Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za wana Jf Poleni na majukum Miaka miwili iliyopita Wizara ya afya Kupitia Global Fund Foundation ilitoa udhamini kwa baadhi ya Vyuo vya afya nchini Tanzania moja ya vyuo hivo ni Kondoa na...
1 Reactions
2 Replies
971 Views
Habarini wana Jf mimi ni kijana ambae navutiwa saana na cosmology pamoja na astrophysics japokua nna carier nyingine(medical).Nahitaji msaada wa kuwapata wataalamu wa fani hizo nataka kupata...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Shule ina milikiwa na Jimbo katoliki-Musoma,ina walimu wenye sifa na huduma nzuri(bweni), maji na umeme. Tuna tahasusi zifuatazo PCB, PCM, CBG& HGL. Kwa maelezo zaidi piga 0789443404
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndugu Walimu na Watanzania kwa ujumla , napenda kutambulisha Chama Kipya cha Kutetea Haki na Masilahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kwa niaba ya Viongozi wa Chama Kitaifa. Chama kimelenga...
1 Reactions
93 Replies
12K Views
Habari wana JF natarajia kujiunga form 5 mwaka huu, na nnfependa kujua topic za paper one na paper two za geography na history... Msaada kwa anaejua.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
inakuaje mwelekeo wa masomo kwa mtu aliyesoma nje na kufaulu vizuri tu ila akakosa mkopo wa kujiendeleza kwa sababu ya uraia,licha yakuwa na ufaulu na vigezo vya kupata mkopo?
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Sifa ya kusomea ustawi wa jamii ( social work) kwa anaye jua msaada wakuu
0 Reactions
1 Replies
655 Views
Kwa wale tuliotiwa nyavuni, mechi za ufunguzi zitaanza kuchezwa kuanzia tarehe 22/sept hadi 26/sept. Hivyo popote pale ulipo nakushauri piga shule sana ndugu yangu.over
0 Reactions
41 Replies
5K Views
mimi ni muhitimu kutoka UDOM nilimaliza mwaka jana,ila hatukusaini ada ya semister ya mwisho kutoka bodi ya mikopo ila nasikia majina yametoka na tunatakiwa tukasaini,maana usiposaini utahesabika...
0 Reactions
1 Replies
540 Views
Haya kumekucha sasa walimu wa Sayansi na Hesabati!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tupeane changamoto za maisha ya vyuoni kwetu na jinsi ya kuzishinda kwa maendeleo yetu ya kitaaluma tuwapo vyuoni na maisha kwa ujumla.
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Please help this question in an Essay form [emoji117][emoji117]..How would a ZOLA solar system support education?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndg zangu habari za Leo Nimeyaona majina ya walimu watakaoajiliwa hivi punde na serikali wa sayansi na hisabati lakini cha kusikitisha kuna watu waliingia chuo kwa indirect entry yaani DIPLOMA...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jamani kwa anaejua hostel mpya za Udsm zinaanza kutumika lini maana chuo kimeshafungua
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari waungwana Natumai weekend yenu iko poa sana. Hebu leo tujaribu kidogo kuangalia historia ya nchi zilizoendeea ni kitu gani wameanza mpk wakafikia pae walipo sasa. Angalia nchi kama Japan...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nakumbuka sera ya "rais wa wanyonge" ndiyo ilinipa nguvu kuja kumwona jukwaani dec 2015, ni miez kadhaa tu tangu nimalize chuo kikuu nikitumainia namaliza chuo mnyonge nakutana na mnyonge kiongozi...
0 Reactions
0 Replies
468 Views
December 15 2016 Waziri wa elimu, sayansi na teknolojia Prof. Joyce Ndalichako anekutana Dodoma na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu ili kujadili namna sahihi ya kuboresha sekta hiyo katika...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Chuo gani wanatoa hizi course? Na kama hazipo Tanzania basi iko wapi? Wadau naomba majibu.
0 Reactions
48 Replies
10K Views
Wakuu habari kwa walimu waliokumbwa na uhamisho wa Mh Waziri mkuu Je uhamisho umekaaje?je hakina uonevu? Je hakuna aliyetumia fursa ya ugomvi kumtupa mtu mbali? Je maslahi yenu mmelipwa?n kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za muda huu members jf-elimu!nikiri kuwa ni Mara yangu ya kwanza kupost humu jf-elimu.Ninaomba ushauri,mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE kama private candidate na amepata div.four ya...
1 Reactions
55 Replies
19K Views
Back
Top Bottom