Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari Wakuu na wenyeji wa humu, Napenda kutanguliza salamu zangu kwenu awali ya yote. pili naomba kufahamishwa kwa anaetambua kuhusu hawa Jamaa NACTE je wamekwisha kufanya selection? ama bado...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Yaani bado watu wanaishi kwa Mazoea na kufikiri kwa Mazoea. Ukweli ni kua:- Kupata Zero ni tatizo, tena tatizo kubwa sana. Zero ni sawa na umeishia elimu ya Upe.(universal primary education)...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
SISI wanafunzi wa Lugoba Shule ya Sekondari tumesimamishwa shule bure kwa kisingizio kuwa ndio tuliosababisha moto ulioteketeza mabweni mawili shuleni. Hii si kweli na tunaiomba serikali...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kati ya kuchoma na kufukia ipi ni njia halisi ya kunza mazingira?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, nimeona kwenye website ya Law school of Tanzania kuwa wameshaselect wanafunzi kwa ajili ya intake za April na August 2017. Lakini nafikiri kutokana na heavy traffic muda huu...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Mwenye notice au material yoyote kuhusu some tajwa apo juu naomba anisaidie kwa level yoyote iwe bachelor au diploma kwa wale wanaosoma mambo ya Information technology. Unaweza kunitumia kupitia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Eti mfumo wa NACTE wa kuapply vyuo unafunguliwa lini tena???
0 Reactions
2 Replies
780 Views
In relatively small amounts, carbonic acid is a chemical that can be found in sources such as human blood, carbonated beverages, and even rainwater. ... Carbonic acid is a weakacid that's formed...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
It's high time now to proud the private Universities for their work hard to produce students with quality knowledge than public universities.
9 Reactions
296 Replies
22K Views
eti wadau ni ipi combination nzuri ya kusoma kati ya EGM ,HGE, na ECA ili baadae nikiwa university nisomee either accountant au economic
0 Reactions
32 Replies
7K Views
naomba kujua kati ya CBG na EGM kwa mwanafunzi wa A-LEVEL ni Comb gani nzuri msaada tafadhari
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakati nchi iko katika hoja nzito ya uhalali wa vyeti vya mh RC Kuna kitu nimekikumbuka ambacho nimeshindwa kupata majibu... "Hakuna mtahiniwa anayeruhusiwa kutoka nje ya chumba cha mtihani nusu...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
alternatives hizi ukizifuata utafanikiwa .. 1. kama O level ulisoma science mwakani tafuta chuo ukasome diploma au certificate ya course ya afya eg nursing ,,clinical medicine etc 2. kama o level...
2 Reactions
49 Replies
7K Views
Kama kuna aliyesoma hii course au ana uelewa plz
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Kijana mmoja alikua na ndoto siku moja awe mwandishi wa filamu na muigizaji mkubwa nchini Marekani.. Alijaribu kuandika baadhi ya filamu nyingi na kuzipeleka kwa waongozaji filamu wakubwa kipindi...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Eti MTU akisoma diploma miaka ya degree ina pungua lakini akisoma a level miaka ya degree inakua vile vile mfana diploma ya mining no miaka mitatu hivyo degree in miaka mitatu badala ya minne
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Science and lab technology ya DIT ina masomo(modules) mangapi? Na vilevile inachukua muda gani
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kama ukitafuta ukweli kuhusu wangapi leo wasiotumia majina yao walioanza nayo darara la kwanza utashikwa na butwaa. Kuna umati mkubwa wa watu ambao wameshikilia nyazifa mbalimbali ambao majina...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Nnahitaji sana kwenda chuo kuliko Advance ila kujua ipi fan bora na yenye maslahi ndio nashindwa Msaada wa ushauri ndugu zng Matokeo ni Maths F Phys F Chem C Bios C Civ D Kisw C Engl C Geo C...
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Naomba kuuliza kwa wanaofahamu, je kwa mwaka huu interview ya kujiunga na kidato cha tano kwa shule ya Sekondari ya Cornerstone leadership academy kwenye kituo cha Dar itakuwa lini na itafanyikia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom