Ukweli hawa jamaa wapo vizuri, wanaajiriwa kwa kutumia njia nzuri tofauti na njia wanayotumia wizara ya elimu. Huweza kuajiriwa kwenda kufundisha shule hii bila kusailiwa na sekretarieti ya ajira...
Nikiwa najaza details zangu wakati nikiomba kazi online au scholarship huwa nakwamia kwenye hicho kipengele hicho cha kujaza postal code/ZIP na country code. Mwenye kujua naomba anitajie.
Niliwahi kuambiwa kwamba kuna watu huzaliwa na vipaji Fulani.. Mfano kucheza mpira,kuimba,.. Usanii wa aina mbalimbali pia ukiwemo..na uwezo wa kimasomo vitu kama hivyo...
Nimekuja kuona kwamba...
Mkoa wa DSM umetoa shule sita za mwisho kwenye matokeo ya kidato cha nne-mitihani iliyofanyika 2016 na matokeo kutoka siku chache zilizopita.licha ya mkoa huu kuwa na makao makuu ya mamlaka zote...
Hatimaye kile kilio cha wengi sasa kimepata ufumbuzi bodi ya mkopo ya elimu ya juu nchini Tanzania HESLB imeachia majina ya awamu ya kwanza ya wanafunzi waliopata mikopo baada ya kuappeal kuna...
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
Baraza la Mitihani la Tanzania limesikitishwa na taarifa ya UONGO iliyotolewa na Gazeti la Nipashe toleo Na. 0579130 la tarehe 19 Februari 2017...
Wakuu habari za usiku.
Ntumaini sisi sote tunafahamu kuhusu hili swala la elimu msingi ambayo inamtaka kila mwanafunzi kusoma kuanzia elimu ya awali mpaka kidato cha nne bila malipo (maarufu kama...
Nawasalimu kwa jina la amani.
Mdogo wangu alipangwa na NACTE kwenda kusoma diploma ya pharmacy ST FRANCIS COLLEGE Ifakara.. Sasa hakwenda kwa sababu ya matatizo ya kiafya.
Sasa nataka afanye...
"umasikini umegawanyika sehemu mbili,yaani umasikini wa mawazo na pesa.Ndani ya umasikini wa elimu kuna umasikini wa mawazo.
Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa mawazo kwa maana kwamba...
Division One ya 8 alipata Civics-A, History A, Geog-C, Kiswa-B, English-B, Phy, Chemistry,Biology, Maths yote A, Computer D
MY TAKE: Mimi sina ugomvi na mtu nimeweka tu kama INSPIRATION
Samahani ndugu naulza TUTION zilizopo mwenge dar na bei zake ili niende nikasome ,,,naulizia bei za topic Kama vile
1.mechanics (physics)
2.general chemistry
3.physical chemistry
4.organic...
Habari yenu,kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa mmoja wa wanafunzi anaesoma SUA,kasema kuwa matokeo ya mwaka huu yavunja rekodi,kwani kuna discontinue 150,prob:6993.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.