Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba kuuliza ukisoma bachelor in physics unaruhusiwa kujakusoma masters ya radiotherapy/radiography?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari zenu... Ni lini wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi itatoa muafaka wa muongozo wa mihula kwa wanafunzi hawa waliodahiliwa mwaka jana 2016 na kuripoti November mwaka jana. mpaka sasa...
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Ni kwa wale wa intake ya mwezi wa 3 na 4 kwa maelezo said ingia www.nacte.go.tz ====== TAARIFA KWA UMMA KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA KIPINDI CHA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani nilikuwa nafanya usajili NACTE lakini nikifika sehemu ya kujaza mwaka niliomaliza form four mwaka haukubali. Nilimaliza mwaka 2006, naomba msaada wenu tatzo nini au tuliomaliza kabla ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanabodi naomba mnishauri kuhusu matokeo ya mtoto wa dada yangu. Amemaliza kidato cha nne mwaka jana. Anaweza kusoma ufundi wa aina gani kutokana na matokeo haya maana nawaza nimpeleke VETA ila...
1 Reactions
2 Replies
673 Views
May 2014 November 2014 May 2015 November 2016
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Utaratibu wa kudahili wanafunzi kuingia vyuo vikuu nchini uendelee kufanywa kwa kutumia mtandao (CAS) kwakuwa umeonyesha ufanisi mkubwa sana katika kutoa fursa sawa kwa wanafunzi bila kuzingatia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauliza kama bodi ya mikopo ya elimu ya vyuo vikuu imemaliza kutoa majina kwa wanufaika wa mikopo 2016 /2017, maana mpaka sasa hatuelewi na vigezo wanavyotumia kutoa hiyo mikopo ni vipi? Naombeni...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
naje? kwa mwaka huu soko la petroleum linaonekana kutengemaa au vip wadau naomba muonyeshe ushilikiano ktk hii mada
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Naomba hoja mbali mbali kutoka kwen kwamaana nyie ndio wasomi na mnaijua elimu ya tz jinsi ilivyo
0 Reactions
5 Replies
903 Views
Chuo cha ualimu maurice kipo mbagala Dar, hakijawahi kufelisha mwanafunzi tangu2009 hadi leo. Ada kwa day ni laki7 na boarding ni million 1 na laki2. Kinatoa walimu wa Grade A(ngazi ya chet) na...
0 Reactions
17 Replies
19K Views
Habarini Najua Hapa JF kuna watu wapo wanao ishi nje ya Tanzania,pia wapo wanao Soma nje ya Tanzania kwa pesa yao wenyewe,kwa scholarship au kwa Sponsorship! Kozi mbali mbali Pia kuna wale wanao...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Nani anaweza kunisaidia majina ya wakuu wa mikoa waliopo Tz, kuna mdogo wangu yupo form two ameniuliza.
0 Reactions
10 Replies
19K Views
MSAADA NDUGU ZANGU Tamko la Serikali juu ya Masomo ya Sayansi kuwa ya lazima kwa shule za Sekondari (Forms I - IV) linapatikana katika Waraka upi wa Serikali? Natanguliza shukrani kwa msaada wowote.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajf,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2006 na kufaulu vzuri daraja la kwanza point 17 masomo ya sayansi nikafaulu vzuri pia bios A,chem B,physics C na math C lakini kwa kutokujua advance...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nadeclare interest kuwa Mimi ni mdau na mshirika wa Elimu. Najikita wilaya ya kinondoni nilipofanyia utafiti wangu na kubaini yafuatayo:- 1: Wanafunzi wa shule ya msingi kurejeshwa nyumbani SAA...
0 Reactions
1 Replies
671 Views
http://cas1.elis.ugent.be/avrug/pdf03/neke.pdf
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Habari members, Kwa wale wanafunzi wanaohitaji high quality and international class materials kuna website (funded by bill and melinda gates <partially funded>) ambayo inampa mwanafunzi free...
1 Reactions
0 Replies
605 Views
Hivi karibuni bodi ya mokopo ya elimu ya juu imepandisha makato kufikia 15% kuanzia mwezi huu wa Februari. Uamzi huu umetusikitisha sana sote tuliosoma kupitia bodi hii; licha ya ongezeko hilo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni ukweli kwamba TCU walibadili vigezo kwa mtu mwenye diploma kujiunga chuo kikuu ambapo kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kujiunga na degree mtu alitakiwa awe na G. P. A Ya 3.5 na kuendelea lakini...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom