AHMED RAJAB, SALIM HIMIDI NA SIMBA WAZIRI
Picha ya kwanza niliyoweka hapa kaniletea rafiki yangu Mohamed Abdul Rahman kutoka Ujerumani.
Picha hii kulia ni Salim Himidi katikati ni Joachim...
Pamoja na imani yake kuongezeka Mohamed alikuwa amekata tamaa ya kuishi, hivyo wakati wote akiwa gerezani hakutaka kujifunza ujuzi wowote akiamini hatoweza kuutumia kwa sababu kilicho mbele yake...
Usiku wa Februari 24 mwaka 1982 utabaki kwenye kumbukumbu ya kudumu kichwani kwa Mohamed Said (70) kutokana na tukio kubwa lililomkuta siku hiyo na kumfanya akae gerezani kwa miaka 40.
Kama...
SALIM HIMIDI KUMBUKUMBU: COMRADE WA NGAZIJA
Hukaa nikawaza wakati mwingine vijana wa Kizanzibari Makomredi jinsi walivyowanyima usingizi Wamarekani.
Najiuliza ingekuwaje makoredi wa Zanzibar na...
SI ZAIDI KATIKA HISTORIA YA MUUNGANO BALI NI KATIKA WIMBO HUU WA WESTERN JAZZ BAND 1964
Ilikuwa nawasha gari langu usiku nikaliegeshe kwa walinzi mtaa wa pili.
Gari limewaka na radio inasema...
Hivi huyu naye ndio alifutika kabisa kwenye historia yetu? Naona huku wazungu wanamwona one of the greats from Africa
Pichani MALCOLM X alipokuja Tanzania akiwa na BABU
Nakumbuka wakati ni ko...
ABEID KARUME: Aliuawa kulipiza kisasi au kumpindua?
Joseph Mihangwa
Toleo la 126
24 Mar 2010
APRILI 7, mwaka huu, Watanzania katika ujumla wao (angalia: kuna Watanzania na Wazanzibari)...
Wakati mwl Nyerere anachanganya mchanga au udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama inavyoonekana kwenye picha👇inaonekana mikono yake yote miwili ilishiliki kwa pamoja katika kuchanganya udongo huo...
Kulia Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman Yahya, Dr. Ng’wanza Kamata katika mahojiano na Mohamed Said (out of sight) kuhusu Mwalimu Nyerere wakati wa utafiti wa kitabu chake.
Batholomeo Mpemba ni mmoja ya wanasayansi wanaotambilika Dunia Kwanian kwa theory yake ya MPEMBA EFFECT katika utawala wa mwalim Nyerere.
Taja Watanzania wengine kama wapo.
Ndugu zangu nimepokea ujumbe huo hapo chini:
"Jana nilihudhuria Seminar juu ya Biography ya Mwalimu Nyerere pale Council Chamber Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Jina lako limetajwa miongoni mwa...
Habari ndugu wanajukwaa wezangu. Poleni na hongereni kwa kazi
Samahan Sana wanaJf nimekua inspired Sana na hivi vyombo vya habari na kutaka Kujua historia zake
Asanten sana naomba kupewa japo...
Ilibidi miguu ya kiti itengenezwe mifupi kwasababu Malkia Victoria alikua mwanamke mfupi kwa umbo, wasingeweza kuweka miguu ya kiti mirefu na kumuacha Malkia akining’inia.
Baada ya Victoria...
MWAMI THERESA NTARE CHIFU MWANAMKE ANAELEZA ALIVYOIINGIZA TANU BUHA
''Serikali ya kikoloni haikutaka sisi machifu tuwe katika siasa hasa kuisaidia TANU.
Hata hivyo tukiwa wananchi na viongozi wa...
Habari zenu Wadau wa Jamii forums? Hasa katika jukwaa hili la Historia ninawaomba sana mnisaidie kupata Historia ya umishenari Songea na vile vile Historia ya Vita vya Majimaji.
Nitafurahi sana...
Wakorea wana historia yao toka mwanzo wataifa lao kuwepo kipindi cha devine Jumong, wazungu hivyo hivyo wana story zao, mbona sisi Waafrika hatuna hadithi zetu za mwanzo, au baada wa wazungu...
Shuleni tumefundishwa kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru ni Ghana, mwaka 1957. Lakini Egypt ilipata Uhuru wake mwaka1952. Ikiondoa waingereza na mfalme.
Sasa imekaaje tukasema Ghana ndiyo ya...
Hi Guys!
Huu ni kama mwendelezo wa kuwachambua hawa Dinosaurs viumbe ambao waliwahi kuitawala dunia miaka mingi iliyopita.
Katika post iliyopita inayowahusu hawa viumbe nilieleza tabia zao na...
SHEIKH SHABAN RASHID MSUYA MWANAFUNZI WA SHEIKH HASSAN BIN AMEIR 1950s
John Iliffe anasema historia ya TANU nyingi ipo kwa watu.
Hili mimi nimelishudia mara nyingi.
Aliyonieleza Sheikh Shaban...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.