Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Dola ya Kirumi ilikuwa ni nguvu kubwa ya kisiasa na kijeshi wakati wa siku za mwanzo za Ukristo, pamoja na mji wa Roma kama msingi wake. Kwa hiyo, kuna manufaa ya kupata ufahamu bora wa Wakristo...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Watu kadhaa wameniuliza ukweli kuwa kuundwa kwa Yanga mwaka wa 1936 ilikuwa mbinu ya kudai uhuru wa Tanganyika. Haya nimeambiwa yameandikwa katika kitabu cha historia ya Yanga ambacho kimetolewa...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
HISTORIA YA KANISA LA AYA SOFIA Kanisa Lililogeuzwa Kuwa Msikiti Baada ya Kutekwa kwa Mji wa Konstantinopoli Kanisa la Aya Sofia, lililojengwa wakati wa Ufalme wa Byzantine, lilikuwa ni miongoni...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Hawa ndio wazeee wetu wa Darisalama waliojitolea kiduchu walicho nacho kuchangia kuanzishwa kwa Cguo Kikuu cha Dar es salaam. Mwaka 1958, Katika Mkutano Mkuu wa Chama, TANU wakati huo, Mwalimu...
13 Reactions
70 Replies
2K Views
ABUSHIRI BIN SALIM AL HARITH AKIZUNGUMZWA KUTOKA ZANZIBAR Nimeizungumza historia ya Abushiri Pangani nikiwa nimesimama Mtaa wa Uhindini, nikiwa njiani naelekea kwenye kaburi lake...
2 Reactions
2 Replies
371 Views
Friends and Our Enemies, Historia wakati mwingine kwa makusudi au kwa bahati mbaya haiwapi heshima wazalendo hali inayopelekea kuwasahau wazalendo hawa. 1. Alisongea Mbano 2. Abdallah Mchimani...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
SAID MAREHAN DAROD BARRE RAISI WA TATU WA SOMALIA NDOTO ZAKE ZA KUIJENGA NCHI YAKE ZILIVYO YEYEKUA NA KUIFANYA TAIFA LA SOMALIA KUWA KAA LA MOTO LISILOTAWALIKA: Vol. I- SEHEMU YA I [Toleo la...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ELITE BOOKSHOP SABASABA INTERNATIONAL TRADE FAIR Siwezi kupita duka la vitabu bila kuingia ndani. Achilia mbali kuwa Elite ndiyo wachapaji wa kitabu changu cha watoto, "The School Trip to...
0 Reactions
2 Replies
338 Views
Skukuu ya 7 / 7🙏 kumbukumbu yangu hii ❤️ Mimi na wewe Mzee wangu Saidi Mohamed😎 Mlimani TV hii ni stesheni ya Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam wameniletea hii clip fupi sana ya kipindi tuliyofanya...
2 Reactions
0 Replies
304 Views
MAZUNGUMZO SABASABA INTERNATIONAL TRADE FAIR BANDA LA UDSM 1 Nimetembelea Banda la Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam nimekuta nje wameweka vitabu vingi vya historia. Nimeanza kutazama kitabu kimoja...
1 Reactions
5 Replies
369 Views
Jumla ya dua ambazo TANU ilisoma kuomba msaada wa Allah ni tano. Kila dua ilikuwa na sababu na chanzo chake. Dua nne zilikuwa kuwaombea watu makhsusi wasiangamizwe na njama na hila za...
0 Reactions
4 Replies
375 Views
Unajua asili ya neno Tanzania kwamba linatokana na neno la Kiislam? Tan - Tanganyika Zan- Zanzibar TANZANI jee unajua herufi IA zinatokea wapi? zikakmilisha neno TANZANIA? CC Sheikh Mohd Said...
0 Reactions
87 Replies
2K Views
Hakuna mji wowote duniani ambao umekuwa ni mji wenye umuhimu sana kwa watu wengi kama ulivyo mji wa Jerusalem. Mji wa Jerusalem ni mji ambao una umuhimu kwa Wayahudi, Wakristo na Waislamu. Mji wa...
4 Reactions
30 Replies
5K Views
Mwanafunzi wa Kihindi akisoma usiku katika Chuo Kikuu cha Madras huko Tamil Nadu, 1905. Wanafunzi hutumia kufunga nywele zao kwenye msumari ukutani ili kujiepusha na kulala wakati wa kusoma usiku...
4 Reactions
12 Replies
457 Views
BAY OF PIGS Vs COLD WAR: MAREKANI, CUBA NA USSR, ULIMWENGU KIGANJANI MWA CIA, CRF NA KGB; NA AIBU YA DUNIA KWENYE ULINGO WA KIJASUSI. Na. Comred Mbwana Allyamtu(CMCA) Wednesday-16/06/2021...
19 Reactions
40 Replies
11K Views
MWELEKEO WA AJIRA NA MAENDELEO YA TEKNOLOJIA MIAKA 10 IJAYO. Kwa miaka takribani 10 Sasa tangu mnamo mwaka 2014 katika awamu ya mwisho ya Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete matumizi ya mitandao na TEHAMA...
1 Reactions
1 Replies
388 Views
Wana JF Jukwaa la Historia, Nimekuwa nikifanya majadiliano hapa sasa huu ni mwaka wa 11. Nimegundua kuwa kuna wafuatiliaji wengi wa mijadala hii yetu ambayo wanauliza maswali ambayo kwa hakika...
2 Reactions
10 Replies
471 Views
LINGO LA KUNI MTONI KIJICHI Inaweze kufika zaidi ya miaka 60 nilikuwa sijaona lingo la kuni. Katika utoto wangu nikikua Dar es Salaam kulikuwa na malingo nengi ya kuni sehemu zikiwekwa kuni...
0 Reactions
2 Replies
460 Views
Pichani ni Nduna Songea Mbano Luwafu. Alipigwa picha hii muda mfupi kabla ya kunyongwa na wajerumani Machi mwaka 1906. Kifo chake kilitanguliwa na mauaji ya Mashujaa wengine 66 wa Majimaji...
0 Reactions
2 Replies
291 Views
MZEE SUGAL MOHAMED ALIVYOMTOROSHA MWALIMU NYERERE ASIKAMATWE NA MAKACHERO na Guled Issa Mzee Sugal Mohamed ni moja ya majina ya mashujaa yanayopaswa kuingia katika historia ya mashujaa...
15 Reactions
54 Replies
2K Views
Back
Top Bottom