Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

MJADALA WA WACHANGIAJI M1 JF Jukwaa la Historia 2013 Yericko Nyerere (pichani) miaka 11 iliyopita alifungua uzi JF kwa nia ya kupinga historia ya uhuru wa Tanganyika kama nilivyoieleza katika...
10 Reactions
106 Replies
4K Views
UNAWEZA KUDHANI AMELALA, KUMBE AMEKUFA. Ni miaka mingi toka afariki dunia, lakini hakuzikwa. Badala yake serikali iliamua kuuhifadhi mwili wake ili uwe ukumbusho kwa vizazi vijavyo. Hiyo ni...
11 Reactions
31 Replies
2K Views
KUTOKA VITA VYA MAJI MAJI 1905 HADI KUUNDWA KWA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955 Vita Vya Maji (1905 - 1907) ndiyo kielelezo cha juu kabisa kuonyesha unyama wa Wajerumani kwa wananchi waliosimama...
2 Reactions
1 Replies
450 Views
Kumekuwepo maswali ya watu wengi wakitaka kujua ASILI ya JINA la TANGANYIKA. Ili kuweza kuhakikisha mjadala unakuwa endelevu na msomaji anapata majibu sahihi, tumeonelea ni vema kuweka mjadala...
1 Reactions
152 Replies
72K Views
KWANINI MJI ULE ULIITWA ROMA? Roma ni mji mkuu wa nchi ya Italy, ni mji wenye historia ndefu duniani... Kwa maana historia yoyote ya dunia haitokamilika kama hujaizungumzia au kutaja Neno Roma...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani huyu mheshimiwa yuko wapi? Mbona kimya. Hata hashirikishwi kwenye issue za CCM kulikoni? KAWAWA sometimes huwa anashirikishwa why not JUMBE? Or is there any wrong doings alizofanya au he...
1 Reactions
253 Replies
66K Views
Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
2 Reactions
10 Replies
708 Views
Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo. Sasa ilikuwa hivi: Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za...
121 Reactions
468 Replies
175K Views
By Shusa Luck Historia fupi ya Taiwan Historia ya awali, Era ya kisasa, na Kipindi cha Vita vya baridi Ikopo maili 100 kutoka pwani ya China, Taiwan imekuwa na historia ngumu na uhusiano na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama nilivyowahaidi kuwa itaendelea, kwa wale mlioanza na sehemu hii 👉🏽 Nebukadneza: Mbabe wa vita, muabudu sanamu aliyekula majani kama ng’ombe Basi inaendelea kama ifuatavyo; Baada ya Mfalme...
3 Reactions
6 Replies
582 Views
THOMAS PLANTAN AKIZUNGUMZA KIJERUMANI KATIKA KUMUADHIMISHA PAUL VON LETTOW VORBECK Hiyo video nilipoipata niliipeleka Zentrum Moderner Orient, Berlin kwa rafiki yangu Prof. Kai Kresse na nikampa...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
HISTORIA ZILIZOJIFICHA KATIKA KARATASI ZA BARUA Picha ya kwanza hapo chini ni Mamboleo Rashid Makoko, picha ya pili ni Julius Nyerere na ya tatu ni Chief Michael Lukumbuzya wa Ukerewe. Historia...
0 Reactions
1 Replies
510 Views
Kabla sijakuandikia stori ya huyu mwamba wa Babeli katika nchi ya Babiloni, ngoja nijaribu na mimi kujiuliza maswali kadhaa. Watu wanasema wale Waisrael wa zamani sio wa sasa hivi, hao wa zamani...
11 Reactions
40 Replies
3K Views
HISTORIA Mansa Musa, ambaye alikuwa mtawala maarufu wa Dola ya Mali kati ya karne ya 14 na ya 15, alikuwa mwenye utajiri mwingi sana na anajulikana kwa utajiri wake mkubwa wa dhahabu. Utajiri wake...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
BURIANI HAMISI "SUPER VC 10" KIBUNZI Kila nilipokutana na Hamisi Kibunzi tutazungumza mengi kuhusu mpira wa miaka iliyopita wakati Sunderland walipompa jina la "Super VC 10." Hii ilikuwa aina ya...
2 Reactions
5 Replies
369 Views
MZEE JOHN MALECELA AMEFIKISHA MIAKA 90 MZEE CLEOPA MSUYA KAMSHAURI AANDIKE KITABU CHA MAISHA YAKE TANZANIA IFAHAMU MCHANGO WAKE MKUBWA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Nimeangalia video ya Mzee Malecela...
3 Reactions
4 Replies
704 Views
Sham El-Nessim, sherehe ambayo hufanyika kwa uzito sawa na Pasaka, inayoangukia siku baada ya Jumapili ya Pasaka kila mwaka. Taratibu na imani zinazohusiana na sherehe za leo za Sham El-Nessim...
1 Reactions
2 Replies
372 Views
Nimemsikia mtangazaji wa Upendo TV akiripoti kutokea Cathedral ya Azania Front akisema hapo ndipo alipokuwa anasali Dr. Karl Peters. Na nimesoma kwenye gazeti fulani kuwa Karl Peters aliruhusiwa...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Ni Krisimasi ya mwaka 1971. Mkulima tajiri wa Iringa akiitwa Said Mwamwindi anamuua kwa risasi Mkuu wa Mkoa RC wa Iringa na Katibu wa Chama Dkt. Wilbert Kleruu. Kleruu alikuwamo miongoni mwa...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
SANI ABACHA, MBABE WA MAPINDUZI NIGERIA, UTAWALA WAKE ULIGUBIKWA NA UFISADI, MAUAJI,UKATILI NA UKIUKAJI MKUBWA WA HAKI ZA BINADAMU: LAKINI NI KIPINDI CHAKE NIGERIA ILISHUHUDIA MAGEUZI MAKUBWA YA...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom