Alhamisi Aprili 18, 1963: Gazeti likimuonesha Bi. Jean Conrad, Afisa biashara wa Mansfield Telephone Co., akiwa na simu ya mfukoni isiyotumia waya ambayo alisema Mansfielders wataibeba siku moja...
UTANGULIZI
Masiku yamepita huku nikitamani sana kuandika chochote kuhusu Uyahudi na Wayahudi. Kuandika kuhusu chimbuko lao, kuandika kuhusu uhusiano wao na wana wa Israeli,kuandika kuhusu itikadi...
AGA KHAN PATRON WA EAMWS ALIPOKUTANA NA VIONGOZI WA BAKWATA MIAKA YA 1980
Nakusudia In Shaa Allah kuweka hapa makala mbili au tatu hivi kueleza yaliyotokea baada ya miaka mingi na Aga Khan...
Kuna hii nadharia ya Falme iitwayo Tartaria, ambayo inadai kwamba zamani kulikuwa na milki kuu ya ulimwengu inayoitwa Tartaria katikati mwa Asia (kama, ndio, ambapo Watartari wanatoka kweli...
MAKOSA KATIKA HISTORIA YA NYUMBA YA JULIUS NYERERE MAGOMENI KAMA ILIVYOANDIKWA NA DAILY NEWS
Daily News la tarehe 9 December 2023 (link hiyo hapo chini) imechapa makala yanayosema kuwa nyumba...
MZEE MAXWELL NA HISTORIA YA TANU
Mzee Maxwell kaniona mimi toka udogo wangu labda hata sijaanza kutembea.
Nimemjua Maxwell kwa jina lake hili moja.
Maxwell alikuwa pamoja na Dome Okochi Budohi...
HUU NI MFULULIZO WA HISTORIA YA KWELI YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA
Sehemu ya kwanza
“..kama unasoma ujumbe huu, muda huu… uko mpweke! Pengine ushahidi pekee uliobakia ni kijipande hiki cha...
Ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya...
MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU
Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa.
Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina...
Wakuu, Kwa wale wanaoifahamu Jiografia ya Mkoa wa Kilimanjaro,
Huu mkoa umekaliwa sana na Wapare (maeneo ya Same na Mwanga), Wamasai kidogo na Wachaga kwa wingi, takribani kwa wilaya nyingine...
Wakati mwaka 1944 ukiwa unaelekea tamati, hii ni baada ya miaka zaidi ya saba ya vita, mambo yalikuwa yanaiendea kombo Japan.
Uchumi wake ulikuwa umeharibika vibaya, jeshi lake lilikuwa...
ILIKUWA SAFARI NDEFU
Ilikuwa siku kama ya leo sasa imetimu mwaka mmoja.
Picha hizo hapo chini ni maofisa kutoka Heritage Centre for Liberation of Afrca na TBC wakiwa Ukumbi wa Arnautoglo...
Treni ya Kwanza nchini ilianzia kule Kisiwani Zanzibar mwaka 1879
Treni ya Kwanza Bara ilianza mwaka 1893
Treni ya Kwanza ya TRC ilianza mwaka 1907 kutoka Dar hadi Morogoro kisha mwaka 1909...
Na: Mwalimu Makoba
1
Hadithi ya Idi Amin na wake zake ni miongoni mwa hadithi za kusisimua, kuchekesha na zilizojaa ukatili. Kuwa na wake watano na wote wazuri ni msisimko wa aina yake. Kuwa na...
MFALME CONSTANTINE I WA ROMA
Huwezi kuutaja UKRISTO katika dola ya Roma bila kumtaja Mfalme Constantine I ukifanya hivyo huenda historia yako hiyo isikamilike
Kwa sababu hapo awali...
WAZEE WANA USEMI "CHINI KUNAKWENDA WATU"
Picha hizo mbili hapo chini hazihitaji maelezo mengi mengi ni picha za Abdul Sykes na Julius Nyerere na wake zao.
Picha ya Abdul Sykes imepigwa...
BURUNDI NA KILE KILICHOITWA MAPINDUZI YA VIPINDI VYOTE, NDANI YAKE TUNAPATA MUSTAKABALI MZIMA WA PIERRE NKURUZINZA.
Na Comred Mbwana Allyamtu
Tuesday -25/9/2018
Jana niliona uchambuzi murua...
Kama kuna mwanamuziki ambaye hawezi kusahaulika katika kumbukumbu za wapenda muziki, ni Dk. Remmy Ongalla.
Sasa ni miaka kadhaa tangu aiage dunia, baada ya kufariki dunia usiku wa kuamkia...
UTANGULIZI
Isaac Maliyamungu, (aliyekufa Februari 1984) pia anajulikana kama Isaac Lugonzo, alikuwa afisa wa jeshi la Jeshi la Uganda (UA) ambaye aliwahi kuwa mmoja wa maafisa na wafuasi muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.