Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

"MWAMBA ALIYEIBA NDEGE KWA UBISHANI" Mwaka 1956 mwanaume mmoja aitwae Thomas Fitzpatrick au "Tommy Vitz" waliwekeana dau wakiwa Bar na mlevi mwenzake kuwa anaweza kuiba ndege na kwenda kutua...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Oscar Kambona. Kuna wakati ukitaka kumwangamiza mtu basi muhusishe na Kambona. Hii ilikuwa baada ya Kambona kukimbilia Uingereza kufafuta hifadhi. Namweleza Oscar Kambona: MASAHIHISHO Katika...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa hakika kipindi cha utawala wa Mwinyi hakupungukiwa na watu waliokuwa wanaona raha kumshambulia. Ilisikitisha kuwa kulikuwa na magazeti yalimpa nafasi Reverend Mtikila kumshambulia Rais. Kuna...
5 Reactions
195 Replies
10K Views
KARIBU SANA MWANA JAMIIFORUM TUJIFUNZE na ruksa kukosoa chapisho. FERRUCCIO LAMBORGHINI Zamani nilinunua magari mashuhuli sana ya gran Turismo na katika kila hizi gari nililinunua niliona zina...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
MWALIMU NYERERE NA SHEIKH THABIT KOMBO Rais Ali Hassan Mwinyi anaeleza katika kitabu chake kuwa Sheikh Thabit Kombo ndiye aliyependekeza jina lake kwa Mwalimu Nyerere awe Rais wa Zanzibar...
1 Reactions
0 Replies
457 Views
HIP HOP IN ZANZIBAR... MUziki wa Rap ni Muziki pekee ambao hutoa Elimu kwa jamii kutokana na aina ya Tungo au Mashairi wanayoimba wasanii wanaofanya Muziki Huo .. Kwa Hapa Tanzania tuna list ya...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Hapo chini kuna "Memories" post niliyoandika baada ya kutoka kumbukumbu za Rais Ali Hassan Mwinyi. Ukiwa umesoma kitabu cha Mzee Mwinyi na ukawa umesoma kitabu cha Abdul Sykes (1998) utaona kuna...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
SIKU YA MWANAMKE DUNIANI Gazeti la Mwananchi la leo limechapa makala ambayo walinitembelea Maktaba nami nikawazungusha katika mitaa ambayo wanawawake wa Tanganyika walikuwa hawapunguia katika...
0 Reactions
1 Replies
573 Views
Wakuu Habari za uzima? Natumai harakati zinaendelea za kulijenga Taifa. Napenda kuuliza vita ya MAJIMAJI iliyoongozwa na babu yetu kinjekitilingwale, je walikuwa mashujaa wa kutumia maji kama...
3 Reactions
8 Replies
705 Views
Erasto Bartholomeo Mpemba (1944 - 2023) alikuwa mwanasayansi kutoka nchi ya Tanzania aliyegundua tabia ya pekee ya maji inayojulikana leo kwa jina la athari ya Mpemba (kwa Kiingereza Mpemba...
8 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwanaume mmoja alipanda ndege ya Shirika la ndege la Northwestern Airlines akiwa peke yake, akibeba bomu kwenye mkoba kwa urahisi kama ameshika faili la nyaraka za ofisi. Aliteka ndege hiyo na...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
RAIS ALI HASSAN YALIYOMFIKA NA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI ''Tanzania Press Club hosted Reverend Christopher Mtikila, secretary of Full Salvation Church. In that press luncheon Mtikila attacked...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
KUTOKA UWANJA WA MKAPA HADI UWANJA WA MWALIMU NYERERE NYOTA WA YANGA Mwanangu Taufik ni mpenzi mkubwa wa Yanga na mimi ni Mnyama. Kwa kweli nateseka sana maana baada ya zile hamsa yeye ni...
28 Reactions
20 Replies
1K Views
JUMA DUNI HAJI Nilikutana na Juma Duni Haji kwa mara ya kwanza chumbani kwa Maalim Seif Starlight Hotel mwaka wa 1995 CUF ikiwa katika harakati za Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kurejeshwa...
3 Reactions
14 Replies
936 Views
GEORGE ARNAUTOGLU Ukumbi wa Arnautoglu ulikuwa ukumbi maarufu sana Dar es Salaam katika miaka ya 1950 na shughuli nyingi za kijamii na za kiasi zimefanyika pale. Jambo la kusikitisha sana ni...
9 Reactions
18 Replies
4K Views
Kama kuna kitu kizuri mzee wetu Ruksa alikifanya ilikuwa kumgomea mwalimu Nyerere kuondoa jina lake kwenye mchakato wa Urais 1985. Ilikuwa hivi: Mwalimu alikuwa na marafiki watatu kule zanzibar...
13 Reactions
63 Replies
4K Views
Mnamo Mwaka 1991 Pepe Kalle na bendi yake ya Empire Bakuba walikuja Tanzania kufanya onesho katika jiji la Arusha. Walipowasili Arusha, walikodi taksi iliyokuwa inaendeshwa na mwanamama Hidaya...
9 Reactions
28 Replies
3K Views
TAAZIA Leo usiku saa tatu In Shaa Allah nitakuwa TV Africa Channel 2 Mubashara Kipindi Maalum cha Rais Mwinyi. Wako King'amuzi cha AZAM Ingia Others. Picha hapo chini Ukumbi wa Korea...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
MLANGO UNAOJIFUNGUA KATIKA KITABU CHA MZEE MWINYI Mzee Mwinyi Mashaallah hodari wa kuchekesha. Katika kitabu chake, "Mzee Rukhsa..." anahadithia alivyokuwa mwanafunzi Uingereza alivyoshtuka...
4 Reactions
5 Replies
557 Views
Back
Top Bottom