Mimi ni mhitimu wa kidato cha 6 mwaka huu na nmesoma PCM. Baada ya matokeo kutoka, nimefaulu vizuri hasa katika somo la mathematics. Kwa kipindi hiki nimekuwa nikishauriwa sana niende kozi ya...
Nmechaguliwa hii kozi ya bachelor of education in science naomba kuuliza future yake na vipi upatkanaj wa ajra kuhusu hii kozi kwa yeyote mwenye uelewa naomba msaada
Habari zenu wadau
Mimi nimemalz kidato cha 4 since mwaka 2015 kwa matokeo aya B/MATH C, HIST C ,GEOG C,CIVICS D,KSW C,ENG D,BIO D,buh sikufanikiwa kuendelea na kidato cha tano kwa kuwa...
habari wana jukwaa
nina mdogo wangu amemaliza kidato cha 6 mwaka jana amekosa mkopo ameamua kuomba diploma medical lab muda wa maombi ukifika sasa kama kuna MASHIRIKA mbalimbali ya afya yanayo...
habari wana jukwaa
nina mdogo wangu amemaliza mwaka jana kidato cha 6 mkopo alikosa ameamua kwenda diploma ya medical lab sasa anauliza kama kuna mashirika ya kiafya yanayoweza kumpa sponsor
Njia za kutimiza malengo yako:
Njia hizi zilisemwa na LEO BABAUTA mwandishi mashuhuri wa vitabu marekani na mmiliki wa blog ujilikanayo kwa jina la ZEN HABITS ila mimi nimezielezea kwa uelewa...
Habari wana jamvi, kuna kozi naitaji kusoma na nimejaribu kutafuta ufadhili kwa mwaka wa pili huu bado sijafanikiwa. Scholarship nyingi zinazotoka huwa wanaorodhesha kozi zao wanazotaka kufadhili...
Habari waungwana,
Kama tujuavyo, Bodi ya mikopo nchini imeanza kutoa majina ya waliobahatika kupata mikopo ikiwemo na tangazo linaloelezea mikopo inatokaje mwaka huu.
Wengi wamekumbwa na...
Kwa wadau wote walopita/wanaopita MUM waje hapa tupeane updates .
Karibuni sana bila kuchafua hali ya hewa hata kwa ambao hawajapita hapo wanakaribishwa kushare ideas kwa hekima na busara.
Aje wadau.
Mimi nilichukua HGK
HGK ni moja ya michepuo ya masomo ya sayansi jamii yaliyopo ichini.
Hujumuisha history, Geography, na Kiswahili.
Mchepuo huu umenipa faida zifuatazo;-
1. Kutunga...
1. Mtoto anapozaliwa anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
2. Binadam anapofariki anafanyiwa sherehe baada ya siku arobaini
3. Yesu alifunga kwa siku arobani
3. Wana wa israeil walikaa...
TAARIFA YA AWALI YA MTANDAO WA WANAFUNZI TANZANIA JUU YA MAANDAMANO YA WANAFUNZI HUKO BARIADI SEKONDARI.
Na,
*Joseph Brighton Malekela*
Makamu mratibu Taifa
TSNP _ Kitengo cha Sekondari
Mtandao...
Nilimaliza Darasa la saba, nikafeli - nikarudia shule nyingine nikapita.
Nikaenda Secondary, form four nikapata div IV ya point 26 nikachaguliwa chuo cha ualimu wa primary- nikagoma kwenda...
Wana jamii, naomba kufahamu kwa anayejua. Enzi za uhai wa Baba wa Taifa, tulikuwa tukimaliza kidato cha nne , tunajaza fomu kwa ajili ya kuchagua A level na Vyuo mbalimbali.
Je kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.