Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Picha hii kwangu inanikumbusha miaka yangu ya mwanzo udogoni naanza kujitambua na kuingia kwenye duka la vitabu kununua vitabu. Nimenunua vitabu vingi duka hili kuanzia mwaka wa 1963 nikiwa na...
9 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu leo tuangalie story za Waafrika. Kuna baadhi ya pan africanist (wakombozi wa Afrika) wanasema africa ilikua na nguvu kubwa sana katika mambo mengi, hasa katika kivita na kiimani, zamani hata...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Danieli 11:20 Ndipo badala yake atasimama mmoja, atakayepitisha mwenye kutoza ushuru kati ya utukufu wa ufalme wake; lakini katika muda wa siku chache ataangamizwa, si kwa hasira, wala si katika...
5 Reactions
10 Replies
4K Views
SAFARI YA UHURU WA TANGANYIKA Video hii imenivutia kwa kule kuieleza historia ya TANU na kutoka vyanzo vilivyoko nje ya historia rasmi na kutumia picha alizoacha Ali Msham na nyingine kutoka...
1 Reactions
0 Replies
713 Views
Katika historia za wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika lakini wamesahaulika historia ya Ali Msham ina sehemu ya pekee moyoni kwangu. Tafadhali isikilize historia yake:
2 Reactions
15 Replies
2K Views
KALAMU YA ALHAJ ABDALLAH TAMBAZA ''Lakini Abdallah Laatasi, ambaye ni mjukuu wa Diwani Omar Laatasi, anakumbukwa zaidi katika mchango wake katika kufanikisha kupatikana uhuru wa nchi hii; kwani...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
HAPO ZAMANI ZA KALE: HISTORIA YA MWALIMU THOMAS SAUDTZ PLANTAN NA CLEMENT MOHAMED MTAMILA Ulikuwa ukiingia nyumbani kwa Mwalimu Thomas Plantan Mtaa wa Masasi kitu kimoja ambacho kitakushangaza ni...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndege ya kwanza kupaa angani na marubani wa kwanza kurusha chombo hicho. Hiyo ilikuwa 1903 pitty hawk Marekani. Beberu katika ubora wake
2 Reactions
0 Replies
652 Views
KIKAO CHA KUUNDA TANU NYUMBANI KWA HAMZA KIBWANA MWAPACHU NANSIO, UKEREWE 1953 Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953. Abdul Sykes Act. President na Secretary wa...
5 Reactions
62 Replies
6K Views
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
MTAA WA MKWEPU NI MTAA KWA HESHIMA YA RASHID ''SISSO'' MOHAMED MKWEPU Mtoto wa Rashid Sisso kaniandikia leo akaniuliza swali, ''Unajua asili ya Mkwepu Street kule Posta?'' Nikamjibu sijui...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii ishu ya watu wa Dodoma kuwa ombaomba ni ya kihistoria. Ilianza zamani enzi za misafara ya biashara kutoka Bagamoyo hadi Ujiji. H. M. Stanley ameliandika vema hili katika kitabu chache How i...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
NUREMBERG TRIALS Hii ilikuwa mahakama iliyokuwa Ujerumani baada ya Vita Kuu ya Pili (1939 - 1945) washirika wa vita vile dhidi ya Manazi wa Kijerumani waliiweka makhsusi kwa kuwahukumu wale wote...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
RASHID SISSO MHAMASISHAJI ''EXTRA ORDINAIRE'' Mmoja kati ya wazalendo vijana walioanzisha Bantu Group alikuwa Rashid Sisso. Wakati wa harakati za kudai uhuru alikuja kuwa karibu sana na Nyerere...
2 Reactions
2 Replies
754 Views
New Left Review 133 / 134 Jan Apr 2022 Issa Shivji, Saida Yahya-Othman and Ng’wanza Kamata, Development as Rebellion: A Biography of Julius Nyerere Mkuki na Nyota: Dar es Salaam 2020, £90...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
EID EL FITR: ''BLUE HAWAII'' ELVIS PRESLEY EMPIRE CINEMA 1964 Kuna ndugu yangu hapa kaangalia video ya watoto wa mtaani kwangu Magomeni Mapipa leo asubuhi baada ya sala wamekuja kunipa mkono wa...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) Siku moja mwaka wa 2008 nilipokea email kutoka kwa Prof. Emmanuel Akyeampong kutoka Harvard akaniomba niwe mmoja wa waandishi karibu 500 kutoka kila pembe ya...
1 Reactions
2 Replies
697 Views
Joseph-Désiré Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Zabanga Na Martin Maranja Masese Joseph-Désiré Mobutu aliyejiita baadaye Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Zabanga alizaliwa mnamo 14 Oktoba 1930...
8 Reactions
5 Replies
5K Views
TAAZIA FUPI KWENYE MAZIKO YA MZEE KITWANA SELEMANI KONDO 2017 Naeleza siku aliyonipa jina la "mole," (kachero, jasusi)wa Waingereza aliyekuwa ndani ya uongozi wa juu wa TANU 1954. Naeleza...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…