Kutokana na matokeo ya kidato cha nne yaliyotoka wiki hii, nilishindwa kuelewa imekuwaje wanafunzi wangu ninaowafundisha wakaishia kupata daraja B na C huku hakuna hata mmoja aliyepata daraja A...
Nimeangalia orodha iliyotolewa na wizara ya elimu kwa watu waliotuma vyeti vyao na kukamilisha jumla nimekuta 2013 tu yani imenipa picha kuwa wahitimu wa sayansi na hisabati ni kidogo sana...
Hakika nimekuwa nafwatilia michango mbalimbali ya wadau wa elimu Juu ya wanafunzi kufeli mitihani yao. Wadau wamekuwa wakitoa sababu nyingi sana zikiwemo umbali wa Shule, usafiri . Mwanafunzi...
Mimi nawalaumu sana walimu wa serikali na ninawajua asilimia kubwa ni wavivu na wanafundisha kama hawataki hivyo serikali iwape kiapo walimu waweze kuapa
Pia nashauri ifikie hatua muwafanyie...
wakuu salama? Mimi ni mwana technology Sasa natamani sana kufahamu sana mambo ya mwili wa binadamu hata kama sio deeply Ila niwe na skills kadhaa za kutibu mtu yani simply nipate basic knowledge...
Elimu ya Diploma ya Uandishi wa Habari ndiyo kiwacho cha chini cha elimu ya uandishi wa habari ambacho kitamruhusu mwandishi wa habari nchini kufanya kazi hiyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...
Kwa wale mliochaguliwa chuo cha uuguzi machame nitext kwenye 0753868728,tutengeneze group,,nakuunga faster,andika jina lako halisi ili tujuane mapema,,na kupata updates mbali mbali za pale...
Habari zenu wakubwa nimekuwa nikiona Mara nyingi amref amekuwa wakitoa ufadhili wa masomo kwa certificate of nursing je ? Naweza kupata ufadhili nikichagua vyuo vya private au wanatoa serikali tu ?
Mungu awe mwema kwako!!!
Inafahamika kuwa watanzania tuliowengi hatuna ratiba,,na bajeti katika maisha yetu,,,,,hivyo hatujui wakati ujao.
Wanafunzi wengi wa Chuo waliopata mkopo wengine...
Baada ya kuona kuona mada mbalimbali umu jamii forums kuna baadhi ya vituvitu furani vikititokezaga huwa vinazua utata ambapo kila mtu anatoa perception zake sasa nimeona bora niwaweke watu sawa...
Naomba kujuzwa kuhusu PRL (recognition for prior learning). Je utaratibu wa kujisajili,lini usajili utaanza kwa mwaka 2017 na ni utaratibu upi unatumika kujisajili. Kwa anayefahamu tafadhali...
Ndugu zangu,
Matokeo ya Kidato cha Nne mwaka huu yamezua mjadala mkubwa. Miaka zaidi ya sitini iliyopita, mwandishi Shaaban Robert aliandika yenye kushabihiana na hali yetu ya sasa. Angalia...
Habari wana JF
Naomba ushauri kutoka kwenu waungwana;
Nilimaliza kidato cha IV mwaka 2011 na kufanikiwa kupata alama ambazo ni za kawaida kama ifuatavyo:
Basic Mathematics-C
Chemistry-B...
Wiki hii matokeo ya wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka jana yametangazwa. Kuna shule zinasherehekea na nyingine zina simanzi. Shule takribani sita za mkoa wa Dar ni miongoni mwa shule...
Kuna shule za kiisilamu(Islamic school) lakini zinawalazimisha wanafunzi ambao sio waislamu kusoma somo la Dini ya kiislamu pia kuna shule za kikristo zinawalazimisha wanafunzi wasio wakristo...
Serikali ikiendelea kukaa kimya hadi mwishoni mwa mwezi huu, ninaamini kuwa mawaziri husika wanashindwa kufanya kazi zao hadi wapate kauli kutoka kwa Mheshimiwa!
Maana mchakato wa kupanga vituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.