Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Ndugu wa Giza ni maneno yanayofaa kuwataja viongozi hawa, waliotumia mamlaka yao kama mapanga makali kukata haki na ustawi wa watu wao. Kila mmoja wao aligeuka kuwa kivuli cheusi kilicholeta maafa...
5 Reactions
3 Replies
350 Views
Habari Jf nataka kuwajua kama madailivyo kuhusu adamu na hawa ahsant twende na mimi pamoja ADAM NA HAWA WALIKUWA WEUSI AU WEUPE? Kujibu swali hili na kwa kutaka kujua au kuthibitisha uvumi...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Mungu amewaumba wanawake kutokana na sisi na inapaswa kuishi nao kwa makini sana kwani wao ni wepesi kushawishika ingawaje wanaakili nyingi Huko marekani katika viunga vya Los angels mwanadada...
0 Reactions
2 Replies
478 Views
Heshima kwenu Mabibi na Mabwana, Poleni na heka heka za maisha Km kichwa cha habari kinavyosomeka, Imbangulu ni Nabii mtenda miujiza km ilivyokuwa kwa manabii wengine enzi hizo, inasemekana katk...
5 Reactions
73 Replies
27K Views
Jaggi Vasudev (Sadhguru) ni mwalimu wa yoga, mtunzi wa vitabu na public speaker huko nchini India. Mtu huyu mwenye busara na kipawa kikubwa cha utulivu alichopewa na Mungu Mwenyezi anatufundisha...
9 Reactions
21 Replies
4K Views
…Valéry Giscard d’Estaing alikuwa ni Rais wa Ufaransa kuanzia mwaka 1974 hadi 1981. Jean-Bedel Bokassa alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mwaka 1966 hadi 1979. Ndani ya miaka...
10 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwaka mmoja umetimu toka Leila Sheikh arejee kwa Mola Wake. Tunamuombea dua Allah amsamehe makosa yake na amtie Firdaus. Amin. https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=bPBJoBLV7xEMjdGP
2 Reactions
1 Replies
237 Views
HISTORIA YA HERMANN VON WISSMANN KATIKA VITABU VYANGU VIWILI Tuanze na sanamu ya Hermann von Wissmann. Picha na maelezo hayo hapo chini nimeyatoa mahali katika mtandao na nimefanya uhariri...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
MTAA WA JOHN RUPIA TANGA Moja ya vibao vingi vya Mtaa wa John Rupia kipo pembeni ya Msikiti Ngazija, Tanga. Nimefikia hoteli jirani na kwa hakika ni mkabala na msikiti huu na ndiyo nikabahatika...
0 Reactions
4 Replies
471 Views
Luteni wa jeshi la Uganda (UPDF) alivyo ziingiza vitani Tanzania na Uganda. #Sehemu #ya - 1 Kuanzia leo nitawaletea makala mfululizo zinazohusu Vita ya Kagera kati ya Tanzania na Uganda...
12 Reactions
114 Replies
42K Views
Jinsi Hetty Green Alivyokuwa 'Mwanamke Tajiri Zaidi Nchini Amerika' Wakati wa Enzi ya miaka ya dhababu "GILDED AGE" Akiitwa "Mchawi wa Wall Street," Hetty Green alikuwa mmoja wa watu tajiri zaidi...
4 Reactions
7 Replies
942 Views
UFALME WA KONGO: "WENE WA KONGO, FALME PEKEE AFRIKA ILIYOKUWA YA KWANZA KUWA NA DEMOKRASIA NA DIPLOMASIA. Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA) Thursday- 9/06/2022 Marangu, Kilimanjaro, Tanzania...
1 Reactions
0 Replies
546 Views
Historia ya uhuru wa Tanganyika imetawaliwa na dua zilizokuwa zikifanywa kuomba salama na ushindi kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Mtu wa kwanza kulieleza hili alikuwa Mwalimu Nyerere Ukumbi wa Diamond...
2 Reactions
0 Replies
349 Views
Katika mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nne, Tanzania, hasa Mkoa wa Kagera, ulipitia kipindi cha kiza kikuu. Jua liliwaka lakini hali ya njaa ilitanda kama kivuli kilichofunika furaha ya...
1 Reactions
3 Replies
659 Views
Ni Juni 27, mwaka 1976 majira ya saa 12.30 jioni; ndege ya Airbus A300 inayomilikiwa na shirika la ndege la Ufaransa (Air France) ndege namba AF139 ilipaa kutoka uwanja ndege wa Athens. Ndege hii...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika karne ya 13, katika ardhi yenye rutuba ya Afrika Magharibi, kulikuwa na ufalme mdogo uitwao Kangaba. Ufalme huu ulikuwa chini ya utawala wa mfalme mwenye hekima na upendo, Maghan Kon Fatta...
4 Reactions
4 Replies
424 Views
Katika karne ya 13, katika ardhi yenye rutuba ya Afrika Magharibi, kulikuwa na ufalme mdogo uitwao Kangaba. Ufalme huu ulikuwa chini ya utawala wa mfalme mwenye hekima na upendo, Maghan Kon Fatta...
0 Reactions
0 Replies
391 Views
Hii itasaidia kupunguza msongamano dsm kwa sababu mikoa husika imesha weka dhamira ya miji hii kuwa na bandari kavu. 2 miji hii imezungukwa na maeneo yenye uzalishaji wa mazao ya chakula ya...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
ABDU FATAH MUSSA MTANGAZAJI WA RADIO TEHRAN IRAN Ulikuwa mwaka wa 2000 Uchaguzi Mkuu wa Pili baada ya uchaguzi wa kwanza 1995. Niko Tanga. Sikumbuki vipi tulifahamiana lakini ninachokumbuka ni...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Kondomu zilizotumika katika Roma ya Kale zilitengenezwa kwa kitani na utumbo wa wanyama (kondoo na mbuzi) au kibofu. Inawezekana kwamba walitumia tishu za misuli kutoka kwa wapiganaji waliokufa...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Back
Top Bottom