Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kama ulizani umesikia yote, si kweli Chanzo: Chronicles Rw UCHAMBUZI Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani? Tuanze hapa Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye...
0 Reactions
132 Replies
10K Views
Huu ni mtazamo wa kihistoria ambavyo watu wakubwa na wenyewe ushawishi katika jamii ikiwemo viongozi wa serikari, jinsi ambavyo wanaungana kufanya njama(conspiracy) ya kuwanufaisha wao lakini...
2 Reactions
5 Replies
448 Views
Leo Ni Sikukuu Ya Wachagga Duniani(World's Chagga Day), Ni Siku Kubwa Iliyokuwa Inaadhimishwa Kila Mwaka Siku Ya Novemba 10, Miaka Ya Kabla Ya Uhuru wa Tanganyika na Miaka Michache Baada ya Uhuru...
10 Reactions
34 Replies
1K Views
MAPINDUZI YA ZANZIBAR: KUNA MAMBO WAZANZIBARI WANGEPENDA KUYASAHAU Jana nimeandika hapa kuwa katika mahojiano ndani ya kipindi cha mapinduzi na Azam TV nilijizuia kueleza historia ya yale...
1 Reactions
7 Replies
512 Views
Mwaka jana nilibahatika kwenda Arusha kikazi ambako nililazimika kukaa kwa muda wa majuma mawili. Kuna mambo ya maana nimejifunza kutoka kwa kabila la wachaga, ambayo kama watanzania tukiyatilia...
29 Reactions
254 Replies
31K Views
Historia ya Ng'wanamalundi Hebu leo mjue vizuri huyu mtu wa miujiza aitwae Ng'wanamalundi shujaa wa Kisukuma aliyewatesa Wajerumani. Kwa wale waliopata kusoma historia au kusikia hadithi za...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Kigwangalla ahoji viongozi wa umma walionunua nyumba hivi karibuni maeneo ya Masaki na Oyesterbay zenye thamani ya mpaka dola milioni 6, huku akitaja wengine wana mali za namna hiyo sehemu kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KUTOKA JF MAPINDUZI DAY MORNING TRUMPET: YALE AMBAYO SIKUYASEMA Nimekuwa nikishambuliwa kwa maneno makali nikilaumiwa kuwa nilikuwa nakwepa maswali niliyokuwa nikiulizwa mtangazaji wa AZAM TV...
2 Reactions
3 Replies
483 Views
Ktk pitapita zangu viunga vya YouTube nakutana na kisa hiki. Ikumbukwe South Africa walikuwa na kambi ya wapigania Uhuru eneo la Mazimbu Morogoro. Aliyewahi kuwa Rais wa South Africa Thabo Mbeki...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
KUTOKA MAKTABA: BAADHI YA VITABU KATIKA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MAPINDUZI Baadhi ya waandishi wa vitabu hivi tulifahamiana na walio hai tunafahamiana. Baadhi ya vitabu hivi nimevifanyia mapitio...
2 Reactions
4 Replies
686 Views
Imekuwa kawaida vyombo vinapokuja kunihoji kuhusu masuala ya historia wale wanaonihoji husikia historia ambazo hawakupata hata siku moja kuzisikia wala hawakusomeshwa si shule ya msingi, sekondari...
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Imekuwa kawaida vyombo vinapokuja kunihoji kuhusu masuala ya historia wale wanaonihoji husikia historia ambazo hawakupata hata siku moja kuzisikia wala hawakusomeshwa si shule ya msingi, sekondari...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
MWANAMAPINDUZI JOHN OKELLO John Okello ambaye aliongoza Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa mwaka 1937 huko Uganda katika kabila la Lang'o ambalo pia ni la Rais wa Zamani wa Uganda Milton Obotte...
8 Reactions
4 Replies
819 Views
LOCATION:- Mafia ni kisiwa kilichopo ndani ya bahari ya hindi,kina jumla wakazi 46,000 kwa sensa ya 2012.Kinapatikana katika mkoa wa pwani. Kutoka jijini Dar es salaam, kuna njia tatu kuu...
7 Reactions
89 Replies
23K Views
Siku chache zilizopita niliandika hapa kuhusu John Okello na pia nikaweka na video inayoeleza safari ya Okello Pemba mwezi Machi 1964 baada ya mapinduzi. Sharif Mohamed Yahya kutoka Tanga...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Miaka 40 iliyopita, Aprili 7, 1972; Rais wa Serikali ya awamu ya kwanza ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya...
2 Reactions
6 Replies
7K Views
Historia huwa inapitia msururu mrefu wa matukio.Yapo matukio ambayo mwanzoni huenekana ni sehemu ya historia nzuri lakini kadri muda unavyokwenda watu hujutia historia hiyo na hatimae kuamua...
3 Reactions
19 Replies
571 Views
Tarehe 2 Januari 1964, meli iliyofahamika kwa jina la Mv Ibn Khaldun ikiongzwa na kepteni Racchid Ben-Yelles ilitia nanga katika bandari ya Dar es Salaam ikitokea kaskazini mwa Afrika katika nchi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
VIJANA NA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MOHAMED SAID NA BELINDA SEMTANDI EATV EATV wamenihoji vipi vijana wahamasike katika kuyaenzi mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964. Nimewashauri vijana kwanza...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
TANGANYIKA STANDARD 17 JANUARY 1964 Mhariri wa Tanganyika Standard alikuwa Mwingereza Brendon Grimshaw. Gazeti hili lilikuwa mali ya Lonrho kampuni kubwa sana ambae mkuu wake alikuwa Tiny...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom