Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

SIKU YA KISWAHILI DUNIANI: WAMAREKANI NA KISWAHILI Nimefika Marekani kwa mwaliko wa Chuo Kikuu Cha Iowa, Iowa City mwaka wa 2011 aliyenialika ni Prof. James Giblin Mkuu wa Idara ya Historia ya...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
The assassination of Mr Lincoln Our coverage of the death of the American president Apr 29th 1865 Share Abraham Lincoln was shot in Ford's Theatre in Washington on the evening of April 14th...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Pichani ni Julai 16, 1963, Rais wa Jamhuri ya Tanganyika Julius Nyerere akiweka katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa U Thant pini yenye alama ya mwenge wa taifa. Kulia kabisa ni...
37 Reactions
495 Replies
28K Views
Kwenye Uafrika hawapo, uzungu hawapo wala Uarabu hawapo pia.
9 Reactions
61 Replies
9K Views
Kabila la Wachaga linafahamika kwa wengi kuwa linapatikana mkoani Kilimanjaro.Kwa asili, Wachaga ni mchanganyiko wa Wamasai, Wasambaa, Wataita, Wakamba na Wakahe. Wachaga walianza kuhamia kwenye...
5 Reactions
282 Replies
114K Views
KUMBUKUMBU ZA BALOZI JUMA MWAPACHU Balozi Juma V. Mwapachu amechapa kumbukumbu zake.
3 Reactions
5 Replies
901 Views
Nimesimuliwa Chanzo cha usafiri wa umma kuitwa daladala. Wakongwe muje hapa. Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa umma umeshamili hasa maeneo ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Shaaban Robert Alizawa (1 Januari 1909 - 22 Juni 1962) alikuwa mshairi na mwandishi wa riwaya. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa kwani kazi zake zinaheshimika katika fasihi ya...
3 Reactions
0 Replies
985 Views
WACHA TUSEME, TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha bandari za Tanzania na kampuni ya DP World...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi? Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha...
1 Reactions
2 Replies
659 Views
Naomba kufahamu. Hivi Jenerali wa kwanza wa Tanzania ni nani na aliwahi kupigana vita gani?
0 Reactions
0 Replies
842 Views
MTAA WA MUHIDIN MFAUME KIMARIO KINONDONI MOSCOW Leo nikiwa na ndugu yangu mwanahistoria na maktaba inayotembea Hamisi Hababi tumekutana na kibao cha Mtaa wa Kimario Kinondoni Moscow tukaamua...
16 Reactions
29 Replies
2K Views
Kabila la wazinza lipo sengerema, geita na sehemu mbali mbali za kanda ya ziwa Ambaye anazijua tamadun za kabila la wazinza naomba anijuze Note: wale watukanaji na wale wenye stress huu sio uzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
PROF. KISSINGER Leo mimi, Hamisi Hababi na Sheikh Taufik Kazaliwa tumemtembelea mwalimu wetu Prof. Kissinger. Kwanza tulikuwa ndani tukapata darsa la Komredi Abdulrahman Babu na Mwana ASP na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii historia ya neno Ikulu nilianza kuisikia miaka kadhaa iliyopita , tangu nikiwa primary, na secondary pia ila ukweli halisi siujui. Inasemekana pale Dodoma, kulikuwa/Kuna mji unaitwa Mvumi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu msomaji wa makala hii vuta kiti chako ujifunze kitu hapa ... Africa Ina MASHUJAA --- MFAHAMU MWANAMAPINDUZI HAYATI RAIS THOMAS SANKARA KUTOKA NCHINI BURKINAFASO Kama Kuna usemi umeshawahi...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
ALI MSHAM, JULIUS NYERERE NA WANACHAMA WA TANU WA TAWI LA MTAA WA JARIBU MAGOMENI MAPIPA 1954 Watoto wa Ali Msham walizihifadhi picha hizo hapo chini kwa zaidi ya miaka 60. Miongo sita imepita...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
KUJUA LEO YAKO UNAHITAJI KUJUA JANA YAKO Nimeweka picha nne hapo chini tati ni za maandamano ya wananchi yakiwakilisha makundi makubwa mawili katika jamii ya Watanzania. Picha ya kwanza ni ya...
2 Reactions
3 Replies
988 Views
Huenda ukiulizwa kuhusu Filipino utamtaja Manny Pacquiao, Neno Philipine linatokana na Mfalme Philip wa Uspanish (King Philip) aliyewahi kuishi kwenye viswa hivyo na kuzaana, wafilipino wengi wana...
9 Reactions
54 Replies
14K Views
30 October 2021 Part 1: Bi Naila Majid Jidawi mwenye umri wa miaka 77, anasimulia kuhusu mumewe, Marehemu, Kanali Ali Mahfoudh, aliyezaliwa na kukulia Zanzibar, akapata mafunzo ya kijeshi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom