Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wanabod nimehtimu fani ya maendeleo ya jamii ngazi ya stashahada ambapo nlianzia na koz ya nabe(pre entry) hapo awali ilikuwa iktolewa na serikal kwa walokosa vigezo, nmeshndwa kuendelea na elimu...
0 Reactions
20 Replies
21K Views
TCU wametoa majina ya wanachuo waliodahiliwa vyuoni bila eti kuwa na sifa! Udahili wote wa vyuoni ulifanywa na tcu kwa kupitia mfumo wao wa cas.Huwezi kuingia cas bila kuwa na index no. ya mtihani...
4 Reactions
61 Replies
8K Views
Salamu wakuu Imekuwa kawaida kwa watanzania na wasomi wa nchi hii kulalama kila uchwao kwamba elimu ya Tanzania haimjengei mwanafunzi uwezo wa kujitegemea mwenyewe pia mambo mengi yaliyopo katika...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa wale wajuzi wenzangu wa Hesabati.
1 Reactions
17 Replies
9K Views
Jamani nimeombwa ushauri hapa nikashindwa kujibu , kwamba kwa mwanafunzi aliyedisco na alikuwa sponsored na HESLB, inatakiwa afanyaje ili kuomba upya na kuwa sponsored pia?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimeona chinese scholarship zimetangazwa, sasa kuapply kuna njia mbili, kuna kuapply moja kwa moja kwenye chuo unachotaka kusoma na njia nyingine ni kuapply kupitia ubalozi wa china, Kwa wazoefu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu mimi nilikuwa nahitaji kurudia mtihani wa kidato cha nne kwa shule inayofaulisha vizuri hivyo napenda anaefahamu ada ya Tusiime anisaidie niitambue au shule yoyote ilio vizuri katika maswala...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajukwaa habari za Leo, ninaomba msaada wa mawazo, faida na hasara, ya kusoma Master degree Open University, nataka kusoma degree ya Biolojia, kwakuwa watoto bado wadogo, pia nataka kuwekeza...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu Mimi nimemaliza kidato cha sita 2016 HGL naitaji niende kusoma kozi ya Law enforcement so plz wakuu anaeilewa coz ii plz Masada naamini nitasaidiwa
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Wadau Habar za harakati za maisha,,samaani naombeni mnipe utaratibu wa kuomba uhamisho TAMISEMI, Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kwa wale wanaodaiwa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu, hawawezi kwenda kusoma nje ya nchi mfano kuchukua masters mpaka wamalize kurudisha mkopo wao wa elimu ya juu au ?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Ni kama swali jepesi sana kwa nyakati hizi lakini nahitaji sana ushauri na maoni yenu. Nina mtoto mdogo wa miaka miwili na miezi kama 4, mama yake anataka tumpeleke shule, pamoja na...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari zenu , naomba kusaidiwa hili, Kkatika somo la geography form three kuna topics za physical geography ni ndefu sana huwa mnatumia mbinu gani kuzimaliza kuzifundisha kwa muda mfupi
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Mwanafunzi kamaliza certificate ya "Youth work" na ana pass ya "Mathematics" secondary education.. chuo cha mwalim nyerere soo anataka kusoma diploma ya "Marketing management" je!? chuo kipi ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hello JF members. Naombeni anaefaham sehem (duka) ambayo naweza kupata chemical na vifaa vya Maabara hapa Dar (ukitoa LAB EQUIP) naomba anisaidie kwa kunielekeza. Either by comment, PM or call...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau! Ningependa kufungua shule ya kutoa computer short courses ila sijui process za usajili wake inakuwaje. Msaada kujuzwa tafadhali.
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Wakati narudi toka job nikapitia kwenye kikao cha kahawa mtaani kwangu. Hapo kuna watu wameishia la tano tu ila wanajenga hoja si mchezo. Mada ni kuwa kuna wanaosema mainjinia wao ni kubweda...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
kuna utaratibu wa serikali kuoffer scholarship kwa Wanafunzi mbali mbali kwenda nchi kama China,Russia,Ukraine,India Algeria nk Kufuatia seke seke hili la wadeni wote kutakiwa kurejesha taratibu...
0 Reactions
3 Replies
891 Views
Naitwa mwl George Temu nafundisha mathematics ktk secondary moja hapa mjini Moshi. Mwaka 2015 nilipewa ruhusa kwenda masomoni SUA (bachelor of mathematics and informatics), lakini nyuma ya pazia...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Use below link 1 to signup and get 10 GB free cloud space where you can copy all the below files (ACCA MATERIALS) on link No.2 to your account. Link 1:http://mfi.re/?frb0e8i Follow below link to...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom