Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nilikuwa ninashida ya kutaka kujua kwa wale waliowahi kwenda kusoma diploma au degree ya kwanza nje ya nchi mfano S. Africa ni vigezo gani wanatumia katika kubadilisha matokeo yako kuelekea kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kuna shule au taasisi au mtu binafsi anahitaji mfumo wa kwa ajili ya ofisi tuwasiliane kupitia contact zilizopo kenye website http://www.mjimpya.epizy.com Kwa demo jinsi mfumo huo unavyo...
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Habari wanajamvi. Polen na majukumu ya kutwa, naomba kwa anayefahamu vigezo vya kujiunga na basic technician certificate in community work with children and youth Naheshimu mawazo yenu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mfano veta ya Nyakato mwanza ,veta ya Mtwara,shinyanga veta nk zina bei gani karo kwa long course?
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nimesoma art na nimepata 4 ya 28 yaan Eng c Kiswah c Geog d Hist d Civ f Math f Na bios d Nikasomee nn ili nihikomboee au niende chuo gani ili nifanikiwe msaada tafadhaliiii
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Majina ya walio appeal mikopo yanatoka leo ======= The Higher Education Students’ Loans Board wishes to inform all loan applicants who appealed against their loan status that the results of...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Jonas Kipingu Mawazo Omari Sunday mwita Juma Mti Ashura mwinyimkuu I Sijaona mbonde Getruda Mollel Fransisca Mchome Ridhiwani Bakari Nuh P.Jerome Kipande O.Kipande Latifa Hassan Chambo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nina mtoto anasoma kidato cha nne, ambapo anategemea kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza kidato cha nne, sasa basi, Naomba mnijulishe mwisho nilini tarehe ya kulipia ada ya mtihani Wa kumaliza...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kweli zama zimebadilika sana siku hizi unakuta mtoto wa form one anaambiwa shika chini na mwl wake anamjibu anavyotaka mara sishiki mara hoo huniwezi kunichapa wewe, Kipindi chetu mwl anaweza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Napenda kushea nawe kuhusu PESA NA MUDA.. Bila shaka upo uhusiano mkubwa kati ya pesa na muda.. -ndio maana nauli ya ndege ni kubwa kuliko ya basi, why..? Because ndege hutumia mda mchache (mf...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Siku si nyingi tumeshuhudia baadhi ya wakuu wa shule 10 za Mwisho kupewa adhabu ikiwemo ya kuondolewa katika nafasi za kuwa wakuu wa shule. Swali langu ni Je, kitendo hicho ni sahihi? Je...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Naitaji kujua zaidi kuhusu iyo kitu how could i do and if anyone knows about " assessment of water leakages in water supply infrastructures" in details..
0 Reactions
5 Replies
949 Views
Niko Manyara-Mbulu natafuta wa kubadilishana kutoka Mikoa Tabora,Mbeya,Rukwa,Katavi. mawasiliano.0783689788,0759396300.
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Naombeni ushauri wadau anayejua,Kati ya Kurisit naKusoma QT kipi bora?Ikiwezekana nipeni maelezo QT ilivyo,Ada yake,Namna ya kujisajili na Usomaji wake.Nina mdogo angu alifeli form4 ila sasa ana...
2 Reactions
49 Replies
17K Views
SHUGHULI MUHIMU ZA ELIMU. Na Mwl.Victor Mlaki. Katika jamii changamani pamoja n maendeleo ya viwanda elimu ina umuhimu mkubwa sana, Wanafalsafa wa vipindi vyote vilivyotangulia walionesha namna...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Soma vizuri guidebook ya TCU. Priorities kwenye programmes mbalimbali zimeonyeshwa dhahiri. Programme zipo hizi tu: Computer, Afya, Industrial na Engineering. Angalia admission requirements zake...
0 Reactions
55 Replies
15K Views
Habari wanajukwaa la elimu! Naomba ushauri kumtoa mtoto kwenye Shule za kawaida private akiwa ameshafaulu mtihani wake wa kidato cha 2, nimpeleke QT akaendelee na kidato cha 3 he inawezekana? Na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom