Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

MUZIKI ULIOCHELEWA WA OMARI KUNGUBAYA Omari Kungu Baya alikuwa mpiga guitar maarufu katika miaka ya 1970. Nyimbo yake, "Salaam za Wagonjwa," ilikuwa ikifungua kipindi cha Radio Tanzania Dar es...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Inasemekana alihamia Uingereza na Malkia Catherine wa Aragon kutokea Hispania. Alikua mtumbuizaji kwenye mazishi ya Mfalme Henry VII na aliburudisha siku Mfalme Henry wa VIII anawekwa wakfu...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
In the United States, the anti-vaccinationist movement, using pamphlets, court battles, and fights in state legislatures, succeeded in repealing compulsory vaccination laws in California...
1 Reactions
1 Replies
651 Views
WAZEE WANA USEMI "CHINI KUNAKWENDA WATU" Picha hizo mbili hapo chini hazihitaji maelezo mengi ni picha za Abdul Sykes na Julius Nyerere na wake zao. Picha ya Abdul Sykes imepigwa Government...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
JIFUNZE HISTORIA YA TANU KUTOKA MAKTABA YA MOHAMED SHEBE Angalia umma uliokuwa unahudhuria mikutano ya TANU Mnazi Mmoja. Nimefahamishwa kuwa shajara (diary) za Abdul Sykes zina hotuba za Nyerere...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shekhe Amri Abeid ni mmoja ya washairi maarufu Tanzania na Meya wa kwanza Mwafrika ambaye pia ni mwanafunzi mwenzake wa Baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakiwa wamesoma wote shule...
15 Reactions
37 Replies
9K Views
Habari ya uzima wanaJF, natumaini mko wazma sana. Kazi iendelee. Nimepokea jumbe nyingi kutoka kwa wadau mbalimbali wakiomba niweke bandiko kuhusu Sutherland’s Seven sisters, Kwani niliwagusia juu...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
Israel haina mamlaka juu ya Gaza wala Jerusalem wala West bank. Israel ilivamia tu maeneo hayo ya Palestine toka miaka ya 1960s. Palestine ilikuwepo na kihistoria ilitawaliwa na Uingereza. Je...
8 Reactions
155 Replies
19K Views
NAMKUMBUKA RASHID KHERI BAGHDELLEH RAFIKI WA BABA YANGU Anza kwa kuangalia picha hapo chini. Baba Said Salum, Babu Salum Abdallah na juu ni Kheri Rashid Baghdelleh. Baba na Baghdelleh...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Tuendelee tulipoishia.... Mara baada ya kufariki kwa wazazi wao, basi ule usemi wa “wazazi ni nguzo; zikidondoka basi nyumba haina faida tena” ukachukua maisha ya mabinti hawa. Walitumia fedha...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
ABIRIA CHEO CHA PILI DARAJA yangu katika kazi sasa ilikuwa imeniwezesha kusafiri kama abiria wa cheo cha pili katika gari moshi. Mapendeleo haya yanayotamaniwa yalinijia baada ya miaka kumi na...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Tarehe 6 August 1926 mdada huyu alikuwa mwanamke wa kwanza Kuvuka mlango bahari kati ya Uingereza na Ufaransa (The English Channel) kwa kuogelea Kilomita 56.327 kwa masaa 14½ tu. Aliporudi kwao...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Mshiki: Dada Mamkwe: Mtoto wa Pili wa Kike katika Familia Haikaelly: Asante Mungu - Jina la kiume Haika: Asante,Jina la kike Finyaelly: Nguvu za Mungu Ndekarisho: Ndekirwa: Nderingo: Elikunda...
1 Reactions
15 Replies
18K Views
TGOS A TGOS A 1. (Sh240,000), TGOS A 2. (Sh245,600), TGOS A 3. (Sh251,200), TGOS A 4. (Sh256,800), TGOS A 5. (Sh262,400), TGOS A 6. (Sh268,000), TGOS A 7.(Sh272,000), TGOS A 8(Sh279,000), TGOS A...
5 Reactions
43 Replies
25K Views
Mji wa songea upo mkoani Ruvuma ndiyo manispaa pekee iliyopo katika mkoa wa Ruvuma Huu mji bhana ukiwa meajiriwa unakufaa kuishi na hutopata tabu Ila ukiwa mtafutaji wa kilasiku songea ni ngumu...
20 Reactions
47 Replies
11K Views
Mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka 1347 karne ya 14, meli 12 ziliwasili katika bandari ya messina mji wa Sicily nchini Italia zikiwa zimetokea bahari nyeusi maarufu kama The Black Sea. Sababu ilikua...
7 Reactions
25 Replies
5K Views
TAAZIA YA DR. DAU KWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA YALE MAKUBWA NA MAZITO AMBAYO HAKUYASEMA Hakuna kitu kinagusa fikra na linabaki akilini na kuhifadhika kwengineko kama neno lililoandikwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangu Disemba 27 hadi 18 Januari 2009 vyombo vya habari duniani vilitawaliwa na taarifa za mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas la Palestina. Katika vita hiyo takriban wapalestina 1300 na...
18 Reactions
45 Replies
13K Views
Mnamo karne ya uwepo wa Mrusi hapa nchini, wakati huo Hayati baba wa taifa,Mwl. JK Nyerere alipomruhusu Mrusi awekeze katika ujenzi wa bwawa la kufua umeme katika eneo la Kijungu, maarufu kama...
10 Reactions
35 Replies
12K Views
EVERTON VS SAIGON 1967 Rafiki yangu Mohamed Abdulrahman kutoka Ujerumani leo asubuhi kaniandikia kitu kilichonirudisha nyuma sana udogoni. Soma stori: "Baada ya kuundwa Saigon Everton ilibaki...
13 Reactions
74 Replies
6K Views
Back
Top Bottom