Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

TUENDELEE NA HISTORIA YA CHAMA CHA (A.A). Picha namba (1) inaonyesha jengo la ghorofa mbili lenye mistali ya rangi ya kijani na nyeupe, jengo hilo lilikuwa ni la chama cha African Association...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
NAMKUMBUKA RAFIKI YANGU WA UDOGONI GERSHOM CHIHOTA (1950 - 2023) Kiasi cha kama siku tatu zilizopita nimepokea taarifa kutoka kwa Ally Max Marekani. Ajabu jinsi kifo kinavyoweza kufungua majalada...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
#History The story of Kurunmi is one that draws tears from the eyes of people who feel pity for a man who stood firm for tradition. There was a time in the history of Yoruba where the heir to...
2 Reactions
11 Replies
663 Views
BURIANI LEILA SHEIKH SIKIO NA MWANDANI WA BI. TITI MOHAMED Wasomaji wangu niruhusuni niweke msg niliyomtumia Leyla Sheikh tarehe 12 December 2022. (Mtaniwia radhi nimeifanyia uhariri kidogo ili...
1 Reactions
4 Replies
837 Views
“Nilikutana na Saddam mara mbili baada ya kupinduliwa” Maelezo ya picha. Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab (kushoto), akisalimiana na Abu Mahdi al Muhandis, aliyekuwa Kaimu wa Mkuu wa Jeshi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HISTORIA YA KURA TATU: DUA YA MNYANJANI TANGA HADI HOTUBA YA JULIUS NYERERE PARISH HALL (UKUMBI WA KANISA KATOLIKI) TABORA 1958 Laiti kama si Sheikh Abdallah Rashid Sembe wa Tanga kukubali...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Naombeni kujua historia ya waziri mkuu wa zaman Edwad sokoine
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu, ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga...
58 Reactions
500 Replies
88K Views
Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko. Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX...
32 Reactions
300 Replies
19K Views
Picha lina anaanza. Wenzetu weupe wanaingia Barani Afrika, nchini NIGERIA katika jimbo liitwalo BORNO (Borno State) na kugundua madini aina ya Calfornium. Kisha wanaamua kununua eneo kubwa sana...
6 Reactions
95 Replies
5K Views
Shuleni tulifundishwa habari ya Abushiri wa Tanga kupigana na wakoloni wa kijerumani. Alitajwa kama shujaa mpigania uhuru kumbe hamna lolote. Kumbe jamaa alikuwa anamiliki mashamba makubwa na...
11 Reactions
95 Replies
5K Views
SALEH RAJAB TAMBWE, JOB LUSINDE NA SAMWEL SITTA Nimesikitishwa na taarifa ya kifo cha Balozi Saleh Tambwe ambae tukifahamiana kwa miaka mingi na yeye akimjua babu yangu katika kundi la wazee wa...
10 Reactions
28 Replies
6K Views
KUTOKA NYARAKA ZA LAWI NANGWANDA SIJAONA: MWALIMU ANAMWAGIZA MSAIDIZI WAKE JOAN WICKENS AMPELEKEE SIJAONA KITABU ''FALSE START IN AFRICA'' Adam Sijaona mtoto wa marehemu Nangwanda Lawi Sijaona...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mungu ibariki Tanzania🇹🇿 Julius Kambarage Nyerere. 1. Kiongozi aliyekuwa mzalendo wa kweli. 2. Kiongozi aliyewapenda Watanzania na kuwalilia siku zake za mwisho. 3. Kiongozi aliyekuwa na...
0 Reactions
10 Replies
694 Views
Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba. Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Srinagar (Jammu-Kashmir) INGAWA baadhi ya maeneo ya Jammu na Kashmir yanatatizika kiuchumi, eneo hilo kwa ujumla limepata unafuu wa wa utalii baada ya kifungu cha 370 kufutwa mnamo 2019 na...
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Srinagar (Jammu-Kashmir) [India], May 31 (ANI): Though some parts of Jammu and Kashmir are struggling economically, the region overall is seeing a tourism revival after Article 370 was abrogated...
0 Reactions
0 Replies
415 Views
MWINYIMBEGU ( MWINYI) DIBIBI si jina geni masikioni mwa watu wa Tanganyika ya kale na hususan wenyeji wa Upwa wa Pwani ya Tanganyika. Huyu ni Babu yangu ambaye wanamwita kama ni uzao Mkuu ambaye...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
PICHA ADIMU ZA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Nimepokea picha kutoka kwa Mshindo Ibrahim ikimuonyesha marehemu baba yake Mzee Ibrahim Mwinyimvua Makongwa aliyepata kuwa Mwenyekiti wa...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA KIGOMA UJIJI Utangulizi Ndugu yetu mmoja siku chache zilizopita aliturushia picha ya nyumba ya Suleiman Kagobe akaeleza kuwa nyumba hiyo ndipo...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom