Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

1. JERICHO -PALESTINE Baadhi ya wataalamu hudai kuwa huu ndio mji mkongwe zaid duniani...mji huu ulikuwepo zaidi ya miaka 6800 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Wataalamu wanasema kuwa hapo awali...
1 Reactions
4 Replies
791 Views
Miaka ya nyuma kabla ya kuzaliwa Kristo (BC) kulitokea mapigano kati ya Waisrael na Wakaanani ambao ndio wenyeji wa eneo hilo wa kabila la Wafilisti ambao ndio Wapalestina wa sasa Waisrael...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
TBC1 BAKARI MSUYA NA TBC TAIFA DAVID MAYUNGA WAMEPIGA HODI MAKTABA: KIPINDI CHA MUUNGANO Sikutegemea kuwa nitatembelewa kwa siku moja na vijana hawa watangazaji hodari kutoka TBC 1 Bakari a...
2 Reactions
4 Replies
466 Views
Jumamosi ya Novemba 15, 1884, Kansela wa Ujerumani, Otto von Bismarck, aliitisha mkutano mkubwa kwa ajili ya kuligawa Bara la Afrika. Mkutano huo uliofahamika kama Berlin Conference, ulifanyika...
9 Reactions
14 Replies
4K Views
MTAA WA ALI MWINYI TAMBWE Mtaa huu uko Kinondoni Block 41. Nani huyu Ally Mwinyi Tambwe? Ana mchango gani katika historia ya Tanzania? Ally Mwinyi picha yake ya zamani kabisa katika picha zake...
1 Reactions
9 Replies
905 Views
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 7: FUTARI KWA AZIZ ALI MTAA WA MBARUKU NA CONGO 1940s Aziz Ali alikuwa tajiri na akaupamba utajiri wake kwa ukarimu. Yeye alikuwa mjenzi wa majumba na alikuwa akimjengea...
2 Reactions
1 Replies
538 Views
TAAZIA: NINAVYOMKUMBUKA DADA YANGU HAKI HANYA (MRS. HAKI KILOMONI) Haki mimi ni dada yangu. Napata akili namuona Haki na marehemu dada yangu Mengi mashoga, wote wanasoma chuo cha Shariff...
1 Reactions
12 Replies
964 Views
ABUU, ISHAKA MARANDE NA YAKUB "GOWON" MBAMBA Mazishi hapa Dar es Salaam yamekuwa mahali pa kuwakutanisha watu ambao hawajaonana miaka mingi sana. Ilikuwa leo mchana Masjid Nur Magomeni...
0 Reactions
9 Replies
552 Views
Nimesoma maandiko ya ndugu yangu Mohamed Said aliyoyaweka katika kitabu chake akiitacho Historia ya Uhuru upande wa Pili. Katika maandishi yake ameonyesha wazi kulazimisha dunia iamini kuwa...
106 Reactions
18K Replies
1M Views
ZANZIBAR NA LAMU ZINAVYOFANANA Picha hiyo ya punda kabeba mizigo ni kwa hisani ya Abuu Shani. Picha hii nimeipenda na imenikumbusha mara hyangu ya kwanza kufika Lamu mwaka wa 2007. Nilikwenda...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Utangulizi Aziz Ali alifariki mwaka wa 1950 miezi michache baada ya kutoka kuhiji Makka. Hata kwa mbali katika maisha yake haikumpitikia kuwa mali aliyoacha nyuma itakuja kutumika katika...
15 Reactions
59 Replies
17K Views
Adam Sapi Mkwawa alishika Uspika mara mbili, kwa anayejua kwa nini atusaidie. Erasto Andrew Mbwana Mang'enya alishika miaka 2 tu baadae Adam akaja kushika tena.
1 Reactions
4 Replies
535 Views
Mwishoni mwa miaka ya 1800 hadi miaka ya 1900, Wamarekani Weupe na Wazungu walitumia Waafrika kuunda "Zoo za Wanadamu" katika miji kama Paris, Hamburg, Antwerp, Barcelona, London, Milan, Warsaw...
1 Reactions
6 Replies
579 Views
Tulipoishia ni pale mzee soni kuona moto ukipamba sana katika nyumba ya justin (Raia)..saidia jman mwanga maji,”lete maji”mungu jamn maindra Justin alishangwaza sana na moto hule umetokea...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Napenda kujua ni kwa namna gani wajerumani walitumia kuyapa majina haya maeneo ya Tanganyika enzi za ukoloni majina ya kijerumani? German placenames Most place names in German East Africa...
9 Reactions
20 Replies
5K Views
MISRI ni nchi inayozunguka kona ya kaskazini mashariki ya bara la afrika hadi kwenye Rasi ya Sinai kusini magharibi mwa bara la Asia Nchi ya Misri imepakana na nchi kama Israel, Palestine...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Naanzia kushoto kwenda kulia 1) Salim Ahmed Salim 2) Joseph Sinde Warioba 3) Rashid Mfaume kawawa 4) Julius Kambarage Nyerere 5) Ali Hassan Mwinyi 6) Idrissa Abdul Wakiil 7) Maalim Seif Sharif...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu. Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848...
9 Reactions
243 Replies
11K Views
Ukimtoa Malkia Elizabeth II basi hakuna kiongozi mwengine wa kifalme aliyeiongoza uingereza kwa miaka mingi zaidi kumzidi Malkia Victoria kwa miaka 64 ....Ndio malkia Victoria ndio jina Lake...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom