Kwa muda mrefu tulikuwa tunasikia kama simulizi kwa wazee wetu kwamba miaka ya nyuma maeneo haya ya Malema (Kilambo) kulikuwa na mbuga iliyokuwa na wanyama wengi na wa aina mbali mbali kama ilivyo...
Kwa akili ya kawaida ni vigumu kuamini kama J. Ntatiro angehama chama cha upinzani lakini kutokana na viashiria vya chama tawala hilo halikwepeki cha kufanya sasa hivi ni kupokea tu taarifa maana...
ANANDIKA Dotto Bulendu
Jana wakati akitangaza majina ya wateuliwa kuwania nafasi za ubunge kupitia CCM kwa ajili ya uchaguzi mdogo,
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
HISTORIA ::: - : KABILA LA WASAFWA
Mwanshinga Jr.
Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa.
Kwanza...
Msipotambua ukweli kwa hakika mtapata tabu sana.
1.Ni katika awamu hii tumeambiwa makinikia yetu yana thamani ya matrilioni
2.Kama haitoshi,ni watu awamu hii wakatuambia Acacia tunawadai kodi ya...
Ukweli kuna wakati unafikia hapa duniani inakuwa kama hujawahi kuwepo, kila binadamu ni historia baada ya kuondoka kwake, Leo nimemkumbuka sana ndugu yangu member mwenzetu wa siku nyingi hapa JF...
Biashara ya utumwa ilikuwa udhalilishaji mkubwa wa utu, kuendelea kuitunza kumbukumbu hii na kuwaonyesha watoto wetu ni sawa sawa na mzazi kuendelea kutunza chupi yenye damu ya mtoto wake...
Sera za Raisi wetu wa awamu ya tano ni nzuri sana kujenga Tanzania ya viwanda ili kuiwezesha kuingia katika uchumi wa kati lakini je swali la kujiuliza itawezekana kwenda sambamba na uwezo wa...
Sera za Raisi wetu wa awamu ya tano ni nzuri sana kujenga Tanzania ya viwanda ili kuiwezesha kuingia katika uchumi wa kati lakini je swali la kujiuliza itawezekana kwenda sambamba na uwezo wa...
Kwa hali inayoendelea sasa nchini na ndani ya CCM, sio tu kunaua upinzani lakini pia inadhohofisha vyama vyote mpaka CCM yenyewe na hilo halina ubishi.
JPM na Polepole hawaamini katika siasa za...
Hivi mabaki ya yule mjusi mkubwa duniani Dinosaurs aliyechukuliwa na wajerumani Lindi mwaka 1909-1913 wakayapeleka kwao yamesharudishwa nchini?
Huu ni urithi wetu angeletwa tungeingiza kipato...
........ Hivi sasa kuna wimbi kubwa sana la viongozi wa vyama viwili vikuu vya upinzani kujivua uanachama wao kutoka vyama vyao na kujiunga na CCM kwa madai yanayofanywa, wako wabunge , madiwani...
Kuna jamaa anajiita Chalanga, jamaa mshenzi sanaa, Jamaa ni mmirki wa Chuo cha ndege maalufu cha ndege hapa nchini chenye matawi yake tanzania nzima. Jamaa kwanza kabisa anajifanya usarama wa...
Leo asubuhi na mapema nimefikiwa na taarifa kuwa rafiki yangu na mzungumzaji wangu mkubwa Juma Mnonji amefariki alfajir hii. Lakini wengi walimjua Juma Mnonji kwa mapenzi yake ya mpira akiwa...
Mkwawa alikuwa chifu wa wahehe na kiongozi mkuu wa kabila la wahehe ambaye alizaliwa mwaka 1855 -1898 katika kijiji cha Lungemba mkoani Iringa.
Baba yake mzazi ni Mzee Munyigumba.Baada ya...
Utangulizi - Mambo ya nyakati ni nini?
Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati kinatueleza kuhusu ibada katika hekalu na kinatupa habari zaidi kuhusu ukoo wa Masihi. Kikiwa sehemu ya Neno la Mungu...
mos Pambala
Anaandika TUNDU LISSU:
Advocate Mahinyila salaam,
Nafikiri una tatizo moja kubwa: unaelekea kuamini kila tuhuma inayoelekezwa CHADEMA na wanachama wetu wa jana na juzi.
Sijakusikia...
--IN FACT--
MAJENGO YASIYO NA MFANO ULIMWENGUNI
COLLESEUM
Majengo haya yalianza kujengwa enzi za dola ya ROMA (ROMAN EMPIRE),lengo kuu la kujengwa kwake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.