Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kwa mujibu wa historia ya Wachaga, iliyoandikwa na Stanl Kathleem mwaka 1962, kabila hilo lilikuwa na viongozi wengi, ila wachache walipata umaarufu kutokana na aina ya uongozi wao. Mwaka 1800...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Nilikua naskiliza hotuba ya Nyerere ITV kuhusu ubaguzi wa rangi, makabila, na udini, mzee alikua kichwa sana, haya ya udini alishayaona na ndo hayo yanayotokea, kuna watu (waislamu/wakristo)...
3 Reactions
31 Replies
10K Views
Shajara ya Mwana Mzizima: Historia ya Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar-es Salaam Sehemu ya Pili Na Alhaji Abdallah Tambaza JUMA lililopita katika safu hii, tulielezea historia ndefu ya eneo la...
8 Reactions
13 Replies
5K Views
Jana nikiwa matembezini nilikutana na baba mmoja raia wa Ghana. Amekuja kwa safari binafsi Tanzania. Yeye ni mwana historia lakini Alisoma pia na political economics mwanasiasa pia. Alinieleza...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
Haya ni matukio muhim yaliyotokea na kutikisa nchi 1962: Mwalimu Nyerere kujiuzuru uwaziri mkuu wakati ameijenga Tanganyika kwa heshima, wengi walishangaa kumbe alikuwa na malengo yake, 1962...
5 Reactions
60 Replies
14K Views
Many wars throughout human history dragged on for so many years, but not the Anglo-Zanzibar war that ended much sooner. The shortest in recorded history, the war did not even last for a day or an...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo naangalia Aljazeera kuna kipindi kinaitwa Face to Face wanawazungumzia na kuonesha mahojiano ya wanaharakati wawili maarufu wa Marekani, Martin Luther King Jr na Malcom X. Sasa...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Alizaliwa mwaka 1945 huko Gaza Province ambayo ndiyo Msumbiji ya sasa. Ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto sita. Baba yake ambae alikuwa mchungaji wa kanisa la Methodist, alifariki wiki...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Huu uhasama wa Waisrael na Wapalestina unaelezwa kwamba mnamo mwaka 1948 waisrael walivamia ardhi ya wapalestina na kuikalia kwa mabavu, inaelezwa pia waisrael walikuwa utumwani huko ulaya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Alama ya jeshi la Warumi Jeshi hilo lilianza c.500 BC Katika kipindi cha c.500BC mpaka c. 300BC jeshi la Warumi liliongozwa kwa vita vya vidogo vilivyoambatana na maandamano ya askari. Mfumo...
7 Reactions
14 Replies
5K Views
Leopold II alitawala Congo na ilijulikana kama nchi ilikuwa mali yake binafsi, miaka ya 1835. Tofauti na ilivyokuwa South Afrika kama koloni la Uingereza Congo ilikuwa nchi huru chini ya Mfalime...
8 Reactions
30 Replies
9K Views
Habari zenu wana jamvi, Kwa muda mrefu naisikia nchi ya Jamaica lakini sijawahi kuisikia wala kujua mfumo wake wa uongozi wa kiutawala, wala kimataifa siisikii kiuongozi. Naomba mwenye kuijua hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi wenzangu Ni siku nyingine tena Alhamdulilah ninaendelea kupumua pumzi ya BURE ambayo bila shaka ni wajibu wangu kuitendea haki ili kesho akhera, nipate cha kujitetea mbele ya...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Katika pitapita zangu sehemu nilikuta watu wakizungumza habari za Wabantu na asili ya wabantu lakini pia nikasikia habari za Hamatics group, Nilotics group na Mang'ati group nimejaribu ku google...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwanini Hayati Sokoine,alipewa uwaziri mkuu kutoka 1977-1980 kabla ya Cleopa D.Msuya kuwa waziri mkuu na baadae Sokoine kurudishwa katika kiti hicho cha uwaziri mkuu?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo tar 9 May,nchi za ulaya zinasherehekea siku ya Muungano wa nchi hizo. #HappyEuropeday
0 Reactions
1 Replies
764 Views
Wakuu, sasa hivi naangalia mechi ya CAF champions league kati ya timu za ZESCO na Mbabane Swallows mjini Ndola, Zambia. Mara kaingia mchezaji wa ZESCO kipindi cha pili akiitwa Mwanza J.. Ikaniijia...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Back
Top Bottom