Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Wote wawili waliuliwa, Malcom X na Martin Luther King, je wakati umefika weusi waangalie upya tactical approach towards total liberation? Je tuende ng'ambo ya fikra dini kupata uwanja madhubuti...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
msikilize vyema kuanzia dakika ya 7:45. Utajua kwanini vijana wengi wa kijeruman wakatiule waliingia choo cha kike. Je hapa TZ tunajifunza nini kupitia hutuba hii.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mkutano wa TANU Mnazi Mmoja, mwaka wa 1954 (Picha ya Tanganyika Information Services) Hiyo hapo juu ni picha ya Viwanja Vya Mnazi Mmoja kama ilivyokuwa katika miaka ya 1950. Nimejaribu kutambua...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
https://photos.app.goo.gl/W7kDQYs534oh4m396
1 Reactions
1 Replies
1K Views
https://photos.app.goo.gl/6uh2cPQUVCEVbeVq6
1 Reactions
0 Replies
575 Views
NINI KHASA TATIZO LA ZANZIBAR? Na Harith Ghassany Maridhiano ndio “Magna Carta”* ya Zanzibar. Maridhiano bado yamo ndani ya Katiba ya Zanzibar. Kinachokosekana ni viongozi WAPYA watakaoweza...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau! Naomba kujua historia ya mwanamke aliyetekwa kipindi cha ukoloni kule kusini mwa afrika na kupelekwa nchini Ufaransa kutumikishwa ngono mpaka kupelekea kifo chake. Nimesahau...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Africa lazima iungane Kwanza ndipo itachukua nafasi yake katika taswira ya maamuzi yanayoindesha dunia iliyodanganywa...toa maoni yako. Wanyama Wana akili Sana, binadamu ni mnyama...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Mchezo wa mpira wa miguu (football) ulianza kuchezwa kwenye shule za watoto wa matajiri (Public Schools) nchini Uingereza. Mnamo karne ya 19. Mchezo huu ulienea na kupendwa sana kwenye makolini...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Lipstick ni urembo uliotumiwa na wanawake wa Misri ya zamani na utamaduni huu iliendekea Uajemi na India. Rangi hii ilipatikana kwa kuponda mawe. Waislamu wa meanzo walifanikiwa kutengeneza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
DIWANI YA MZUKA (Fantasma) UKURASA WANGU Uukumbuke ukurasa wangu Eeh Bwana ukanirehemu Kama mama na Baba yangu Mwenye mamlaka chini na mbingu Siijui kesho yangu Huzuni nikimwangalia mwanangu...
1 Reactions
2 Replies
927 Views
Shajara ya Mwana Mzizima: WAJUE WANA SAIGON CLUB WA MZIZIMA Na Alhaji Abdallah Tambaza Saigon Khitma Jumapili 13 May 2018 Raia Mwema 14 - 15 May 2018 JUMA hili, shajara imeonelea ichepuke...
5 Reactions
8 Replies
5K Views
Maisha mapya yanaanza mara tu roho inapouacha mwili, yule uliyekuwa ukimuita Dear huku akisema hawezi kupata usingizi bila kulaza kichwa chake kifuani mwako, siku hiyo hata hawezi kukushika. Yule...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika sehemu ambayo lugha ya asili zitapotea kwa kasi ni moshi Yaani tofauti na jamii nyingine ni nadra sana kumkuta mzazi wa kichaga akibonga na mwanae kilugha hapa nazumgumzia wazazi wa sasa...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Katika uchumi nguvu za kijeshi na ushawishi wake katika dunia Hii
5 Reactions
224 Replies
76K Views
Ilikuwa mwaka 1976- 27- june ndege ya Ufaransa A300 Airbus iliyokuwa ikitokea Israel ikapitia ugiriki Athens ilitekwa na magaidi wa Kipalestina na Ujerumani, ikiwa na abiria 254 wengi wakiwa ni...
4 Reactions
21 Replies
8K Views
Ilikuwa kipindi cha karne ya tatu dola ya kirumi ilikuwa chini ya mtawala Claudius II mtawala huyu aliamuru vijana wote wasioe bali waajiriwe katika jeshi la warumi, kwa yeye aliamini kuwa vijana...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
HOFU YA KUDHIBITI DEMOKRASIA NA WANASIASA ILIVYO MPONZA MADIBO KEITA, RAIS WA KWANZA WA MALI KUTOKA KUWA SHUJAA MPAKA KUWA MFUNGWA ALIYEFIA GEREZANI. Na Comred Mbwana Allyamtu. Thursday -...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wana JF. Leo nawaletea vijiji maarufu zaidi Tanzania bara. 1. Kolomije: Hiki kipo wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Hiki kilijipatia umaarufu kuliko vijiji vyote tangu march 2017. Hiki ni...
4 Reactions
82 Replies
9K Views
Back
Top Bottom