Wana social science huwa wanatumia indicators kupima variable flani katika jamii. Mfano kuna indicators za kupima kiwango cha umaskini, indicators za kupima kiwango cha ujinga n.k.
Sasa kama...
Ndugu Wadau msaada kwenye tuta:
Nahitaji sana kusoma hii course na sina ufahamu inapotolewa kwa hapa Tanzania, mwenye ufahamu Tafadhali anisaidie
Ningependa kupata maelezo kuhusu mahali...
Jamani wana jamvi naomba kujua. Kwa kozi zitolewazo ADEM kwa level ya diploma, je unaweza utumie ufaulu wake kusoma degree ipi na wapi ? Ikizingatiwa kwa sasa ni mwalimu wa daraja la IIIA
Mwanafunzi ambaye anataka kupata alama za juu katika mtihani wake lazima awe mtu wa kujiandaa kila siku kwa kutumia dondoo zifuatazo ili kujihakikishia uwezo wa kufaulu na kuepukana na dhana ya...
Matokeo mabovu, matus kwa walimu, kazi kubwa mshahara mkia wa mbuzi, kuishi vijijini kusiko na fursa chanya, maumivu ya 15%, kutokopesheka zaidi ya 7,100,000, kupigwa na wananchi, n. k, n...
SIKU moja baada ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutangaza utata wa udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu, wadau wakubwa wa elimu, wamejitokeza kupinga hatua hiyo. Wadau hao ni pamoja na Chuo...
Naomba mnifahamishe jinsi ya kutuma maombi Necta yaan ku aply nmetuma 20000 lkn inaonyesha nmebugi hasa pale kwenye kuanza kutuma hela unaingia kwenye no ya compuni au WAP? wakuu nmeshapoteza 20...
Wale tuliosoma shule ya wajanja AZANIA tujuane kupitia hii thread kwa kukumbushana vituko na vijambos vilivyotokea kipindi hicho upo ndani ya shamba la One(Azaboys)...........Tafadhali kama unaona...
Hapa ni link ya kuangalia kama umepata au laah unaandika namba ya form 4 na code walizokupa hapo.
Kumbuka format ya form 4 no. ni s0001.0001.0001 na sio s0001/0001/0001
Link hii hapa...
habari wadau
1.Naomba msaada kuhusu fully funded scholarship zitolewazo sehemu mbalimbali dunia
2.Jinsi ya kuomba hizo scholarships
3.website mahsusi za scholarships
To all who are interested in pursuing Certifcate in Medical Laboratory Sciences, Certificate in Pharmaceutical Sciences, Diploma in Medical Laboratory Sciences and Diploma in Pharmaceutical...
Ndalichako tunakuomba ufute form four tuanze na cheti maana naona kijana Mako anafanya vizuri.
Hii ni kwa Zulu sababu Mako hakuwa na sifa ya kujiunga na cheti hapo Nyegezi lakini kwa kutumia sifa...
Wakuu habari zenu!
Ninaomba kujulishwa kuhusu tangazo la nacte la tarehe 23 january kuhusu kufunguliwa kwa dirisha la udahili wa ngazi za cheti na stashahada .
Moja ya sifa za mwombaji wamedai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.