Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

DUKA LA MAFUTA YA TAA LA MAMA MARIA NYERERE KARIAKOO NA MAGOMENI 1955 Duka la kwanza la Mama Maria Nyerere lilikuwa Mtaa wa Livingstone na Mchikichi kisha Mama Maria akafunga duka hili la...
11 Reactions
18 Replies
3K Views
UCHAGUZI WA RAIS WA TAA: ABDUL SYKES NA JULIUS NYERERE UKUMBI WA ARNAUTOGLO 1953 Kumekuwa na mwamko mpya wa kutaka kuijua historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Wadau wengine wa historia ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Video ya Nyerere ambayo alirekodi mu Australia mwaka 1959 Nyerere alivyotembelea Lindi.
16 Reactions
35 Replies
7K Views
ABDULWAHID KLEIST SYKES ANAMKABIDHI JULIUS KAMBARAGE NYERERE CHAMA CHA TANU 1954 ''Chama cha TANU kama vuguvugu la siasa kilikuwa katika fikra za Abdulwahid kwa miaka mingi na alijitahidi sana...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
SIASA ZA WAZI KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1950 Mtangazaji Khalid Gangana kalipenda neno, "Wazimu," na kalitumia kwenye kipindi hiki. Neno hili mimi nimelichukua kutoka kwa Dr. Harith Ghassany...
1 Reactions
0 Replies
722 Views
MSHUME KIYATE ALIKUWA NA UHUSIANO GANI NA JULIUS NYERERE? Wadau wa historia ya uhuru wa Tanganyika wanataka kufahamu Mzee Mshume alikuwa na uhusiano gani na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
ALIPOISHI BABA WA TAIFA BAADA YA KUACHA KAZI YA UALIMU 1955 Hapo ilipo nyumba hii ilikuwapo nyumba ya kawaida ingawa kwa wakati ule nyumba hiyo ilikuwa nyumba ya kuvutia pia. Nyumba hiyo ilikuwa...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari za Wikendi wanaJamvi. Bado inawaumiza vichwa sana wana Historia na wanaanthropolojia hawa watu walifikaje India kwenye visiwa vya Andaman na Nicobar? Nadharia tofauti zinadai hawa watu wa...
38 Reactions
602 Replies
132K Views
MATAYARISHO YA NYERERE DAY 2021 Tukielekea Nyerere Day 2021 wadau wa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kwa hakika ndiyo historia ya Mwalimu Nyerere wamekuwa wakinihoji mengi kuhusu maisha...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekutana na hii video nikajiuliza hili swali: Je, tunaweza kuandika na kufundisha historia yetu kwa kutumia teknologia ya vikaragosi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kibao cha Ouija Kwa kipindi cha karne na karne binadamu wamekuwa na shauku kubwa ya kuongea na wapendwa wao waliokufa au aina nyingine za roho. Hali hiyo ilipelekea kuvumbuliwa kwa kibao (OUIJA...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
ALLY SYKES, JULIUS NYERERE, ALLY MWINYI TAMBWE NA BI. MAIDA SPRINGER MOSHI 1957 Kutoka mswada wa Ally Sykes, ''Under the Shadow of British Colonialism The Autobiography of Ally Kleist Sykes.''...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
HAVE YOU EVER READ THIS? LET'S KNOW WHERE OUR MEN STARTED FROM The history of the Tanzania Peoples Defense Force (TPDF) stretches back to when the Germans ruled the area known then as German East...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
ZAIDI YA MIAKA 50 ILIYOPITA Shule ni St. Joseph's Convent School. Mwaka wa 1967. Darasa Form 1D. Class Teacher Mrs. De Souza. Darasa hili mchanganyiko Wasichana na Wavulana. Form 1C Wasichana...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Bwana Yesu Kristo (Adonai Yahushua Masiha) alizaliwa during the Feast of Tabernacles. Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa. The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
JOHN LIMO WA TPC NA CHAKI WA COSMOPOLITAN Picha ya kwanza ni ya John Limo na picha ya pili ni ya Chaki mbae katika miaka ya 1960 alikuwa golikipa wa Cosmopolitan na Timu ya Taifa na aliacha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Waarabu wa kale waliweza kuchonga miamba na kuifanya makazi, waliweka milango na madirisha kujikinga na baridi pia wanyama wakali hata wezi. Walikwenda mbali zaidi katika mazingira ya Zama za Mawe.
18 Reactions
25 Replies
4K Views
MAZUNGUMZO MAFUPI NA KITUKUU CHA ABUSHIRI BIN SALIM AL HARITH Leo jioni nimeingia katika duka moja. Baada ya salaam kijana aliyekuwa pale dukani nyuma ya counter akanishukuru kwa kumwandika babu...
8 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom