Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nimetafuta historia ya huyu mtu mwenye akili nyingi sijaipata kikamilifu.
Naomba kwa mwenye kujua walikozaliwa wazazi wake anijulishe tafadhali...
MENGI BWANA ABBAS ALINIELEZA NA MENGI BALOZI AMEINGIANAYO KABURINI HAKUNAMBIA
Tuko kwenye khitma ya Abbas Sykes Msikiti wa Makuti, Kisiwandui Zanzibar niko bega kwa bega na Sheikh Ibrahim Moeva...
MASHEIKH WA AFRIKA YA MASHARIKI WALIPOKUSANYIKA KUMUOMBEA DUA ABBAS SYKES
Nipo nyumbani baada ya Maghrib akaja Sheikh Mahdi kaniletea picha adhim kupita kiasi.
Sheikh Mahdi ni mtoto wa Sheikh...
SALUM ABDALLAH NA CUBAN MARIMBA CHACHA BAND NYIMBO ''MKONO WA EID''
Sikumbuki ilikuwa kitu gani lakini ninachokumbuka ni kuwa nilikuwa likizo Tabora niko uani na bibi yangu Zena bint Farijala...
Historia ya mji wa Tukuyu inaanzia enzi za Utawala wa Ujerumani nchini Tanganyika, Mji Mkuu wa utawala wa Ujerumani nchini Tanganyika ulikuwa ni Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.
Ujerumani ili...
Hili ndio swali ambalo wengi hasa Watanzani huliliza mara kwa mara na ni swali ambalo popote ukijitambulisha kama mwenyeji wa Mafia basi aghalabu kwa mtu aliewahi kukifahamu kisiwa hiki kwa...
Alikuwa Waziri Mkuu wa Israel mwaka 2001. Amekuwa mahututi tangu mwaka 2006 kufuatia mfululizo wa matatizo ya kiharusi. Ariel Sharon alikuwa askari wa vita na baadae kuwa kiongozi wa nchi...
PICHANI; Hii ilikuwa harusi ya Oscar Kambona na mrembo Flora Moriyo aliyekuwa Miss Tanganyika Tarehe 19.11.1960.
Msimamizi wa harusi alikuwa Mwalimu na ilifungiwa London Uingereza,Kanisa la...
HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA KWANZA KABISA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA BAADA YA KUPATA UHURU MWAKA 1961.
Baraza hilo lilikuwa na Waafrika 8, Wazungu 2 na Mhindi 1, Jumla Mawaziri walikuwa 11...
HAPA NDIPO ILIPOJADILIWA BARUA YA JULIUS NYERERE KUCHAGUA SIASA AU UALIMU
Hapo liliposimama jengo hilo ndipo ilipokuwa nyumba ya Clement Mohamed Mtamila katika miaka ya 1950 harakati za TANU...
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Charles Maurice de Talleyrand, mmoja ya watu mashuhuri katika shitoria ya ufaransa na Ulaya
Mwanamfalme wa Benevento na Dola, Mwanamfalme wa...
Catholic persecution in the reigns of Henry VIII, Edward VI and Elizabeth I: By: Elenah Zwiegers
Without doubt, the Tudor monarch most associated with religious persecution is Queen Mary I...
Ever wondered where the term “Blowing smoke up your arse” comes from?
A 1776 textbook drawing of a tobacco smoke enema device, consisting of a nozzle, a fumigator and a bellows
A tobacco smoke...
The Kailasa temple in Maharashtra, India. Carved out of one single rock, it is notable for being the largest monolithic structure in the world. Also known as ‘Cave 16’ of the Ellora Caves, the...
ABBAS SYKES NDANI YA KITABU CHA ABDULWAHID SYKES
Hesabu yangu ya wanachama watatu waliobakia wa siku za mwanzo za TANU na harakati za kudai uhuru mwaka wa 1954 imepungua baada ya kufariki Abbas...
The Kalambo Falls on the Kalambo River is a 772ft (235m) single drop waterfall in Tanzania, very near the border with Zambia at the southeast end of Lake Tanganyika. The falls are some of the...
BABU YANGU SALUM ''NDEGE MWEMA'' ABDALLAH NA KIGOMA CHA DAKU
Naiaga Ramadhani kwa kutabaruku na babu yangu Salum Abdallah (Allah amrehemu yeye na wazee wetu wote waliotangulia mbele ya haki) na...
Namuona Mwl akiwa mtu wa kawaida kabisa
Huku Shk Suleima Takadiri na weziwe (SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, JOHN RUPIA AND NYERERE 1955) wakionesha kuwa na lengo moja tuu.
Kuikomboa Tanganyika.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.