Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
waliosoma muhimbili diploma ya medical laboratory vigezo vyake ni vipi wakuu mpaka uingie pale
0 Reactions
38 Replies
25K Views
Habar zenu wana jf, mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu 2015, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka, nahitaji ushauri kutoka kwenu je ipi inasoko kwa sasa, na pia ni rahisi kujiajiri...
0 Reactions
28 Replies
11K Views
...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nmerisit Nmepata division 1 ya 17 kwa pass hz Histry Geog na Bios nmepata C Math kiswahil literature na english structure nmepata B na physics chemistry na civics nmepata D.Nahtaj kusoma CBG Je...
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Samahani kwa kubadili mawazo kila siku but napenda kutengeneza future yangu iwe poa Tatizo lang ni matokeo ya form four necta 2016 yapo hiv hist,bios,chem,civ,kisw nna C eng-B geog-D na phyz...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Habar wana jf naomba kuuliza kati ya mtu aliye anza ngazi ya chet,diploma na kisha degree na mtu aliyetoka form six then degree yup anakua na nafas kubwa ya kuchukuliwa pale watakapo omba kazi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jf Naomba kuliza kuhusu mawakala wa kazi Za nje ya nchi au nafasi Za scholarships Km kuna mtu aliye na uelewa kuhusu hawa watu, tafadhali nipe link zao . Natanguliza shukran .
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Zamani ilikuwa mtu anafaulu then jina lake linauzwa kwa wenye pesa. Aliyefaulu matokeo yanatoka yanaonyesha amefeli kumbe Kuna mtoto wa kigogo amepewa na yupo anasoma huko shule ya vipaji. Kuna...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndugu zangu vyeti feki ni "mass destruction weapon" na kwa mtizamo wangu hii ni hatari kuliko kitu kingine chochote. Taifa likilea tabia ya kufoji vyeti kwanza matatizo yanaongezeka. Yaani...
1 Reactions
1 Replies
881 Views
Nm
0 Reactions
1 Replies
788 Views
Habarini wandugu.. Utafiti uliofanywa na baadhi ya wadau wa Elimu ni hakika kuwa vyuo vya private vinazalisha watenda kazi mahiri yaani (COMPETENT). Kama unabisha changia ila kwa hoja. Ndo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naje ivi ukirudi tanzania unaweza kuajiliwa bili kupunguzwa cheo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wanandugu. Ninaomba kujuzwa au kuelekezwa shule ambayo inachukua combination za Sayansi na Sanaa zenye gharama nafuu za private na zenye kutoa elimu bora. Naomba pia kujua na ada zake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anaejua sifa za kujiunga na Ustawi wa Jamii au wanataka ufaulu gani. Pia ningependa kujua ukisoma unakuwa nani. Nashukuru!
0 Reactions
4 Replies
26K Views
Hills are alive with the sound of ants — talking to each other Advances in audio technology have enabled scientists to discover that ants routinely talk to each other in their nests. Most ants...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Kwa miaka kadhaa sasa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na sita yamekuwa yanatolewa kwa kutumia namba za watahiniwa tu bila kuweka majina yao. kwa kiasi kikubwa tunaamini ni kwa sababu ya...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau wa elimu hebu nisaidieni kutatua haya maswali? Dogo amepewa homework sasa mimi mama ninatoa macho maana sikumbuki haya mambo: 1. Nomino KITI ipo katika ngeli ipi? 2. Kitenzi cha neno...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani wana JF hii kozi hapa Nchini mbona haipo na nikiangalia kwenye Prospectus ya UDsm naona imeandikwa na pale chuoni haifundishi ............hii mambo imekaa vp na hapa Tz nasikia wataalamu wa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Majina ya walimu walioomba kuhama mwezi wa 6 yamekwamia wapi? Au tayari? Mwenye taarifa atujuze.
1 Reactions
42 Replies
33K Views
Wasomi naomba msaada kama Heading inavyojieleza, vya certificate na diploma hapa Dar Karibuni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom