Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
1.Unamkata mfanya kazi asilimia 15 ya mshahara wake ilihali kwenye mshahara wake hakuna maboresho yoyote??? 2.Kwa makubaliano yapi bodi ya mikopo inamkata asilimia 15 ya mshahara wake...
0 Reactions
5 Replies
962 Views
Naombeni kuuliza hivi hawa maproducer uwa wanasomea hiyo fani au ni ujanja na kipaji tu. Na kama wanausomea Tanzania ni wapi au chuo gani kinatoa ayo mafunzo. Sijawahi kuelewa naomba wadau...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Kumetokea matukio mengi tangu matokeo ya form iv yatoke. Hayakua mazuri kiujumla especially kwa shule zetu za kawaida Naona watu wengi wamejisahau pamoja na viongozi. Kuna vitu vingi...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Naomba wanajukwa mnisaidie namna ya kupata scholarship na sponsorship. Vitu gani vinatakiwa na mchakato wenyewe ukoje?
1 Reactions
5 Replies
6K Views
habari wakuu, Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye uwezo wa kumsaidia jirani yangu (binti) anayesoma shule ya kutwa ya Temeke kidato cha tano aweze kwenda shule yeyote ya bweni ya serikali yenye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hakuna haja kuendelea kukagua maandalio pekee bali wapewe japo dakika hata 20 wafundishe darasani ili kuona pia nature ya wanafunzi walioko mashuleni. Kama wakiendelea kukagua tu maandalio...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Habari za jpil ndugu zangu..mm ni mdogo wenu niliyehitimu shahada ya kwanza ya elimu katika uongozi na lugha na nina ndoto za kusoma masters ya tafiti na sera za umma. Naomba kama kuna taasisi au...
1 Reactions
0 Replies
988 Views
Naomba kujua, Mimi Nina div 3 ya pts 25, (Civ-C, Eng-C, Kisw-C, Hist, Geo, Bio, Math, Common ni D na B/keeping F) je naweza rudia Hist na Geo tu, maana nasikia lazima nirudie masomo 7, wengine...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani naomba msaada, je ni kweli waliomaliza form four 2016 hawa dahiliwi intake ya March/April kusoma certificate?
0 Reactions
4 Replies
894 Views
Shule ya sekondari iitwayo CORNERSTONE LEADERSHIP ACADEMY iliyoko ARUSHA yenye wanafunzi wa kitato cha 5 & 6 inafanya usaili (interviews) kwa wahitimu wa kidato cha 4 ili kupata ridhaa ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nafasi za masomo 2017. Shule imetangaza kidato cha I na kuhamia vidato vingine II mpaka VI wanachukua. MLETE MWANAO APATE MALEZI NA ELIMU BORA.
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Jaman namba msaada kwa member yeyote anisaidie kitabu kinachoitwa "within arm length" Ninakitafta sana, Asanten
0 Reactions
1 Replies
574 Views
Naongea kwa JAZBA, kwa kuwa mimi ndio muhusika. Somo najiamini, nimejibu vizuri, nina uhakika kama sio A basi ni B. Eti Necta wananiwekea D au kisa mimi ni PC. Somo ambalo sifikirii kama...
6 Reactions
53 Replies
10K Views
Mhesimiwa waziri mkuu,baadhi ya walimu bunda tunanyanyaswa na afisaelimu wa wilaya kwa sababu tulisema ukweli kuwa wapo wanafunzi waliorudia darasa la saba baada ya kuhitimu elimu hiyo shule...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari wan jf,kun mdogo wangu kapata division 4 sasa kuna mawazo mawili hapa tunayo ambayo wazo moja ndio linatakiwa kuwa applicable Mawazo yenyewe ni 1) kumpeleka dogo Veta akasome ufundi stadi...
0 Reactions
9 Replies
975 Views
Wakubwa shikamooni wadogo habari zenu naomba wataalamu na wajuzi wa haya mambo mnisaidie juu ya mikoa tajwa hapo juu wapi panafaa kufanyia field ya IT. Apa namaanisha maeneo yenye miundombinu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kichwa chajieleza hapo Jun, Masada wakuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Since it opened its doors to the first cohort in July 2015, the Center has graduated 1,095 young African leaders who are sparking change and growth in their communities. Want to join them? Then...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kuna wahusika humu wanifafanulie.. Yani nirudi kijijini aaah... Sasa watanielewa Vipi wale niliowaacha.. Tcu niurumieni basi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Uhalisia wa mshahara wa mwalimu baada ya makato mapya ya 15% ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Baadhi ya makato katika mshahara wa mwalimu ni kama inavyoonekana kwenye mabano;- Mfuko wa hifadhi...
4 Reactions
111 Replies
16K Views
Back
Top Bottom