Hello jamani..
Naomba ushauri wa mawazo. Mm nataka kuanza chuo lakini am struggling a bit kwa sababu napenda Kuwa innovative na mbunifu sana na nahisi nikisomea mambo ya designing architecture...
Ningependa kujiunga oktoba kwa masomo ya jion QT kwa Advanced Level, je ntawezapata nafasi au nmechelewa ili niweze kufanya mtihani mwakan mwez wa 4 cjui wa 5 mwakan, naomba ushaur wenu wadau
Habari za muda huu wadau,
Naomba kufahamishwa kama kuna uwezekano wa mwanafunzi aliyesoma shule za Tanzania bara kwenda kujiunga na vyuo vya Zanzibar kama vile KARUME TECHNICAL COLLEGE,ZANZIBAR...
Msaada jamani,
Kwa wale wanafunzi waliosomea nje ya nchi especially Uganda tunaomba msaada jinsi ya ku apply TCU kwa anayefaham coz mwaka huu inakuwa ngumu kufanya application na hawajatoa sababu...
Habari zenu wataalamu wa elimu!
Kuna jambo linanitatiza sana! nilipomaliza mtihani wa form four 2009 kati ya mitihani yangu saba matokeo yaliyotetwa ni ya mitihani sita tuu! somo moja la civics...
Ni kweli kwamba, ukiwa mwalimu wa shule ya msingi huruhusiwi kujiendeleza na kozi nyengine?
Nina rafiki yangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), matokeo yake ni Phy f, chem c, math D, bio...
Hellow? The above,topic is referred (give reason for your answer).as we see there are so many graduates from different learning institutions,are looking for job or employments so lets discuss and...
Baraza la mitihani nchini(NECTA) leo Februari 18, 2016 limetoa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne iliyofanyika mwishoni mwa mwaka 2015.
Ufaulu umeshuka kwa 1.85% toka 69.75% mwaka 2014 hadi...
Tatizo watu hamjaelewa kitu unajua elimu ya form 4 na 6 ukiwa na alama A A B A B A F au A B D kwa form 6 unapata cheti chako tena bila bugudha yoyote tatizo chuo kikuu ukipata alama D au wengine...
Wilaya ya Urambo inapatika mkoa wa Tabora ambapo kuna shida kubwa juu ya Uongozi Wa Afisa elimu na taaluma kwa kuendekeza uhuni kwenye taaluma ya vijana wetu.?
Kuna thread ilianzishwa miaka kana...
Chama cha walimu Tanzania ni chama kilichoanzishwa kwa kufuata sheria ya vyama vya kijamii ila cha ajabu walimu walioko nje ya ajira za serikali hawatambuliki na CWT wakati vyama vya...
Habari
mwaka 2009 nilimaliza kidato cha sita pale Majengo sekondari moshi. matokeo yalipotoka nilikuwa na daraja sifuri yaani GS-S PHY-F CHEM-F na MATHS-F.
Mwaka uliofuata niliamua kurudia...
Swali: Wewe una umri wa miaka sita 6,umemzidi mdogo wako miaka mitatu 3
Mdogo wako ana umri nusu 1/2 ya miaka yako.
Je? utakapofikisha miaka 70 mdogo wako atakuwa na umri gani...
Naulza hv mfumo wa kumwezesha mwanafunz alokosa sifa za kujiunga na chet anaweza kujiunga kupitia NABE na mfumo unaojulikana wizarani na hauna madhara????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.