Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nahitaji kujua ni shule gani nzuri ya primary ambayo ni private,academy,na iko wapi,ile the best,msaada wakuu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naandika makala hii kuelezea kilio chetu kwa wanafunzi tuliokosa mikopo hususan chuo cha Dar es Salaam Maritime Instutute (DMI). Taasisi hii ambayo inatoa kozi ya Bachelor in Marine Engineering...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Japo mwanzoni, kwangu niliona kama nimeonewa na BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ila leo naona wamenifunza kuyajua maisha. Tangu nikose mkopo huo sikupata usingizi mzuri niliwaza sana namna ya kuweza...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu Nina ndg yangu alifanya private candidate Mara mbili akapata vyeti viwili vyenye D MOJAMOJA KILA cheti JE akiomba degree kwa vyeti viwili atapa chuo?
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Jamani wanajukwaa la elimu mimi naombeni mnisaidie namna gani naweza kupata scholarship baada ya kumaliza mtihani wangu may 2017 hakika msaada wako ni niwathamani sana kwangu na mungu atakusaidia...
1 Reactions
0 Replies
875 Views
Naomba mwenye kujua link ya kujisajili na kuweza kupata salary slip yako online anijuze. Nliwahi kusikia kuwa kuna link ya kujisajili, msaada tafadhari
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Kwa taarifa yako mmea wa Pitcher ni mmea ambao una sifa ya (carnivores) kwani unaishi kwa kula wadudu. Tofauti na mimea mingine mmea huu ambao una ua kubwa lenye rangi ya kuvutia lina nta ambayo...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi kuna kitu kinanisumbua hapa mimemaliza form four mwaka jana na matokeo ni kama hivi S1049/0063 M 20 II CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'C' CHEM...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa Miaka kadhaa iliyopita Shule za St. marry's zilijijengea sifa hapa nchini hata nje ya nchi. Kinachoendelea sasa hivi hata sikielewi kwani pamoja na usimamizi hafifu kwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Chagua jibu sahihi kukamilisha sentensi ifuatayo. Wanafunzi waliimba wimbo wa _______ kabla ya kufanya mtihani wao wa kwanza wa ______; Kiswahili, ambayo ni lugha ya ______. A. kitaifa, taifa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni weekend nyingine njema, jumamosi murua kabisa iliyotulia ya tarehe kumi na moja mwezi wa pili ya mwaka 2017. Ni matumaini yangu muu wazima wa afya wana jamii forum wenzangu. Bila kupoteza...
2 Reactions
85 Replies
12K Views
Habari wana familia ya JF, Naomba mnisaidie, Ni chuo gani naweza kujifunza juu ya psychology.
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Habari zenu wana Jf, Kuna ndugu yangu kamaliza form four amepata IV, nahitaji aende chuo cha private akasome certificate either education, business administration n.k Naomba kujua vyuo vya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habar wapendwa. Je kuna yoyote anayefahamu Shule ya Udreva inayofanya kazi hata usiku? Nasema usiku kwa sababu kazi yangu nnatoka saa kumi na mbili kama kuna yoyote ambaye anaijua aniambie ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Malaria The natural ecology of malaria involves malaria parasites infecting successively two types of hosts: humans and female Anopheles mosquitoes. In humans, the parasites grow and multiply...
1 Reactions
0 Replies
495 Views
Nahitaji msaada wa kufahamu baada ya kuhitimu chuo kilicho chini ya NACTE ni baada ya muda gani Acedemic certificates and Transcripts zinakua tayari zishafika kwenye chuo husika. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu salaam. bila kupoteza muda moja kwa moja niende kwenye mada. Mimi ni kijana wa kiume ninaumri wa miaka 24 sasa Nimwanachuo NIT nachukua bachelor degree in information technology mwaka wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu nimepoteza Vyeti vyangu vya kidato cha nne na Sita sikumbuki nimevipoteza wapi nimegundua leo hii baada ya kuwa na uhitaji navyo naomba Msaada kwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Siku si nyingi tumeshuhudia baadhi ya wakuu wa shule 10 za Mwisho kupewa adhabu ikiwemo ya kuondolewa katika nafasi za kuwa wakuu wa shule. Swali langu ni Je, kitendo hicho ni sahihi? Je, tofauti...
0 Reactions
4 Replies
765 Views
Nipo form six nahitaji kutafuta scholarship nisaidieni jinsi ya kupata au link za kuomba scholarship
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom