Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu wakuu? Sorry ase najaribu kufungua website ya NACTE toka jana haifunguki kabisa, ninahitaji kuisoma guidebook kwa wanaoapply kuanzia mwezi huu hadi March. So please naomba kwa ambaye...
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Update Wakuu mlioko vyuo vya ufundi hali ikoje kwa harakati za utoaji mikopo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ualimu ndio taaluma pekee yenye mamluki na makanjanja wengi, taaluma imeingiliwa na watu ambao hawana taaluma ya kazi hii huku wengi wakiwa ni wale waliokuwa wanasema hawawezi kuwa walimu baada ya...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Je matokeo ya QT form two pia yametoka?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habar zenu....naomba kujuzwa ni kazi gani ambazo anaweza kufanya graduate wa sheria ambaye hakupitia law school?
1 Reactions
3 Replies
3K Views
What are the importances of educational measurement
0 Reactions
2 Replies
655 Views
Baada ya kuahirisha mitihan ya semista ya kwanza kwa sababu ya kiafya, niliandika barua mwezi wa tatu nwaka jana ya kuahirisha ( postponement) mitihan michache lakini barua ikachelewa Kutoka kwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
deregistration upon revocation of your re-admission
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Gazeti LA mwanahalisi lapewa Massa 24 kuomba radhi kwa kosa la kumchafua Rais UFISADI NDANI YA OFISI YA JPM
0 Reactions
10 Replies
1K Views
...hamjambo humu.....? ...nilikua napendekeza kuwe na state kindergarten schools.... ...zinakuwa za serikali,na zinafundisha kingereza kama zile private medium school zinavyofanya, ..mzazi awe...
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Jamani waungwana hizi tetesi zinaukweli?kunamdau mmoja kanambia kuwa yeye ametuma na akanipa hii ps@tamisemi.go.tz. Lakini nimejaribu bila mafanikio.nimejitokeza humu kutaka kujua kama taarifa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanabodi, nimeona nirudi shule maana uzee nao huo jirani ...nimevutiwa na Masters in international business pale UDSM baada ya kureview programme contents na kujiridhisha kuwa nitaongeza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana jf, Kama ilivyo kwa vyuo vikuu kuwabakiza na kuwaendeleza wale vipanga wenye GPA kubwaa wawe walimu kwanini huku ngazi ya chini goli ni kubwa la kila mtu kuweza kusomea ualimu...
5 Reactions
111 Replies
8K Views
Nimeangalia matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kwa kweli hali ni mbaya sana. Kuna shule ilikuwa na wanafunzi 250+, kati yao 75 wamefeli kabisa na hivyo wanatakiwa kukariri darasa la...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Nikianza na wale wenye principal pass E ya mwaka 2013, na principal pass D ya mwaka 2014-2015 na hawa ndugu zetu wa diploma wenye gpa ya 2.0-2.9. Foundation course Open University...... Je...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama ungependa au ndugu yako kuchukua masomo kwa ngazi hiyo na eneo tajwa. Nitumie ujumbe ili nikujulishe cha kufanya.
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Wadau wa elimu nawaomba kujulishwa iwapo Nina Certifate ya Urasimu Ramani Na Nina elimu ya kidato cha NNE je naweza kuomba kusoma Chuo Kikuu cha Ardhi ili kuchukua kozi ya mipango miji?
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Tupo tayari kusikia na kupokea taarifa iliyo rasmi, hata kama ajira hakuna tuambieni tu kama mlivyofanya kwa Walimu tarajali wa masomo ya sanaa. Kama ni uvumilivu tumefanya wa kutosha sana...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakuu natumai mko wazima, Msaada wenu wakuu hizi kazi za ubaharia zinapatikana wapi? Na unatakiwa uwe na elimu gani? natamani nikafanye kazi katika meli za nje. kama kuna baharia au mjuzi humu...
1 Reactions
27 Replies
14K Views
Back
Top Bottom