Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

wakuu humu ndani jf wasaalm,kama kichwa cha habari,katba ni kwa kila inchi ilie uhuru ila nilicho kigundua ikiwemo mimi mwenyewe kuna vipengele vingi ndani ya katiba yetu hatuvijui au kuvifahamu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu zanguni mimi nimeangalia TBC taarifa ya habari ya jana usiku tarehe 23 Novemba siku aliyozikwa Kleist Sykes. Rambirambi zilikuwa na makosa. Mtangazaji anampa Kleist sifa za kuasisi...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Hapa akifanya mahojiano na mwandishi wa nchi za Magharibi kuhusu harakati zake za ukombozi wa Zimbabwe kabla ya Uhuru wake
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau wa JF Kwa miaka mingi sana vyombo vya habari vimeripoti mapigano ya watu wa jamii ya wakurya. Mapigano hayo yameacha watu wakijeruhiwa,wakipoteza maisha na kuharibu mali nyingi. Mapigano...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
UTUMWA WENYE FAIDA Jua linapochomoza, nainua macho yangu na kuitazama mbingu jinsi ilivyopendeza, hakika ni uumbaji wa kustajabisha! Nina kila sababu ya kusema ‘Asante MUNGU kwa siku nyingine’...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
The Irangi-Kondoa Rock Painting Sites of central Tanzania were named as a World Heritage Site in 2006 on account of their great universal value. It lay on the eastern slopes of the Masai...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila nyakati katika historia inapita, Ina uthamani wake na ina utofauti wake. Nyakati moja inaweza ikawa ndio mwanzo katika mabadiliko kwa nyakati nyingine ya kibinadamu, kiutawala, kiuchumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WADAU Kwa anayejua nini nani alihusika na KIFO CHA MUASISI Wa RPF Rwanda Bw. Fred RWEGIMA?
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Sarah Francesca (Hayfron) Mugabe alizaliwa tarehe 6, June 1931 na alifariki tarehe 27 Janurary 1992. Alijulikana kama Sally Mugabe na alikuwa mke wa kwanza wa Robert Mugabe rais wa Zimbabwe...
14 Reactions
45 Replies
12K Views
Wakati dunia ikisubiri kuona ni nini kitatokea baada ya Robert Mugabe kukataa kujiuzulu licha ya shinikizo kutoka kwa jeshi na chama tawala cha Zanu-PF party, tunaangazia baadhi ya mambo muhimu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wojtek ni mnyama dubu ambaye alinunuliwa na wanajeshi wa poland mwaka 1942 nchini IRAN akiwa bado mdogo sana. Alilelewa na jeshi kisha kusajiliwa kama mwanajeshi. Aliwasaidia wanajeshi wenzake...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
TUKIO laKushambuliwa kwa kujaribu kuuawa kwa Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa wanasheria Tanganyika na Mwanasheria Mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo ( CHADEMA), yanarudisha...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakati nafanya utafiti wa kitabu cha Abdul Sykes nilikutana na matokeo manne ambayo wananchi walijikusanya na kufanya visomo au dua kujikinga na dhulma za ukoloni wa Waingereza. Katika matukio...
10 Reactions
32 Replies
8K Views
Naomba kujua wadau, ili nchi isikopesheke, deni ka Taifa linatakiwa kufika kiasi au asilimia ngapi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MJUE GAIUS JULIUS CAESAR MWASISI WA DOLA HIMAYA NA MILIKI KUU YA ROMA AMBAYE JINA LAKE “CAESAR” LILIFANYWA CHEO KILICHOTUMIKA BAADAE KWA VIONGOZI WAKUU WA DOLA HIYO IKIWA NI PAMOJA NA KUTANGAZWA...
9 Reactions
17 Replies
8K Views
Hivi niulize kwanza, sisi ni wanachama wa jumuia ya Afrika Mashariki tulikubaliana tukasaini Mikataba ikiwemo ya Soko la pamoja na Uhuru wa wakaazi kusafiri sasa nauliza swali nikienda Kenya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hapa ndio chimbuko la Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania (KKKT) ukanda wa kusini ambayo hapo awali ilifahamika kama synod ya konde. Wamisionari walifika katika fukwe za ziwa Nyasa wakitokea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau kuna taarifa kuwa mwanaharakati maarufu na mpiganaji wa siasa za kikomunist Che Guevara aliwahi kufanya ziara hapa tz miaka ya sitini tena zaidi ya mara moja. mwenye taarifa kamili juu ya...
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Wakuu nimeona huu walaka kwenye tovuti ya BBC ikanifanya nijiulize kidogo. Hivyo sisi Waafrika tunajitambuaje au tunajitambulishaje. Soma hii nakala uone jinsi wenzetu wa Kameruni wanavyo uana kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1) TATIZO la Vijana wetu wa KIZAZI KIPYA kutojua Mambo Muhimu kuhusiana na HISTORIA YA NCHI YETU ni tatizo kubwa. 2) Kwa MAONI YANGU, KAZI YA ZIADA inatakiwa ifanyike KUIELIMISHA JAMII ambayo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…