Salam wanabodi.
Kuna jamaa yetu mmoja alienda kuoa huko kijijini kama miaka4 iliyopita.Baada ya kufika mjini akamuona mkewe ana nia ya kusoma,akamtafutia QT ya hapo maeneo ya Akiba Dar.Binti...
Habari zenu wakuu
Nina shida kidogo nahitaji msaada wenu..kwa yeyote anefahamu shule za sekondari zilizopo morogoro anisaidie maana tunatafuta shule za kufanyia TP...Kama pia kuna mawasiliano...
Wadau,
Mjomba wangu amepata hofu kuwa binti yake hajamaliza chuo, siku ya graduation ya graduation alikataa kwenda lakini hakuna aliyehisi kitu kwakuwa hajawahi kufanya graduation hata alipokuwa...
Samahani kuna tangazo nimelisikia kwenye redio ya clouds kuhusu wahitimu kidato cha nne 2016 kushiriki katika uandishi wa essay inayohusu jambo lolote katika nchi yetu yaani ni kuchagua kichwa...
Leo napenda kuongelea swala la mafanikio kupitia mtu yaani mtu aliefanikiwa anapoamua kuwasaidia wengine wafanikiwe kama yeye au hata zaidi yake hasa vijana wanaposaidaiana kama vijana
Cha...
Habar zenu wakuu,
matumain yangu ni wazma na afya tele naombeni mniuze hili nina kijana ambaye kamalize form 4 na anahitaji kujiunga na ualimu yani kuwa mwalimu kwa ngazi ya chet Naombeni mnijuze...
Nikipomaliza kidato cha nne sikua nimelipa ada ya mtihani hivyo basi matokeo yalipotoka ya kwangu sikuyaona.nimefatilia wakaniambia matokeo yakikaa miaka miwili bila kulipiwa yanafutwa mtandaoni...
nilikua naomba kuuliza mimi nilikua na cheti chenye pass ya masomo matatu nikaja kurisiti masomo mengine tofauti na yale nikapata pass tatu nyingine za masomo mengine
swali je ninaweza kupata...
Habari wakuu.
Kwenye uchaguzi wa degree programme ya tano nimejaza>Bachelor degree in Labour relations and Public management.
Je ajira ni maeneo gani?
Mimi ni Mwalimu nimeamua kubadili fani ili...
Aliyechaguliwa Mbeya University of science andtechnology tafadhali anipe update ya kinachoendelea chuoni endapo ameshawasili au atakama anajua lolote kwasasa
Ndugu zangu polisi, hivi huko police training school, mnafundishwa kupiga virungu, mateke, risasi na kuua? Hakuna somo la kusimamia maandamano yawe ya amani? Hakuna somo la utaratibu wa ku-deal na...
Wakuu naomba mnijuze hv ualimu ngaz ya chet bado upo mana nataka niombe mwaka huu,Nina div 2 form four na div 3 ya cut point ya5 advance,ila uwezo was kusma dgree au dplma ela cna,nataka nsome cht...
ndugu mtanzania jihadhari na matapeli wanaojiita shirika la elimu tanzania. shirika hili linamilikiwa na matapeli gordon na wendy na wamekwisha walaghai graduates, diploma na A&O level students...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.