Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Salaam wa ndg! Nina kijana wangu wa kiume amemaliza kidato cha mwaka huu ila amepata daraja la 4 points 27, katika shule ya kata kunduchi beach. kwa kifupi alikuwa anamaendeleo mazuri akiwa...
1 Reactions
45 Replies
8K Views
Wakuu tumeshuhudia jinsi wanasheria leo walivoamua kumchagua mtu asiye muoga atayeweza kupambana na changamoto wanazokumbana nazo wanasheria,,,walimu nanyi mna kero nyingi,,hamupandishwi...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakati nachukua first degree(still Niko na first degree) nilikiwa ninawaona watu wanaosoma masters kule Mdigrii,mara utawala wakiwa na mapamflet wako wanasoma au wamebeba wanapita. Mara nyingi ni...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Heshima kwenu wanajamvi pia polen kwa uchovu wa majukum ya kila siku..... Mi ni kijana mwnye shahada ya ualimu in 2016 katik chuo kimoja wapo hapa TZ na pia Geography na history ni teaching...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
kama umebahatika kusoma shule ya sekondari MAKONGO kitu unakikumbuka na kipi unajivunia katika shule hiyo kwa kipindi chote ulichoku. -respect makongo hihh school
1 Reactions
2 Replies
5K Views
1. Tuseme ukweli, hivi mimi nizae mtoto halafu watu wachache tu wanaokipenda kiswahili waniamulie kuwa mtoto wangu lazima asome kwa lugha ya kiswahili wakati mimi kiswahili sikipendi? 2. mimi...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
wadau naomba kufahamu vyuo vya afya vya serikali vinavyochukua kuanzia ngazi ya cheti mpaka degree kwa kozi za ufamasia, utabibu, ukunga na maabara?
0 Reactions
12 Replies
22K Views
EMPLOYMENT OPPROTUNITY- TUTORS- LANGUAGES & MUSIC MWANAFUNZI CLINIC LTD: BACKGROUND:... Mwanafunzi Clinic Tanzania’s largest and most reputable tutor recruitment agency is launching a massive...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
http://moe.go.tz/index.php/sw/component/jdownloads/send/34-selections-uchaguzi/326-orodha-ya-wahitimu-wa-stashahada-ya-ualimu-wenye-sifa-mwaka-2015...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu samahanini kwa usumbufu na poleni kwa majukumu mliyonayo. Napenda kuvijua vyuo vya afya vinavyotoa kozi ya diploma in clinical medicine kwa wale wanao jiendeleza I mean tayari wana...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari wanajamvi! Mimi ni kijana mwenye kutafuta shule ya Kidato cha 5&6 ya private yenye sifa zifuatazo; 1. Yenye kuweza faurisha vizuri. 2. Yenye Hostel. 3. Ada nafuu.(chini ya M_1.5 kwa mwaka)...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jamani wana jimvi nimemaliza shahada ya ualimu ila nataka kuunga ila kwa kubadilisha course kwasababu sikuwa na wito wa kufundisha ila niliingia ualimu kwa madhumuni ya kupata mkopo na sikitu...
0 Reactions
56 Replies
21K Views
Tanzania tuna vyuo vingi sana vikiwemo private na goverment na nina matumani hivi vyuo vilianzishwa kwa ajiri ya vijana wanaotoka famili za masikini na familia tajiri. Sasa inakuwaje vyuo...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
WARAKA WA UDASA KWA WATANZANIA: HAJA YA KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA KATIKA NYANJA MBALIMBALI NCHINI Machi 2017 Miaka ya hivi karibuni imeshuhudia ongezeko kubwa la mchango wa sekta ya huduma...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari JF mimi ni mwanafunz wa chuo. Level ya diploma. Nilikuwa naomba msaada namna ya kuandaa ratiba ya kujisomea. Kwa wale wataalamu ni vigezo vipi ambavyo natakiwa kuvifuata pindi ninapo andaa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 30/01/2017, Dar Es Salaam City Center. Kozi ni ya week tano (5)...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habali wanajamvi.. Mim n mwanachuo.. Nimekua na tatzo la kukosa hamu ya kusoma kabla sijaona tar ya pepa.. Hii imenifanya kujiumiza sana pale ninaposkia ratiba imetoka kwa kusoma mambo ya mwaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1:KIJANA JITAMBUE Pana kila sababu ya kijana kujitambua maana kijana anapojitambua anakuwa na uwezo mpana wa kuchanganua mambo kiyakinifu, anakuwa na uwezo wa kuona mbali ki-fikra.. Kijana ambae...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kupatiwa KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA 2003 hata kwa soft copy
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom