Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Alhamisi Aprili 18, 1963: Gazeti likimuonesha Bi. Jean Conrad, Afisa biashara wa Mansfield Telephone Co., akiwa na simu ya mfukoni isiyotumia waya ambayo alisema Mansfielders wataibeba siku moja...
0 Reactions
0 Replies
428 Views
UTANGULIZI Masiku yamepita huku nikitamani sana kuandika chochote kuhusu Uyahudi na Wayahudi. Kuandika kuhusu chimbuko lao, kuandika kuhusu uhusiano wao na wana wa Israeli,kuandika kuhusu itikadi...
6 Reactions
201 Replies
24K Views
AGA KHAN PATRON WA EAMWS ALIPOKUTANA NA VIONGOZI WA BAKWATA MIAKA YA 1980 Nakusudia In Shaa Allah kuweka hapa makala mbili au tatu hivi kueleza yaliyotokea baada ya miaka mingi na Aga Khan...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna hii nadharia ya Falme iitwayo Tartaria, ambayo inadai kwamba zamani kulikuwa na milki kuu ya ulimwengu inayoitwa Tartaria katikati mwa Asia (kama, ndio, ambapo Watartari wanatoka kweli...
0 Reactions
2 Replies
347 Views
MAKOSA KATIKA HISTORIA YA NYUMBA YA JULIUS NYERERE MAGOMENI KAMA ILIVYOANDIKWA NA DAILY NEWS Daily News la tarehe 9 December 2023 (link hiyo hapo chini) imechapa makala yanayosema kuwa nyumba...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
MZEE MAXWELL NA HISTORIA YA TANU Mzee Maxwell kaniona mimi toka udogo wangu labda hata sijaanza kutembea. Nimemjua Maxwell kwa jina lake hili moja. Maxwell alikuwa pamoja na Dome Okochi Budohi...
0 Reactions
3 Replies
404 Views
HUU NI MFULULIZO WA HISTORIA YA KWELI YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA Sehemu ya kwanza “..kama unasoma ujumbe huu, muda huu… uko mpweke! Pengine ushahidi pekee uliobakia ni kijipande hiki cha...
23 Reactions
242 Replies
58K Views
Ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya...
8 Reactions
40 Replies
6K Views
MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa. Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina...
2 Reactions
8 Replies
483 Views
Labda Tanzania ndiyo taifa teule?
6 Reactions
14 Replies
725 Views
Wakuu, Kwa wale wanaoifahamu Jiografia ya Mkoa wa Kilimanjaro, Huu mkoa umekaliwa sana na Wapare (maeneo ya Same na Mwanga), Wamasai kidogo na Wachaga kwa wingi, takribani kwa wilaya nyingine...
20 Reactions
473 Replies
70K Views
Wakati mwaka 1944 ukiwa unaelekea tamati, hii ni baada ya miaka zaidi ya saba ya vita, mambo yalikuwa yanaiendea kombo Japan.⁣⁣⁣ Uchumi wake ulikuwa umeharibika vibaya, jeshi lake lilikuwa...
29 Reactions
68 Replies
15K Views
ILIKUWA SAFARI NDEFU Ilikuwa siku kama ya leo sasa imetimu mwaka mmoja. Picha hizo hapo chini ni maofisa kutoka Heritage Centre for Liberation of Afrca na TBC wakiwa Ukumbi wa Arnautoglo...
1 Reactions
0 Replies
317 Views
Treni ya Kwanza nchini ilianzia kule Kisiwani Zanzibar mwaka 1879 Treni ya Kwanza Bara ilianza mwaka 1893 Treni ya Kwanza ya TRC ilianza mwaka 1907 kutoka Dar hadi Morogoro kisha mwaka 1909...
2 Reactions
11 Replies
558 Views
Na: Mwalimu Makoba 1 Hadithi ya Idi Amin na wake zake ni miongoni mwa hadithi za kusisimua, kuchekesha na zilizojaa ukatili. Kuwa na wake watano na wote wazuri ni msisimko wa aina yake. Kuwa na...
4 Reactions
46 Replies
7K Views
MFALME CONSTANTINE I WA ROMA Huwezi kuutaja UKRISTO katika dola ya Roma bila kumtaja Mfalme Constantine I ukifanya hivyo huenda historia yako hiyo isikamilike Kwa sababu hapo awali...
15 Reactions
66 Replies
4K Views
WAZEE WANA USEMI "CHINI KUNAKWENDA WATU" Picha hizo mbili hapo chini hazihitaji maelezo mengi mengi ni picha za Abdul Sykes na Julius Nyerere na wake zao. Picha ya Abdul Sykes imepigwa...
7 Reactions
14 Replies
991 Views
BURUNDI NA KILE KILICHOITWA MAPINDUZI YA VIPINDI VYOTE, NDANI YAKE TUNAPATA MUSTAKABALI MZIMA WA PIERRE NKURUZINZA. Na Comred Mbwana Allyamtu Tuesday -25/9/2018 Jana niliona uchambuzi murua...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Kama kuna mwanamuziki ambaye hawezi kusahaulika katika kumbukumbu za wapenda muziki, ni Dk. Remmy Ongalla. Sasa ni miaka kadhaa tangu aiage dunia, baada ya kufariki dunia usiku wa kuamkia...
11 Reactions
27 Replies
12K Views
UTANGULIZI Isaac Maliyamungu, (aliyekufa Februari 1984) pia anajulikana kama Isaac Lugonzo, alikuwa afisa wa jeshi la Jeshi la Uganda (UA) ambaye aliwahi kuwa mmoja wa maafisa na wafuasi muhimu...
5 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom