Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za valentine! Wakuu kwa hii drama inayoendelea chuo kikuu kishiriki cha elimu DUCE hakikubaliki kabisa kwani kinaumiza na haiingii akilini kwa wahitimu wa mwaka 2016 kuhitajika warudi chuo...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani habari zenu humu ndani, Nilikuwa naomba kujua kama mtu aliyemaliza Diploma ya Clinical Medicine na akapata GPA ya 3.5 matokeo ya mwisho akitaka kujiunga na degree ya MD inawezekana. Je ni...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimemiss matukio ya hizi shule mbili sababu zilikuwa kama mapacha lakini Eckernforde ndo walikuwa kama waalimu wao. Hebu tujikumbushe jamani tuliosoma shule hizo miaka hiyo!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tuchukulie mfano unafanyika utafiti leo hii.... ni vitu vingapi tulivyojifunza shule (ya msingi, sekondari O - level na Advance Level) vinatusaidia katika maisha ya kila siku? Najaribu tu kuwaza...
17 Reactions
149 Replies
14K Views
Kuna mdogo wangu anapenda kuwa daktari naombeni Chuo cha afya kwa level ya diploma ni IPI?? Kipi ni kizuri? ana div 2 form four na GPA 2.7 PCB, msaada plz.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa maeneo mazuri kwa field ya umeme kwa hapa Dar es Salaam
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za usiku wana JF, Kama kichwa cha habari kinavojieleza natafuta chuo kwa ajili ya kusoma ORDINARY DIPLOMA IN ELECTRICAL ENGINEERING, nahitaji kujua chuo kinachofaa na vizuri zaidi kiwe kipo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Salaam wakuu Naimani humu kuna watu wenye uwezo na fikra pana Nimeona nilete hoja yangu kwenu mm nina 21 yrs sasa Elimu yangu kidato channe Lakini Nina shauku au nina ndoto zakuja kuwa kiongozi...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Ratiba hiyo imetoka Leo, pakua hapo chini
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika maisha ya elimu, kuna maajabu mengi. Yaani katika mazingira sawa. mepesi au magumu lakini utakuta zaidi ya 70% ya wnafunzi wanakimbilia masomo ya Sanaa na biashara na kuachana na sayansi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimehitimu chuo cha ualimu grade a 2015 nahitaji kujiunga na jwtz wadau embu naomba mnifahamishe napataje nafasi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jf! Ninamdogo wangu alihitimu mwaka Jana ana div 3 ya 22 ameharibu michepuo karibu yote ana C 6 za kemia, baiolojia, jiografia kiswahili civics na,English historia d,phys na math f...
1 Reactions
1 Replies
678 Views
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limesitisha mpango wa kuwafanyia mtihani wa udahili wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu katika shule za sekondari za...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Nimeapply Chuo cha mweka kwenda kusoma wildlife management certificate but natoka familia masikini nisaidieni mashirika yanayofadhili maana karo tu ni million kwa mwaka mmoja
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wana JF tangu utoton nina dream ya kusomea fan tajwa hapo juu. Naombeni mnidadavulie ipi inalipa zaidi kwa kuajiriwa au kujiajiri.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakuu habarini, Najua kuna wazoefu humu wa hili suala na wataalamu mbali mbali nimatumaini yangu hapa nitapata suluhisho Nina mdogo angu anapass ya mchepuo wa CBG(chemistry..biology...na...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za Leo wanajamvi, Naombeni msaada wenu wa kupata past paper za QT kuanzia mwaka 2006 - 2013 za History, Geograph, English , Kiswahili na Civics . nina msichana ninayemsomesha...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
HABARI WANA JF! Hivi hizi maabara ktk shule za kata zina maana gani? maana mi tangu nipo form one mpaka sasa niko form four hatujawahi kufanya practical yoyote. je, kwani practical huwa...
0 Reactions
2 Replies
779 Views
Back
Top Bottom