014 kwa mfumo wa GPA akapata PASS ya 0.6 yaani
Mathematics F
English D
Geography F...
Habari wanajamvi,nilikuwa nahitaji msaada wa jinsi ya kukata rufaa matokeo ya kidato cha nne,pia bei ya kukata rufaa ni bei gani kwa yoyote anayefahamu anisaidie tafadhali
Kutokana na kukosekana kwa ajira hasa za ualimu wa masomo ya sanaa, narudi kuanza upya masomo ya sayansi. Tena naanza na Qualifying Test na baadae kama private candidate. Elimu haina mwisho naomba...
Matokeo mabaya kwa shule za serikali angalieni wakuu wa shule wengi ni wabovu na sio wabunifu wanashindwa kuwasimamia walimu wao hivyo serikali m-deal na hawa wakuu pia ikiwezekana muwachague...
Habar wakuu.Naomba kufahamishwa shule ya Advance yenye Ada chini ya milion(kumwezesha mtoto wa mkulima Wa jembe la mkono kumudu Ada)Boys /mchanganyiko.Mchepuo sanaa.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.