Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

KATIKATI YA KIPINDI TANESCO WANAZIMA Mahojiano yamepamba moto camera zina "roll," mara paa umeme umekatika. Kiza totorooo... Jicho la camera kama jicho la binadamu halioni kwenye kiza. Mfikirie...
0 Reactions
1 Replies
254 Views
RAJABU IBRAHIM KIRAMA SEHEMU YA PILI Baada ya kupata msingi huu wa simulizi kazi yangu sasa ikawa kuingia katika historia ya Wachagga ambayo karibu yote imeandikwa na Wazungu na hapo kutazama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MATAYARISHO YA KIPINDI MAKTABA NA FLOURANCE MAVIMBI TBC1 TBC1 wanatayarisha kipindi kuhusu majina ya mitaa waliyopewa viongozi wa Afrika katika jiji la Dar-es-Salaam mfano wa Kwame Nkrumah...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
TAAZIA: DR. TAMIM KUTOKA KALAMU YA DR. DAU GAZETI LA RAIA MWEMA Tarehe 17 Mei 2024 Saa 1 asubuhi nimepokea simu kutoka kwa mwanangu Ahmed Dau. Wakati huo nilikuwa nipo safarini nchini Uturuki...
0 Reactions
3 Replies
709 Views
Sanamu ya Askari au Askari Monument ni sanamu iliyopo kwenye kitovu cha jiji la Dar es salaam kwenye mahali ambapo mitaa ya Samora na Azikiwe (zamani: Maktaba) zinakutana. Sanamu inamwonesha...
7 Reactions
9 Replies
5K Views
Alitekwa miaka ya 1780 ivi huko South Africa akapelekwa ulaya kwenye madanguro, akafa, hakuzikwa ila alifanyiwa upasuaji wa ubongo, makalio yake makubwa na sehemu za siri zikawekwa maabara uko...
7 Reactions
225 Replies
86K Views
Kutokana na kukua kwa teknolojia na Kusahaulika kwa Tamaduni zetu hasa kwa asilimia kubwa sisi Watanzania. Hii imetokana na imani zetu na dini zetu kulazimisha majiana ya tamaduni za wamissionari...
9 Reactions
115 Replies
40K Views
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Bwana Zunyou alizaliwa huko nchini china mwaka 1963 na baadae alihudumu kama Mtaalamu wa Magonjwa katika kituo cha China cha Magongwa na tiba. Zunyou alihumu kama mkufunzi wa maswala ya magongwa...
3 Reactions
7 Replies
499 Views
Ukishasikiliza mazungumzo ya Mwalimu Nyerere katika hiyo video hapo juu sasa soma Hotuba yake aliyotoa Bungeni tarehe 10 Desemba, wakati Tanganyika inakua jamuhuri mwaka wa 1962. Hotuba ya...
22 Reactions
406 Replies
23K Views
Habari wana wanahistoria. Katika pitapita zangu nimepata kusikia kabila hili dogo linaloitwa WAZIRANKENDE hasa nimewasikia saana maeneo ya mkoa wa Kigoma na Kagera. Kama kuna mtu anajua chochote...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Titi Mohammed Salum Mandangwa kazaliwa katika familia ya dini haswaa, lakini kapita vikwazo vingi. Amezaliwa 1926, Dar es Salaam na kufariki Johannesburg, RSA katika hospitali ya Net Care, Novemba...
8 Reactions
44 Replies
5K Views
DR. BUSHIRI TAMIM PICHA MBELE YA DAILY NEWS YUKO KAZINI MADAKTARI WENZAKE WAKO KATIKA MGOMO Nilikuwa nimefadhaika sana kwa kukosa picha ya Daily News ikimuonyesha Dr. Tamim akiwa kazini wakati...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Watu wengi wanajua tu majina ya nchi bila.kujua historia ya majina hayo kabla na baada ya kubadilishwa. Songa nami. Gold Coast → Ghana 🇬🇭 (1957) Dahomey Republic → Benin Republic 🇧🇯 (1975)...
2 Reactions
3 Replies
577 Views
DR. TAMIM DAKTARI AMBAE HAKUGOMA MADAKTARI WALIPOGOMA Nimempiga Dr. Tamim picha nyingi na zote ninazo zipo Maktaba. Kila picha niliyompiga nilijitahidi kumpelekea nakala. Tabu iliyonifika ni...
13 Reactions
62 Replies
3K Views
Habari Wana JF leo Kama Kawaida Mimi mtu wa Kufuatilia Historia Mbali mbali Twende na Mimi. KIFO CHA ADOLF HITLER, TAREHE 30/04/1945: Adolf Schickelgruber, A.K.A Hitler alikuwa mzaliwa wa nchi...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Naamini hapa duniani tunapitia mengi sana hasa Sisi watoto wa Kiume ila mimi imani yangu inaniambia tusikate tamaa ipo siku tu iwe duniani au mbinguni kwa imani zetu sisi watu wa Mungu...
0 Reactions
2 Replies
315 Views
Hapo zamani nchini Kongo kulikua na jamii iliyoamini kwamba wanawake wenye vichwa virefu Wanavutia (WAZURI) zaidi na wanaume wenye vichwa virefu wanakua na NGUVU zaidi na AKILI sana. Hivyo basi...
0 Reactions
3 Replies
435 Views
ALFU LELA ULELA, WILLIAM SHAKESPEARE NA IRVING WALLACE WANAPOJUMIKA PAMOJA KATIKA KITABU CHA TUNE SHAABAN SALIM ‘’POSA ZA MAANA’’ Juzi niliandika na kusema kuwa kitabu hiki kina mwendo mkali...
1 Reactions
0 Replies
451 Views
AZIZ ALLY MJENZI WA MISIKITI Aziz Ally alipofariki mwaka wa 1951 muda mfupi baada ya.kutoka hijja gazeti la Tanganyika Standard katika kueleza kifo chake liliandika "Mjenzi wa Misikiti Amefariki."...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom