Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

'Baba' yake na Obama ni kwamba alikuwa ni mmoja wa watu kadhaa waliotumiwa na CIA kwa ajili ya kusimamia mpango ambao utazuia siasa za ukomunisti kutoka China na Muungano wa Sovieti usiingie Kenya...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwaka 1951 mgogoro wa ardhi ya Wameru ulipoanza tawi la TAA mjini Tabora lilikabili changamoto hiyo kupitia juhudi binafsi za Saadan Abdu Kandoro. Kandoro aliitisha mkutano wa matawi ya TAA ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
SAKATA LA BARAKA SHAMTE: HATARI YA KUSEMA YASIYOTAKIWA KUSEMWA Katika kila jamii kunakuwa na ''mwiko,'' yaani kitu kisichotakiwa kufanywa na kwa kawaida huwa watoto wanafunzwa toka udogoni...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
INGEKUWAJE KAMA MANDELA ASINGEANDIKA TAWASIFU YAKE "LONG WALK TO FREEDOM? Mimi ni mpenzi mkubwa wa vitabu vya tawasifu na wasifu hasa za watu maarufu awe mwanasiasa kama Nelson Mandeala au...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa jf, nimeambatanisha picha husika Rahel ni Binti wa Laban Betuel Ni Mke wa Yakobo aliyeitwa baadaye Israel Ni Mama was Yusuph na Benjamin Ni eneo maalumu la kumbukizi kwa Wayahudi Hadi sasa.
2 Reactions
6 Replies
3K Views
"THE SAND PEBBLES": MCHINA KULI DHALILI ALIDHANI MMAREKA NI MBABE NI SIMBA KUMBE PANYA ''The Sand Pebbles,'' ni senema kati ya senema ninazozipenda hadi leo kwani ndani yake alikuwa Steve McQueen...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
UHURU WA KUZUNGUMZA WA WENZETU Filamu, ''JFK'' iliyotengenezwa na kuogozwa na Oliver Stone ilinikuta niko mji mmoja mdogo Uingereza. Mwaka ni 1991. Huyu Oliver Stone ni Mmarekani na sifa yake...
2 Reactions
0 Replies
507 Views
Miaka ya nyuma inasemekana lakini Kama NI kweli bwana mmoja alienda msumbiji kutafuta utajiri Sasa akaambiwa na mganga aende porini na mpwa wake wakapake madawa fulani na mambo mengine ila...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
BARAKA SHAMTE... Lugha ya Kiingereza inakuwa kila siku kwa kuja na maneno ambayo mimi sikupata kuyajua hapa zamani. Siku hizi kuna neno ''trend.'' ambalo nadhani lina maana, ''lililopo sasa.''...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Wametumia American measures wanasema shela yake ilikua ya urefu wa yadi 50. Mkononi bibi harusi alivaa bracelet ya almasi iliyokuwa zawadi kutoka kwa John Kennedy
4 Reactions
7 Replies
844 Views
Ni wakati muafaka wa historia ya nchi yetu ikafanyiwa marejeo. Ukiwa na haraka unaweza kudhani watu wa mikoani hawakutoa mchango kwenye Uhuru, Nyerere, Rupia na baadhi ya wadau wa mikoani wakiwa...
0 Reactions
1 Replies
613 Views
Mapigano ya Tanga, ambayo wakati mwingine pia hujulikana kama Mapigano ya Nyuki kikosi "B", yalikuwa ni shambulio lisilofanikiwa la Jeshi la Uingereza chini ya Meja Jenerali A. E. Aitken...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ramani ya Kijerumani ionyeshayo Zanzibar na pwani (mnamo Mwaka1888) Sarafu ya rupia 1 iliyotolewa kwa jina la "Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft" (Kampuni ya Kijerumani ya Afrika ya...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Adolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. Adolf Hitler akiwa mtoto mchanga Alizaliwa...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Eti wandugu. Mfumo wa kichifu ulikuwa wa kinyonyaji au wa haki? Mgawanyo wa mali. Utoaji wa haki. Kodi, huduma za kijamii nk vilikuwaje? Ulifanana na mfumo wa kijamaa au wa kibepari?
0 Reactions
0 Replies
513 Views
SI ZAIDI KATIKA HISTORIA YA MUUNGANO BALI NI KATIKA WIMBO HUU WA WESTERN JAZZ BAND 1964 Ilikuwa nawasha gari langu usiku nikaliegeshe kwa walinzi mtaa wa pili. Gari limewaka na radio inasema...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa. Kwanza tuangalie nini au chanzo cha neno Safwa. Neno safwa...
6 Reactions
16 Replies
13K Views
Eti wakuu Kabla ya kuitwa bahari ya Hindi, wakazi wa asili wa pwani kama Wazaramo na Wakwere waliita jina gani?
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Tumainiel Kiwelu ni mmoja wa viongozi watakaokumbukwa daima katika Mkoa wa Rukwa, hasa mjini Sumbawanga. Ndiyo, Jenerali Kiwelu. Hakika ameacha alama zisizofutika. Ninashindwa nianzie wapi katika...
6 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu, Kama filamu ya Royal tour itakuwa na part two basi haya maeneo yatakuwa ni mazuri mno kuunganishwa Kwa filamu hiyo. Itasaidia sana kuongeza utalii Na kuinua uchumi wa eneo la bagamoyo...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom