Wapendwa ndugu mfano mtu kamalizaa labda 2006 form four akapumzika akaristi akapata C Tenaa akapumzika Akala C akakaa mpka 2016 akaresit tena akala C yatatu ila kombi haija kaa sawa, je anaweza...
ITENDE HIGH SCHOOL -MBEYA
NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO 2017.
Uongozi wa SHULE, Unatangaza nafasi za kujiunga na kidato cha tano 2017.
Shule ni bweni na kutwa kwa wavulana na wasichana...
Serikali kupitia kwa Waziri wa Utumishi wa umma na utawala bora ilitangaza kuwa mwezi ujao inategemea kuajiri walimu wa sayansi na hisabati pamoja na Mafundi sanifu wa maabara ambao kwa ujumla wao...
Mara nyingi mitihani ya vyuo vya afya kwa ngazi zote huendeshwa na NACTE. mwaka jana mwezi wa nane tulifanya mitihani hiyo na hatimaye matokeo yakatoka mwezi wa pili na baada ya hapo kuna...
Walimu wengi nchini walio kazini na waliostaafu, washaelewa wimbo wa kuimba na sasa wanaelewa
bila shaka ujuo wako ktk kiti ni suluhu
tusidanganyane, hakuna uwezekano wa ujenzi wa nyumba za...
Wadau wa jukwaa la elimu,kuna jamaa yangu amepata part-time job ya kuwa wafundisha wanafunzi wawili wa open university mambo ya maendelea, na kuna module kama saba wastani wa kila module ni...
Unakuta mtu anasoma computer science au bsc informatics na wakati huo hufundishwa theories Sana na practical Ni kidogo Sana tena ile ya kuachiwa kama assignment na submission date Huyu...
Natumaini wazima Wa afya dhumuni LA Uzi huu nikama ifuatavyo: Nimemalza certificate ya uhasibu nahitaji msaada Wa CHUO kizuri ambacho nitaaza diploma kiwe na possibility ya urahisi hata...
Kuna baadhi ya shule binafsi (English medium) hapa jijini Mwanza zimetoa masharti ya kulipa kati ya tshs 85,000 na 100,000 kwa ajili ya picha na usajili wa mitihani ya taifa ya kidato cha pili...
Kuna fikra zimejengeka miongoni mwetu kwamba Masomo ya Sayansi ni Magumu ni ya kweli?
Unakuta mwanafunzi kuanzia darasa la kwanza anajua kuwa Hesabu ni Ngumu hivyo anakua anasoma basi na yote...
Kumetokea wimbi la watawala wetu kupishana kauli na huku wakiwadanganya watanzania, hususani vijana ambao wanasubiri ajira. Mmoja akasema mwezi may wangeajiri watumishi, lakini cha kushangaza ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.