Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Juu ya meza iliyo kando ya kitanda utaona taa iliyotumia mafuta, bakuli na jagi la maji. Hivi vilikua ni vitu vya muhimu sana chumbani kwa mstaarabu. Taa ya mafuta ilipunguza ajali za moto...
3 Reactions
4 Replies
617 Views
WATOTO WA KAZI KAZINI: DONDOO KATIKA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Karibuni mtaona video fupi fupi zikieleza historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Fuatililia.
1 Reactions
5 Replies
950 Views
JENERALI ULIMWENGU KATIKA KUMWELEZA MAALIM SEIF Konganano la Maalim Seif lilihudhuriwa na watu wengi ambao wanamchango mkubwa katika maendeleo ya fikra Tanzania. Kuanzia wasomi maarufu kama...
14 Reactions
32 Replies
3K Views
Kutoka kushoto: Milton Obote(Uganda), Julius Kambarage Nyerere(Tanzania) na Jomo Kenyatta(Kenya) Tarehe 6 Juni,1967 huko Kampala, Uganda, viongozi hawa wa Uganda, Tanzania na Kenya walitia saini...
1 Reactions
0 Replies
692 Views
Huu ulikuwa ulimwengu wa Zamani Zamani. Wakati ulimwengu ulikuwa mchanga sana. Milima ilisimama ambapo sasa kuna bahari, na vituo vya kupendeza vya baharini sasa ni vilele vya milima. Hali ya...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Eduardo dos Santos: Rais Aliyeyafisidi Mapinduzi ya Angola Ni nini Afrika kama bara inaweza kufanya kuiepusha na viongozi wa aina ya kina Dos Santos? Jibu linaweza kuwa gumu kuliko swali. Mnamo...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Bilauri ya Mfalme Jehangir wa Mughal India. Inasadikika sumu ikiwekwa katika emerald ina react, hivyo Wafalme wa zamani walitumia vyombo vya emerald kama sehemu ya kujilinda. Vyombo hivyo...
5 Reactions
2 Replies
1K Views
TABORA HOTEL MAHALI ALIPOHOJIWA SHEIKH BILAL REHANI WAIKELA BAADA YA "MGOGORO" WA EAMWS 1969 ''Kilichobakia baada ya kuvunjika kwa EAMWS ilikuwa ni kujaribu kuiweka BAKWATA katika mikoa kama...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Baadhi ya hotuba katika maziko ya Shekh Bilal Rehani Waikela Msikiti wa Kichangani:
0 Reactions
2 Replies
705 Views
Julia Gardiner Tyler, the second wife of John Tyler and First Lady of the United States from 1844 to 1845, was certainly no shrinking violet. In fact, this strong-willed, opinionated woman played...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
TUJIFUNZE YA CLEOPATRA, MALIKIA WA KEMET/EGYPT/MISIRI ANAYESADIKIKA KUWA MWANAMKE MZURI KATIKA HISTORIA YA DUNIA Na Comred Mbwana Allyamtu . Wednesday-11/10/2017. Malkia Cleopatra ni maarufu...
12 Reactions
18 Replies
9K Views
[emoji117]Pichani anaitwa Martin Pistorious jina lake maarufu ni Ghost boy raia wa Africa kusini anaishi katika mji wa johanesburg. [emoji116]Mnamo mwaka 1988 Martin ali ugua kwa ugonjwa wa T.B...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
RISALA YA EAMWS KWA RAIS NYERERE ILOYOSOMWA NA BILAL REHANI WAIKELA UKUMBI WA SHULE YA WASICHANA YA AGA KHAN 1963 ''Siku kabla ya mkutano wa EAMWS mwaka wa 1963, Nyerere aliwaalika wajumbe wa...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
JAMII FORUMS NA MAKALA ZA MOHAMED SAID:UKIPENDA KUSOMA HISTORIA YA TANGANYIKA/TANZANIA ''HISTORIA YA UHURU ISIMULIWAVYO NA MOHAMMED SAID YAKOSOLEWA'' Mjadala huo hapo juu katika Jamii Forums...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
HOFU HII INASABABISHWA NA NINI KWANINI HAIKUWAPO WAKATI WA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA? KUSUPA HAPENDEZEWI NA KUSEMA KUWA CHIEF MKWAWA ALIKUWA MUISLAM ANASEMA: ‘’MOHAMED SAID USICHEZE NA...
5 Reactions
104 Replies
4K Views
Anaitwa Abdulrahman Amiri Shimbo. Alikuwa katika kikosi cha JWTZ kilichotumwa Seychelles kufundisha Jeshi la visiwa hivyo. Major Abdulrahman Shimbo alikwenda Seychelles mwaka 1978 kuwa katika...
18 Reactions
109 Replies
15K Views
Hii picha ilipigwa mwaka 1970 nchini Buligaria katika mji wa Varna. Ma archeologists walichimba kaburi hili linalosadikiwa kuwa ni la miaka 500BC. Ubora wa dhahabu waliyoikuta wanasema haujawahi...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
UKIPENDA KUSOMA HISTORIA YA TANZANIA Shk Mohammed Said...mimi hupenda (na nafaidika mno) na mazungumzo/maelezo ya historia ya Tanganyika..nina suali dogo tu... Jee haya majadiliano na mahojiano...
2 Reactions
3 Replies
765 Views
Miaka hiyo umeme ulikuwa ni kwa wachache wenye uwezo na maji kulikuwa na visima vya mdundiko katikati ya miji. Wakati wa baridi kulikuwa na gogo la moto linalotoa joto. Bill ya kulipa ilikua ni...
1 Reactions
1 Replies
696 Views
Back
Top Bottom