Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kabla ya ujio wa wakoloni wahenga walikua wawindaji. Wenye nguvu waliwinda wanyama na wengine wakitembea kutafuta mizizi na matunda. Matunda ya asili yalikua ni pamoja na matango. Wawindaji...
7 Reactions
5 Replies
2K Views
Tusaidieni kujua, inaonyesha aliuawa 71 na kuzikwa 79. #RIP ZHP
6 Reactions
20 Replies
5K Views
Tujumike kutizama ni wapi tulipotoka enzi mababu zetu wakati wa ukoloni,hiizi picha chini picha za jiji la mbeya kwa sasa ambazo zilipigwa miaka ya 1936-1937
2 Reactions
4 Replies
2K Views
[18/09, 22:27] MOHAMED SAID: Historia Ya Uhuru Wa Tanganyika |1950 - 1961 | Mohamed Said | Shemu Ya Kwanza [18/09, 22:27] MOHAMED SAID: Tutaaza Saane na nusu Usiku Huu, LIVE usikose Sehemu ya Kwanza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Picha hiyo hapo chini ya Bi. Titi na akina mama wa Bukoba wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika nimeletewa kutoka Bukoba na mmoja wa watu ambao nawaheshimu sana katika kuhifadhi kumbukumbu...
26 Reactions
41 Replies
5K Views
ALIPOISHI BABA WA TAIFA BAADA YA KUACHA KAZI YA UALIMU 1955 Hapo ilipo nyumba hii ilikuwapo nyumba ya kawaida ingawa kwa wakati ule nyumba hiyo ilikuwa nyumba ya kuvutia pia. Nyumba hiyo ilikuwa...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
From Adam hadi Abraham (around 2000 years) patriachs ndio walikua watunzaji wa tumaini la injili. From Abraham hadi Yesu (around 2000 years) Abraham, Isaac, Jacob na uzao wao (Taifa la Israel la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
GREAT DISAPPOINTMENT Great disappointment katika harakati ya Millerite ilikuwa majibu ambayo yalifuata tangazo la mhubiri wa Baptist Miller kwamba Yesu Kristo atarudi Duniani kufikia 1844, kile...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
KINYOZI MWINGEREZA NA BARZA YAKE KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA Miaka ni 1950 kuendelea hadi 1960 hapo kwenye hiki kiwanja na hilo jengo alikuwa kinyozi jina lake Muingereza. Mwingereza...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
LEO KATIKA KUMBUKUMBU KUTOKA IKULU Naangalia picha hiyo hapo chini iliyowekwa na Ikulu kama kumbukumbu na kwa hakika imenirudisha nyuma. Ninapogeuza shingo kuangalia nyuma mimi hupenda kuingia...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA Lango kuu la kuingia jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) lililojengwa katika miaka ya mwanzoni miaka ya 1930...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NGOME NDOGO ALIYOJENGA HERMANN VON WISSMAN BAGAMOYO Kiasi cha miaka 10 iliyopita nilifika kwenye hii ngome ndogo aliyojenga Hermann von Wissman wakati jeshi lake lenye askari wa Kinubi na Kizulu...
9 Reactions
7 Replies
2K Views
MTOTO WA GEREZANI ANAGOMBEA UBUNGE CANADA Originally a native of Tanzania, I immigrated to Canada settling in Ottawa where I graduated from Ridgemont High School, followed by attending the SUNY...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
OFISI YA EAST AFRICAN MUSLIM WELFARE SOCIETY (EAMWS) DAR ES SALAAM Hilo jengo hapo chini ndipo ilipokuwa ofisi ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS)kabla ya kupigwa marufuku na serikali...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene...
4 Reactions
55 Replies
27K Views
Mwenye kufahamu vyema historia ya mwafrika mwenzetu anayetajwa kama mtumwa jeuri naomba atujuze hapa jamvini. Nawasilisha. ===== KUNTA KINTE NA SIMULIZI YA UTUMWA WAKE HUKO AMERIKA KUNTA...
4 Reactions
25 Replies
7K Views
Mimi napenda kujua kwa mwenye habari zinazohusu kesi ya uhain ktk miaka ya tisini na kifo cha komando tamimu kilitoke vp mwenye kujua aniabarishe hapa jamvin
1 Reactions
157 Replies
79K Views
Wengi huita siku ya MaShambulio ya al-Qaida dhidi ya Marekani, Mashambulio ambayo yalichukua takribani uhai wa watu zaidi ya 3000. Kulitokea mashambulio Manne ambayo yalitumia ndege Nne...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni vizuri viongozi wa Tanzania (na viongozi wa Afrika) wakayajua Majina haya Matakatifu ya kwenye Biblia: Adonai YAHWEH na Adonai Yahushua Masiha. Labda hii itawasaidia wawe viongozi bora. Ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mtaa wa Congo upo Kariakoo Jijini Dar es Salaam Mtaa huu umekuwa Maarufu sana kwa Wingi wa Watu toka Mwaka 1920 mpaka leo. Je, UMAARUFU wa Mtaa huo ni NINI? Kwanini Muda wote una Watu Wengi...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom