Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Leo Oktoba 29 Mheshimiwa Rais wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli amezaliwa. Mengi aliyoyafanya na anayozidi kuyafanya hakika anastahili Pongezi za kila namna. Wengi wanatamani kumapatia Zawadi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanzania ni Jamhuri, na ni muungano wa nchi 2, yaani Tanganyika na Zanzibar,kabla ya mwaka 1884, hapakuwa na historia ya nchi iliyoitwa Tanzania, isipokuwa zilikuwa ni tawala cha kichifu, kitemi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi nikweli wale watangazaji wa TBC walio tangaza Rais wa Marekani kamsifia mkuu wamesimamishwa kazi
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ramadhani Kingi anachangia makala yangu kuhusu safari ya Mwalimu Nyerere UNO 1955 hapo chini ndiyo aliyoandika: ''Hapa kuna kitu kikubwa sana hakijatajwa. Ili kufanikisha safari hii ya Mwalimu...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
GAZETI LA TAZAMA MRABA - NYUNDO YA WIKI ''MSEKWA AMECHANGANYA HISTORIA YA TANU'' Juma lililopita Naibu Mhariri wa JAMHURI Manyerere Jackton aliona mahali makala yangu ambayo nilikuwa nimefanya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
MZEE PIUS MSEKWA HAIFAHAMU HISTORIA YA TANU Katika gazeti la Tazama la leo tarehe 14 Oktoba 2019 kuna makala iliyoandikwa na Pius Msekwa yenye kichwa cha habari, ‘’Mwalimu Nyerere kama...
6 Reactions
34 Replies
6K Views
SHAJARA YA MWANA MZIZIMA 3 Abdallah Tambaza Kitabu kipya katika mfululizo wa Shajara ya Mwana Mzizima kimetoka. Mfululizo wa vitabu hivi umefanikiwa kuhifadhi historia ya Dar es Salaam ambayo si...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HISTORIA YA TANU INAHITAJI MAREKEBISHO Kunradhi: Hiyo picha katika gazeti ni ya Hamza Kibwana Mwapachu (1913 - 1962) si ya Abdulwahid Kleist Sykes (1924 - 1968).
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Shusheni nondo jamani, historia yetu ingekuwaje leo bila tukio hili?
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Ni imani yangu kuwa hata wakati ule vyombo vya habari vilikuwepo, na nadhani kuna baadhi ya matukio hukidhi vile vigezo vya kuwa habari kwa wakati huo. Swali langu ni, je hili liliandikwa? na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWALIMU MTU WA WATU 6 Mwalimu alikuwa anazungumza na Profesa Malima nyumbani kwake na katika mazungumzo Mwalimu akamsikitikia...
2 Reactions
84 Replies
6K Views
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWALIMU MTU WA WATU 5 Mwalimu siku moja katika kuwakumbuka rafiki zake wa zamani, akizungumza na Dossa Aziz na wageni wengine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nadhani mambo ya kibiblia huwa yanajirudia rudia katika vipindi mbali mbali, na katika maeneo mbali mbali in a small way. Story ya Samson na Delilah inaweza kujirudia in a small way kwenye...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Ahmed Rajab na Rais Mstaafu Jenerali Ibrahim Babangida Ahmed Rajab na Rais Mstaafu Jenerali Ibrahim Babangida KAMA kuna mtawala wa kijeshi aliyewaweza Wanigeria basi alikuwa Ibrahim Badamasi...
5 Reactions
14 Replies
4K Views
AHMED ADAM – MNUBI ALIYEMKIRIMU NA KUMLAZA MWALIMU JULIUS NYERERE NYUMBANI KWAKE MIKINDANI 1955 Tukio dogo la kiburi cha askari mpumbavu wa mkoloni ndiko kulisababisha watu wa Mikindani...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
TAAZIA: MOHAMED MLAMALI ADAM MIMI NA MWALIMU WANGU Mohammed Said Sheikh Mohamed Mlamali Adam Siku moja nimepita ofisini kwa Bwana Ally Sykes na katika mazungumzo yetu akaniambia kuwa alikuwa...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
KIFO CHA IDDI FAIZ MAFUNGO 1987 Naamini bila ya chembe ya wasiwasi kuwa kwa sasa historia ya Iddi Faiz Mafungo inafahamika na wengi. Iddi Faiz Mafungo Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul...
1 Reactions
13 Replies
40K Views
MIAKA 20 BILA NYERERE: MACHACHE KUTOKA HISTORIA YA SAFARI YA KWANZA YA MWALIMU NYERERE LINDI 1955 Kumbukumbu ya Miaka 20 bila ya Baba wa Taifa imeadhimishwa leo mjini Lindi lakini si wengi...
4 Reactions
0 Replies
2K Views
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWALIMU MTU WA WATU 4 Mwalimu ameingia kaburini kama mtu aliyekuwa hana majivuno si kwa cheo chake au elimu yake. Huyu ndiye Mwalimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWALIMU MTU WA WATU 3 Mwalimu kama vile alivyokuwa bingwa wa kupanga mikakati katika mchezo wa siasa dhidi ya mbinu za Gavana Edward...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…