Habar za Leo ndgu walimu,mi ni mwl wa phy Na hesabu,kuna matatizo yanayotukumba cc walimu wa sayansi ukiwa ni pamoja na wingi wa vipindi,hvyo nimeona bora tuunde group national wise ili tujadili...
Poleni na majukumu wakuu
Nina div 4 ya 26, shule moja ya private imenikubali kusoma uku na resit kuitafuta c 1, Lakin Pia Nime vutiwa na hii course yA community health Napenda kusomea afya japo...
Habari wakuu,
Jana nilipokuwa nasikiliza vipindi vya redio clouds fm nilisikia kuhusu taasisi ya elimu ya watu wazima, nikawa nimevutiwa kwa sababu kuna vijana wengi mtaani wanahitaji kupata...
Kumekuwepo na Tabia ya kushusha walimu wakuu ( Msingi) vyeo katika Wilaya ya Nyamagana - Mwanza.Kazi hiyo hufanywa na Afisa elimu Wilaya akishirikiana na waratibu elimu Kata,sababu kubwa ni kwa...
Hivi walimu waliomaliza arts na tunaosomea arts mwisho wetu ni nini, maana siku ya mahafali ya mwaka wa 3 hapa DUCE principal wa chuo alimwambia mkuu wa chuo Jakaya M. Kikwete kuwa wanatufundisha...
Habari wakuu! Nlipata kurudi chuo nilichosoma miaka 6 iliyopita kumwomba dokta mmoja aliyenifundisha a"recommend" kama academic referee wangu katika maombi yangu ya masters lakini akanambia sie...
Mimi ni mwalimu mwenye level ya diploma katika masomo ya kemia na hesabu nataka nikajiendeleze degree kwa course (bachelor of science in chemistry) ambayo siyo ya ualimu, je inalipa na ni field...
Naomba msaada,
Naitaji kujiunga na kidato cha tano kama private condidate mchepuo wa EGM ila ningependa kusoma katika mkoa kama Morogoro na Arusha, Moshi au Mbeya mwenye kujua shule nzuri yenye...
Habar wadau...naomba msaada wenu kwa wale wanaosoma chuo nilichokitaja hapo juu,nimepata post katika chuo hicho.sina mwenyeji wa kunipokea.plz kama kuna mtu yupo hapo hebu aniibox .thanks
True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start on 02/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration is 5...
Ieleweke shughuli zote zinazofanyika darasani zinapaswa kuwa katika mpango unaoakisi Falsafa ya Elimu.
Mipango katika ngazi za juu inaweza pia kuwa kupangwa na kusimamiwa na Sera ya Elimu.
Kwa...
Waheshimiwa walimu wanafunzi wenzangu nataka kujua kwa vyuo ambavyo mmeenda TP sasa hivi mmepewa pesa zote au nusu maana sisi ni mwez wa saba sasa cjui itakuwa nusu kama mwaka jana au laaa..!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.