Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

AHMED RAJAB, SALIM HIMIDI NA SIMBA WAZIRI Picha ya kwanza niliyoweka hapa kaniletea rafiki yangu Mohamed Abdul Rahman kutoka Ujerumani. Picha hii kulia ni Salim Himidi katikati ni Joachim...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Pamoja na imani yake kuongezeka Mohamed alikuwa amekata tamaa ya kuishi, hivyo wakati wote akiwa gerezani hakutaka kujifunza ujuzi wowote akiamini hatoweza kuutumia kwa sababu kilicho mbele yake...
8 Reactions
19 Replies
3K Views
Usiku wa Februari 24 mwaka 1982 utabaki kwenye kumbukumbu ya kudumu kichwani kwa Mohamed Said (70) kutokana na tukio kubwa lililomkuta siku hiyo na kumfanya akae gerezani kwa miaka 40. Kama...
21 Reactions
123 Replies
14K Views
SALIM HIMIDI KUMBUKUMBU: COMRADE WA NGAZIJA Hukaa nikawaza wakati mwingine vijana wa Kizanzibari Makomredi jinsi walivyowanyima usingizi Wamarekani. Najiuliza ingekuwaje makoredi wa Zanzibar na...
2 Reactions
2 Replies
812 Views
SI ZAIDI KATIKA HISTORIA YA MUUNGANO BALI NI KATIKA WIMBO HUU WA WESTERN JAZZ BAND 1964 Ilikuwa nawasha gari langu usiku nikaliegeshe kwa walinzi mtaa wa pili. Gari limewaka na radio inasema...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hivi huyu naye ndio alifutika kabisa kwenye historia yetu? Naona huku wazungu wanamwona one of the greats from Africa Pichani MALCOLM X alipokuja Tanzania akiwa na BABU Nakumbuka wakati ni ko...
4 Reactions
137 Replies
47K Views
ABEID KARUME: Aliuawa kulipiza kisasi au kumpindua? Joseph Mihangwa Toleo la 126 24 Mar 2010 APRILI 7, mwaka huu, Watanzania katika ujumla wao (angalia: kuna Watanzania na Wazanzibari)...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakati mwl Nyerere anachanganya mchanga au udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama inavyoonekana kwenye picha👇inaonekana mikono yake yote miwili ilishiliki kwa pamoja katika kuchanganya udongo huo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kulia Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman Yahya, Dr. Ng’wanza Kamata katika mahojiano na Mohamed Said (out of sight) kuhusu Mwalimu Nyerere wakati wa utafiti wa kitabu chake.
6 Reactions
57 Replies
4K Views
Batholomeo Mpemba ni mmoja ya wanasayansi wanaotambilika Dunia Kwanian kwa theory yake ya MPEMBA EFFECT katika utawala wa mwalim Nyerere. Taja Watanzania wengine kama wapo.
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimepokea ujumbe huo hapo chini: "Jana nilihudhuria Seminar juu ya Biography ya Mwalimu Nyerere pale Council Chamber Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam. Jina lako limetajwa miongoni mwa...
1 Reactions
0 Replies
711 Views
Habari ndugu wanajukwaa wezangu. Poleni na hongereni kwa kazi Samahan Sana wanaJf nimekua inspired Sana na hivi vyombo vya habari na kutaka Kujua historia zake Asanten sana naomba kupewa japo...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Ilibidi miguu ya kiti itengenezwe mifupi kwasababu Malkia Victoria alikua mwanamke mfupi kwa umbo, wasingeweza kuweka miguu ya kiti mirefu na kumuacha Malkia akining’inia. Baada ya Victoria...
14 Reactions
42 Replies
5K Views
MWAMI THERESA NTARE CHIFU MWANAMKE ANAELEZA ALIVYOIINGIZA TANU BUHA ''Serikali ya kikoloni haikutaka sisi machifu tuwe katika siasa hasa kuisaidia TANU. Hata hivyo tukiwa wananchi na viongozi wa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu Wadau wa Jamii forums? Hasa katika jukwaa hili la Historia ninawaomba sana mnisaidie kupata Historia ya umishenari Songea na vile vile Historia ya Vita vya Majimaji. Nitafurahi sana...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Wakorea wana historia yao toka mwanzo wataifa lao kuwepo kipindi cha devine Jumong, wazungu hivyo hivyo wana story zao, mbona sisi Waafrika hatuna hadithi zetu za mwanzo, au baada wa wazungu...
11 Reactions
84 Replies
10K Views
Shuleni tumefundishwa kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru ni Ghana, mwaka 1957. Lakini Egypt ilipata Uhuru wake mwaka1952. Ikiondoa waingereza na mfalme. Sasa imekaaje tukasema Ghana ndiyo ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hi Guys! Huu ni kama mwendelezo wa kuwachambua hawa Dinosaurs viumbe ambao waliwahi kuitawala dunia miaka mingi iliyopita. Katika post iliyopita inayowahusu hawa viumbe nilieleza tabia zao na...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
SHEIKH SHABAN RASHID MSUYA MWANAFUNZI WA SHEIKH HASSAN BIN AMEIR 1950s John Iliffe anasema historia ya TANU nyingi ipo kwa watu. Hili mimi nimelishudia mara nyingi. Aliyonieleza Sheikh Shaban...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom