Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomben msaada wana forum. Hivi ni kweli ktk faculty za Afya coz ya Optometry na Dentaly ngaz ya certificate ipo? Coz niliwai kuckia znapatkana kwa ngaz ya Diploma 2 ila juz ktk pitapta yangu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"This means that the education system of Tanzania must emphasize cooperation endeavor, Not individual advancement, It must stress concept of equality and the responsibility to give services which...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Hatua gani za kuchukua baada ya kupotelewa na cheti cha form IV na kushindwa kuviona.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mwalimu wa Masomo ya Biology & Chemistry nimehitimu 2016 level ya degree natafuta shule ya kufundisha wadau my no 0744999752. Nipo Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Hili ni jukwaa special kwa wahandisi... tueleze matatizo gani yanawa-face wahandisi wengi wa Tanzania... Kwa maana wiki uliyopita kupitia ERB inaonyesha Tanzania ina wahandisi wengi kuliko...
3 Reactions
68 Replies
9K Views
kwenye money paper ya Tz huwa naona saini ya waziri wa fedha pamoja na ya governer. Hivi huyo governer ndo nani na ana mchango gani katika pesa yetu. pia unasomea nini ili uje kuwa governer?
0 Reactions
2 Replies
814 Views
Wana Jf hivi ni sahihi mwalimu mwenye MASTERS kufundisha shule ya msingi??? maana kiwango chake cha elimu hakiendani na anachokifundisha huko shule ya msingi.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
wadau mi nina Qn nimechaguliwa kujiunga na A-level-feza boys but haina ECA ina EGM na combination zingine za science,ila mm nataka kusomea economic in the future BUT for st.joseph cathedral...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Msaada wadau je ? Amref huwa wanatoa ufadhili kwa wale waliochaguliwa kusomea certificate of nursing and midwifery kwa vyuo vya private especially hivi dini mfano bukumbi nk
0 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habar zenu wadau...naomba mnisaidie shule za boarding a level either mixed au za girls tupu ambazo ada zake ni nafuu (yaan ada isiyozd 2.5 m au 3m) NB:mlengwa wa hyo shule ni dgo wa kike ana div...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Natafuta tuition ya pre-form five Nakaa Gongo lamboto Nitapata wapi tuition nzuri kwa masomo ya Arts
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Ninamdogo wangu amemaliza nursing ya mwaka moja anaweza akasoma certificate ya nursing amesoma masomo yafuatayo physics D chemistry C biology D mengine alipata F ila nacte wanataka passe D 4...
0 Reactions
5 Replies
630 Views
Salama wakuu, Mimi nimefanya application kwa kupitia NACTE na idadi ya vyuo nilivyohitajika kuomba ni vitatu tu na kweli nimeomba. Je baada ya kuomba kupitia NACTE nini ninatakiwa kufanya baada...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
habarini wakuu ninaomba msaada wenu , nilikuwa namfanyia mdogo wangu application nacte Jana jioni sasa nikatuma elfu thelatini kwenye mpesa kwa kufuata zile process zao wanazotaka .sasa toka Jana...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
hivi kwamfano umehitimu chuo kikuu ukafanikiwa kupata shahada yako ya kwanza labda tuseme niya Education je inaruhusiwa labda endapo ntaamua kusoma tena masomo ya ziada ya advance kwa combination...
1 Reactions
5 Replies
689 Views
Habari wana Jf, Kwa wahusika wote nenda hapa United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training Pia unaweza angalia kwa kutumia link hii hapa PMORALG - Home - Kwa...
2 Reactions
69 Replies
45K Views
Nataka kuaply kusoma degree ya education. Nimeambiwa hizi ziko mbili moja ukimaliza unakuwa mwalimu wa chuo na nyingine unakuwa mwalimu wa secondary (a) Hii ambayo unakuwa mwalimu wa chuo...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Nina Diploma GPA 3.4 nita weza kupata chuo mwaka huu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wasalaaam, Hivi kati ya hivi vyuo vikubwa Afrika Mashariki kipi: kinatoa wanafunzi wazuri wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la Ajira kimataifa? Kinafanya tafiti nyingi za Kitaalamu zenya...
2 Reactions
44 Replies
8K Views
Back
Top Bottom