Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
vipi ni vigezo vya kuingia kusoma masomo ya degree kutokea diploma na advance na form four kwa mwaka hu wa masomo kwa mujibu wa tcu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hivi ni kipi bora kusoma diploma in early child hood care and education(stashahada ya elimu ya awali) Na kusoma na diploma in primary education lakini ni kwa masomo ya sanaa?
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi nilimaliza form 6 mwaka 2015 Nina Physics D Chemistry B na Biology B+ nilichaguliwa chuo cha St John bachelor of pharmacy ila sasa nimeacha kwa sababu ya kukosa mkopo. Naombeni mnisaidie...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
....mie nadhani sababu za shule mji wa Dar kuwa wa mwisho ni pamoja na; ...shule nyingi kuwa DAY na sio BOARDING, ...Boarding,huwa kuna mazingira rafiki ,kwa mwanafunzi kufanya vizuri,kwani...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Kutokana na sera iliyopo kwa sasa ya elimu kuwa bure ambapo kama tujuavyo elimu inamchango mkubwa sana ktk maisha yetu,lkn binadamu/watanzania hatuitaji elimu bali tunahitaji elimu bora. sasa kwa...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Naomba msaada wa kuchora jedwali la majira ya nukta kwa kutumia microsoft word
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Leo tar 27 febr majina mengine ya mikopo yamebandikwa chuo cha StJohn ,Majina ya watu mia hamsin150 ya walio Appeal ; Kwa tulio Fanya Appeal tusikate tamaa majina mengine bado yanatoka.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Polen na majukumu wadau.Samhani naomba msaada wa kunijuza ni shule zipi za boarding (O level),zenye ada isiyozidi 1m kwa mikoa ya Pwani na Morogoro. Kwa anayefahamu Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Dah. ..leo kwa mara ya kwanza najuta kwanini sikumpa kura huyu mzee..pamoja na yote nakumbuka ahadi yake ya kufuta madeni yangu ya bodi ya mkopo. Magufuli ...this is too much!!!!.... Ongezeko la...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Nahitaji kutuma maombi ya mdogo wangu katika ngazi ya diploma katika vyuo vya sayansi, amemaliza form 4. Naombenii msaada wenu, je kwa mwaka huu kuna vyuo havijafunga kutuma maombi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Msaada kwa mwenye ufaham kuhusu course tajwa hapo juu.. kuanzia qualification za kuingia, muda wa kusoma ni miaka mingap,na ada zipoje? msaada tafadhali.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nauliza tu, hivi tokea lini NECTA wanatoa vyeti kwa waliopata division zero? Maana nimesikia na ninaamini asilimia kubwa baadhi yetu tumesikia hii kauli ya kuwa kuna mtu ana cheti cha mwenzie kipo...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Naomba kuuliza hivi mwaka huu BTP kwa walimu ipo? Mwenye tetesi anijuze.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna dgo alimaliza 6 mwaka 2015 akapat D-bio,D-geo & s- chemistry Anatak aombe degree ya medical laboratory..... Je anaweza pata au anyooke tu kwa diploma???????? #msaada!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
[emoji121] WAKUU, MSHAHARA UNAOBAKIA BAADA YA MAKATO YOTE KWA MWALIMU ANAYEANZA NA DIPLOMA NI TSH. 418,700/=. WAKATI BAADA YA 'UFYONDHAJI' WA HII ASILIMIA YETU MPYA HII 15% NA MAKATO MENGINE...
6 Reactions
41 Replies
8K Views
Habar wadau,kuna group la walimu wa sc phy,math,chem na bios limeundwa ili kumake discussion na kushare vitu mbalimbali,vinavyohusu masomo yetu,changamoto tulizonazo na nn kifanyike, nitafute...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukiangalia orodha iliyotolewa na TCU Saut mwanza ina idadi kubwa ya wanafunzi ambao wanaosoma bila sifa. Angalia orodhayao hapa chini inatisha
0 Reactions
77 Replies
14K Views
Wale ambao majina yao yametolewa na TCU kwamba hawana vigezo ,hata kama ulimaliza chuo, cha kufanya ni kwenda chuo ulichosoma ukiwa na vyeti vyako vyote Kidato cha Nne Kidato cha sita Kama ni...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wanavyuo ambao majina yao yapo kwenye tangazo la TCU wametakiwa kutokua na hofu [ Msemaji mkuu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Edward Mkaku ametoa ufafanuzi kuhusu tangazo lililotolewa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom