Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Wimbo huu kwa hisani ya emwandosya wa YOUTUBE: Inatukumbusha jinsi Tanzania ilipokuwa kimbilio la wanamapinduzi wakaweka makazi yao Tanzania mfano Samora Machel, Eduardo Mondlane n.k na wazazi...
6 Reactions
24 Replies
13K Views
Silla (57 KK – 935 BK) (Tamka ɕilla) ilikuwa moja kati ya Falme Tatu za Korea, na moja kati ya nasaba iliokaa kwa muda mrefu sana katika historia ya Asia. Japokuwa ilianzishwa na Mfalme Park...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Arthur Schopenhauer (22 Februari 1788 - 21 Septemba 1860) alikuwa Mwanafalsafa wa Ujerumani. Yeye anajulikana kwa kazi yake ya 1818 (The World as will and Representation) "Dunia kama wito na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Monduli amegoma kuwaapisha mawakala wa Chadema waliowasilishwa na chama kwake ili kuziba nafasi ya mawakala waliokamatwa, kutekwa na wengine kurubuniwa na ccm hivyo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Tukiweka ushabiki pembeni, na kuangalia ukweli ni kwamba wazungu walishangaa Sana aina ya utaratibu na muundo wa kiserikali waliokuwa nao wahaya kipindi wanakuja kutawala miaka ya 1800, Ndipo...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Hakuna mtu yeyeto nchini eliyevileta na kuviruhusu vyama vya upinzani nchini ila Mwl. Nyerere rip kwa sababu zake. Hatuwezi kamwe kusema tunafuata nyao za Nyerere bila kuvikuza vyama vya upinzani...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu, Wazee wetu wa zamani waliishi kwa raha sana. Hivi nikitaka kufufua hili gazeti kaa sasa naweza kupewa vibali? Gazeti la jamii ya Wachagga lililokuwa likiitwa Komkya (likimaanisha...
7 Reactions
49 Replies
11K Views
JamiiForums ni mtandao wa kijamii maarufu zaidi nchiniTanzania ulioanzishwa rasmi mwaka 2006 mwezi Machi ikiwa na waanzilishi wawili, Maxence Melo na Mike Mushi ambao walijuana kupitia mtandao...
15 Reactions
52 Replies
7K Views
"Tuliamuriwa kutoka nje ya jengo kupitia mlango wa bustanini na majasusi wa shirika la ujasusi la Idi Amin. Nje ya jengo kulikuwa na bustani nzuri iliyojaa miti midogo midogo na barabara zenye...
36 Reactions
112 Replies
37K Views
Mambo ya kuingia kwenye mifumo bila kujiandaa kunacost sana Taifa,mimi ni mtumishi wizara moja nyeti naomba nikiri kitu kua tunakurupuka mambo mengi sana.Hii swala la ku upgrade kutoka epicor 9 to...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bandari Salama ya Dar es Salaam imeonesha utendaji wa kuridhisha siku hadi siku. Katika mwaka 2017/18 Imeweza kupoke mizigo kiasi cha zaidi ya tani milioni 16. #HapaKazi tu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu nimeona taarifa za kuuwawa kwa mmoja kati ya maofisa wa polisi Uganda Jambo hili limenipa tafakuri kidogo kutaka kujua historia ya kiutawala ama kiuongozi ya Uganda tangu kupata kwao uhuru...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Habar za leo Samahan Kuna siku mwalimu wa History alikuwa anatufundisha kuhusiana na Nyerere katika harakati za kudai uhuru. Katk mafundisho yake alisema. Kulikuwa na mkutano wa chama cha TANU...
0 Reactions
1 Replies
820 Views
Wadau na Wabobezi wa Historia ya mapambano ya Ukoloni katika Tanganyika kuna hawa Mashujaa Wawili Waafrika ambao kwa namna tofauti na Wapigania Uhuru wengine wao wali sababisha usumbufu mkubwa kwa...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Back
Top Bottom