Habari zenu accademicians,
Napenda kuleta ombi langu kwenu,nahitaji msaada kwa anaye fahamu vyuo vilivyopo hapa Dsm, mm ni Mwl. by professional, nimehitimu degree ya kwanza (Bachelor) ya ualimu...
Ndugu zangu,
Naomba msaada wa kupata matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 1999, nina ndugu yangu namsaidia sasa nimeshindwa kuyapata online.
Asanteni sana.
Haya mazoea ya vyuo vyetu vya kilimo na mifugo ambavyo vpo chini ya wizara ya kilimo na mifugo,, vina matatizo makubwa sana,, tunaomba wakaguzi wa hivi vyuo mpite kuvikagua katika suala...
Kwa kawaida Ajira za Walimu zilikuwa zikitoka January na Walimu walikuwa wakiwasili vituoni walipopangiwa mapema Mwezi wa Pili, lakini kwa miaka takriban mitatu iliyopita kuna Mwezi mmoja mmoja...
Jamani naomba kuuliza mwanafunzi mwenye principal passes mbili kwenye vyeti viwil tofauti anaweza kwenda chuo , I mean ana D mbili vyeti viwili tofauti means cheti kimoja ana D moja na kingine D moja?
Mpaka sasa watu wa mikoani(Mbeya) hatujapata registration numbers kutoka nbaa ili tujaze fomu za kufanya mitihani, fomu ya mitihani inahitaji registration number yako na mwisho wa kukusanya hii...
Nimesoma A level ila bado sijui sifa za kuwa mwalimu wa A level
1. Kiwango cha Elimu yao
2. Je wanapatikanaje yani utaratibu wa ajira zao
My take
Walimu wengi wa A level uwezo wao wa...
habarini wakuu,
mimi ni mtanzania,niishie nje ya nchi,uwa kila mwaka katika chuo nisomacho tunatamaduni ya kuandaa siku ya maonesho,na siku hii uitwa international day.lakini katika chuo iki niko...
Heshima kwenu wadau, naomba mnisaidie mwenye uelewa. Mfumo wa nacte kufunguliwa Sasa mpaka March ni kwa waombaji wote mpaka waliomaliza form four 2016 au ni kwa miaka ya nyuma tu?
Maana...
Mimi ni mwalimu kitaaluma katika ufundishaji wa masomo ya Hisabati na Jiografia.
Kwa wanaotaka huduma ya kufundishwa au kufundishiwa watoto wao hapa Dar es Salaam, mimi ninatoa huduma hiyo...
Stashahada ya sheria na stashahada ya uandishi wa habari(DIP YA JOURNALISM NA DIP YA LAW)
Asalaam alykhum/Tumsifu yesu kristo/Aleyuyah
Wakuu napenda kujuzwa juu ya hizi stashahada mbil tofaut...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.