Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ndugu zangu naomba kujua vitabu kama vile the beautiful ones are not yet born na man of the people,je kuna app yoyote ambayo naweza kuvisoma vitabu hivi au kama nikitaka kuvisoma kwa njia ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari vipi jamani....... Samahani kwa yeyote anayefahamu vyuo vizuri vinavyotoa diploma ya medical laboratory sciences kwa mwaka 1. Naomba anitajie majina ya hivyo vyuo pia akinipatia na...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Enzi hizo aslimia 99 kishule shule mapenzi ni kwa maneno tu yule mchumba wangu mara huyu msichana wake na head boy sijui head girl kadimbua kiboy cha mzumbe sec. Ilimradi title tu yani hata...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wana jf kutokana na mfumko wa vyuo vingi siku hizi ambavyo havikusajiliwa napenda kutoa hoja hii kwa yeyote mwenye ufahamu wa ndani juu ya chuo hicho kama kimesajiliwa au la maana kunadogo...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Naomba uchambuzi makini wa hiki kinachoitwa table of specification kuanzia na knowlege analysis comprehension nk
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari zenu Wadau nina tafuta chuo kinachotoa basic ya phamacy mwanza anaefahamu anijuze whatsapp no 0753434323
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi ninakipenda sana chuo cha Makerere haswa kutokana na historia yake iliyotukuka. Nataka nikasome Biotechnology degree ili niunganishe masters ya genetic engineering. Wadau naombeni ushauri...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF, ni Mara yangu ya kwanza kupost hapa japo ni mfuatiliaji wa mda mrefu wa maada mbali mbali hapa jukwaani. Ndugu zangu Mimi ni mhitimu wa shahada ya Elimu ya masomo ya sanaa...
5 Reactions
48 Replies
5K Views
best websites, best organisations offering scholarships! am looking for those,, so I need your help !
0 Reactions
2 Replies
637 Views
Me and my team have been working tireless to fix what we see is NECTA lack of will to embrace new technology and make it easier for students to see their exam results. We have built a platform...
1 Reactions
0 Replies
753 Views
Naomba Msaada wa kituo kizuri cha kurudia mtihani wa kidato cha NNE au Shule nzuri kwa ajiri ya tuition ya resters Mkoa wa Kagera maeneo ya Muleba au Bukoba
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salam wote...kuna mdogo wangu anaomba ushauri wa kusoma comb gan kati ya hge na cbg kwa course za chuo na upatikanaji wa ajira...pia nngependwa kusaidiwa shule gani za private nzur kwa comb hizo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hi all! mwaka jana nilichaguliwa chuo kwa ngazi ya degree level nikaenda chuo nikafanya usajali baada ya kukaa miezi miwili maisha yakawa magumu nikafanya maamuzi magumu ya kuhairisha mwaka wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
salamu wakuu! nimejaribu kusoma na kufikiria kwa mapana zaidi na nikaweza kuielewa hydrological cycle vizuri ni procedure zipi hutumika mpaka mvua kufanyika na kushuka ardhini kwa kunyesha...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Habarini wana JF Kuna Kijana yupo Mbeya, Amesoma Tabora boy's O-level na Advance, Kwa Bahati mbaya Alishindwa kumaliza Elimu yake ya form Six, kabla ya miez 4, baada ya migogoro yakifamilia...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Natumain mpo OK...Naomba mnisaidie nahitaji kujiunga na chuo cha biashara nimemaliza kidato cha nne mwaka jana
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ELIMU BIASHARA MSOMI MUOGA Kuna wakati Elimu Yetu inatunyima ubunifu wa kugundua vitu vipya na vingi, Lakini pia kuna wakati hata mazingira tuliyopo tu yanatunyima mwangaza. Pata picha mwalimu...
2 Reactions
2 Replies
856 Views
Wakuu Naomba kwa mwenye uelewa mzuri juu ya course ya pharmaceutical anichanganulie ubora wake na changamoto zake
0 Reactions
2 Replies
958 Views
Back
Top Bottom